KAKA A TAIFA
JF-Expert Member
- Apr 27, 2011
- 566
- 80
Kwanini ccm inakataa kujadili mambo ya msingi na haki badala yake wanakimbilia mahakamani?kuna masuala mengi sana hayajajibiwa au kupatiwa ufumbuzi,mfano richmond,deep green,watu waliofukiwa bulyahulu,ajali za meli.migomo ya wafunzi na wafanyakazi.lakini wajue upo mwisho wa kilakitu na kila jambo