carmel
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 2,836
- 262
Najua wengi mtakuja na siasa za Oooh Valentine tunaiga, kwa nini niifanye siku siku hii special kushinda zingine, sijui mimi nampenda wife or hubby na kumtreat sawa kila siku, why today iwe special. Sasa kwa wenye masikio na wasikie, this is from a woman's heart.
Wanawake siku zote wako kama watoto, i mean ni vitu vidogo sana vinavyoweza kulainisha moyo wa mwanamke, kumuonyesha unamjali kwa vitu vidogo tu, kulingana na uwezo wako.Katika maisha ya kila siku, huitaji kuwa tajiri kumuonyesha mwenzio unamjali, hata ukitoka job ukapitia matunda ya buku ukampelekea ataona unamjali, ukimpigia simu au sms mara tano kwa siku ataona unamjali, ukimpa zawadi hata yenye thamani ya buku tano mara mbili kwa mwezi ataona unamjali, vha msingi zingatia uwezo ulio nao na ufanye mambo ya kujali yanayolingana na uwezo wako, we do appreciate. Na kwa wadada pia show your men kwamba you care.The same kwa siku hii, fanyeni vitu vya kuonyesha upendo kwa wenzenu, it doesnt hurt anyone, show love and take love. Kila mtu na awe na furaha.
Well, kwa wale ambao siku itaisha mkiwa bado mnasubiri suprise na kuishia kuwa dissapointed, natanguliza pole za dhati. Happy Valentines to all of you.
Wanawake siku zote wako kama watoto, i mean ni vitu vidogo sana vinavyoweza kulainisha moyo wa mwanamke, kumuonyesha unamjali kwa vitu vidogo tu, kulingana na uwezo wako.Katika maisha ya kila siku, huitaji kuwa tajiri kumuonyesha mwenzio unamjali, hata ukitoka job ukapitia matunda ya buku ukampelekea ataona unamjali, ukimpigia simu au sms mara tano kwa siku ataona unamjali, ukimpa zawadi hata yenye thamani ya buku tano mara mbili kwa mwezi ataona unamjali, vha msingi zingatia uwezo ulio nao na ufanye mambo ya kujali yanayolingana na uwezo wako, we do appreciate. Na kwa wadada pia show your men kwamba you care.The same kwa siku hii, fanyeni vitu vya kuonyesha upendo kwa wenzenu, it doesnt hurt anyone, show love and take love. Kila mtu na awe na furaha.
Well, kwa wale ambao siku itaisha mkiwa bado mnasubiri suprise na kuishia kuwa dissapointed, natanguliza pole za dhati. Happy Valentines to all of you.