Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,586
- 112,629
.........
Samahani wachangiaji, kuna kitu kimenipita katika sentensi hii: "kutokwa na haja kubwa wakati wa kujifungua ni sababu ya kutumia tigo".
Hapa TIGO imetumika kumaanisha nini?
Samahani ndugu zangu wapendwa, humu JF tumechanganyikana kwelikweli! Wengine tulizowea viswahili vya 1960s. Hivi viswahili vyenu vya siku hizi wakati mwingine vinatusumbua.
Haya...: TIGO imetumikaje hapo?
Sipendi niitwe kutoa ushahidi, lakini ninawafahamu wasichana kadhaa ambao kabla ya kuolewa waliliwa tigo kwa sana, na walipoingia kwenye ndoa walizaa bila hilo tatizo la kutoka kinyesi kwenye haja kubwa. Labda wanaosema tigo inasababisha tatizo hilo na wenyewe watupe ushahidi wao.Habari wana forum, nasikitishwa na watu wanaosema kutokwa na haja kubwa wakati wa kujifungua ni sababu ya kutumia tigo, hii si ukweli bali hiyo hutokea rectum ikiwa na uchafu huo na mtoto anaposhuka anapush hiyo kitu na si kama watu wasemavyo.........
Niliongea na daktari flani akanieleza juu ya hilo,kama hakuna uchafu ktk rectum hiyo kitu haitokei na kama kuna uchafu probably lazma utoke b4v mtoto hajatokaSipendi niitwe kutoa ushahidi, lakini ninawafahamu wasichana kadhaa ambao kabla ya kuolewa waliliwa tigo kwa sana, na walipoingia kwenye ndoa walizaa bila hilo tatizo la kutoka kinyesi kwenye haja kubwa. Labda wanaosema tigo inasababisha tatizo hilo na wenyewe watupe ushahidi wao.
kufanya mapenzi kinyume na maumbile.....Samahani wachangiaji, kuna kitu kimenipita katika sentensi hii: "kutokwa na haja kubwa wakati wa kujifungua ni sababu ya kutumia tigo".
Hapa TIGO imetumika kumaanisha nini?
Samahani ndugu zangu wapendwa, humu JF tumechanganyikana kwelikweli! Wengine tulizowea viswahili vya 1960s. Hivi viswahili vyenu vya siku hizi wakati mwingine vinatusumbua.
Haya...: TIGO imetumikaje hapo?
hili si tatizo ni hali ya kawaida hutokea bt people wanapotosha kwa kuihusisha na utumiaji wa tigoHili tatizo ni kubwa kiasi gani?Una takwimu mfano kati ya kumi ni wangapi?
Hehhe pole mzee,Tigo ni goti..yani kwenda kimenyu-menyu
Niliongea na daktari flani akanieleza juu ya hilo,kama hakuna uchafu ktk rectum hiyo kitu haitokei na kama kuna uchafu probably lazma utoke b4v mtoto hajatoka