Fyong'oxi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2012
- 266
- 72
kweli mimi kwa kilaza sirushi mguu
mtu kareseat form form mara mia
hana maisha ya kueleweka
hapana hapana
hajui ata kuuza nyanya
no big no
Kama umempenda tatizo ni mshiko, Si utakuwa ukimsaidia.Mapenzi si ni zaidi ya mali?
Itakuwaje pale umempata mtu ambaye anazo, baada ya kuwa nae ghafla zikakata kabisa, utaji withdraw?