Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,054
- 6,281
Najua wengine watapinga lakin huu ndio ukweli,naandika hivi kwa sababu nimeona wake za watu wengi wakidanganywa na kujipendekeza kwa wanaume wengine kwa sababu ya vitu vidogo dogo kama vocha,pesa za salun,nguo etc
Mim nashauri msichana kabla ujaolewa angalia kwanza mtu wa kuolewa naye,kama ni mwanaume suruali au mtafutaji ili asije kukupeleka pabaya.
wasichana waliotokea familia ya chini ni bora muolewe na mtu kutokea familia ya kuanzia wastani,ili muweze kujikimu kwa mambo madogodogo,hasara ya msichana kutokea familia ya chini kuolewa na kijana duni inaweza kupelekea msichana kuja kushawishika na mambo madogo ambayo yako nje ya uwezo wake,simaanishi vijana wa hali ya chini wasipate mke ila wajitaid waondokane na hali duni ndio wafikirie kuoa.
Wadada wengi wanaotokea familia duni wakioa mtu duni wanaish maisha duni na mara nyingi mwanaume anakuwa na hasira sana ata inapotokea mke ametumia pesa sh3000 bila kumwambia mme wake atapokea kipigo.
nashauri wadada kuepuka hivo ni bora ukaolewa na mwanaume mtafutaji na mwenye kujikimu ili muishi maisha bora yasiyo na shida ndogo ndogo kamwe kipofu awezi kumuongoza kipofu mwenzake
Mim nashauri msichana kabla ujaolewa angalia kwanza mtu wa kuolewa naye,kama ni mwanaume suruali au mtafutaji ili asije kukupeleka pabaya.
wasichana waliotokea familia ya chini ni bora muolewe na mtu kutokea familia ya kuanzia wastani,ili muweze kujikimu kwa mambo madogodogo,hasara ya msichana kutokea familia ya chini kuolewa na kijana duni inaweza kupelekea msichana kuja kushawishika na mambo madogo ambayo yako nje ya uwezo wake,simaanishi vijana wa hali ya chini wasipate mke ila wajitaid waondokane na hali duni ndio wafikirie kuoa.
Wadada wengi wanaotokea familia duni wakioa mtu duni wanaish maisha duni na mara nyingi mwanaume anakuwa na hasira sana ata inapotokea mke ametumia pesa sh3000 bila kumwambia mme wake atapokea kipigo.
nashauri wadada kuepuka hivo ni bora ukaolewa na mwanaume mtafutaji na mwenye kujikimu ili muishi maisha bora yasiyo na shida ndogo ndogo kamwe kipofu awezi kumuongoza kipofu mwenzake