Ukweli ndio huu wadada... Kipofu hawezi kumuongoza kipofu mwenzake!

Money Stunna

JF-Expert Member
Aug 9, 2011
13,054
6,281
Najua wengine watapinga lakin huu ndio ukweli,naandika hivi kwa sababu nimeona wake za watu wengi wakidanganywa na kujipendekeza kwa wanaume wengine kwa sababu ya vitu vidogo dogo kama vocha,pesa za salun,nguo etc
Mim nashauri msichana kabla ujaolewa angalia kwanza mtu wa kuolewa naye,kama ni mwanaume suruali au mtafutaji ili asije kukupeleka pabaya.
wasichana waliotokea familia ya chini ni bora muolewe na mtu kutokea familia ya kuanzia wastani,ili muweze kujikimu kwa mambo madogodogo,hasara ya msichana kutokea familia ya chini kuolewa na kijana duni inaweza kupelekea msichana kuja kushawishika na mambo madogo ambayo yako nje ya uwezo wake,simaanishi vijana wa hali ya chini wasipate mke ila wajitaid waondokane na hali duni ndio wafikirie kuoa.
Wadada wengi wanaotokea familia duni wakioa mtu duni wanaish maisha duni na mara nyingi mwanaume anakuwa na hasira sana ata inapotokea mke ametumia pesa sh3000 bila kumwambia mme wake atapokea kipigo.
nashauri wadada kuepuka hivo ni bora ukaolewa na mwanaume mtafutaji na mwenye kujikimu ili muishi maisha bora yasiyo na shida ndogo ndogo kamwe kipofu awezi kumuongoza kipofu mwenzake
 
kweli mimi kwa kilaza sirushi mguu
mtu kareseat form form mara mia
hana maisha ya kueleweka
hapana hapana
hajui ata kuuza nyanya
no big no
 
Hata utafute pesa kama ni wakutoka ata toka tuu!

Kama mtu wa kusubiri kuletewa lazima uwaze kusaliti ndoa, lakini kama ni mchakalikaji huwezi kuwaza!

Ni bora unge washauri nao wajishughulishe kutafuta hizo pesa hili wote wawe watafutaji si mmoja kuwa goalkeeper!

Mungu kagawa huwezo kwa kila mtu hivyo kila binadamu ana uwezo wa kutafuta!

Na wanaume tuna hitaji wanawake wachakalikaji sio wakusubiri alitewe! Leta na mimi ni lete na mapenzi ni kusaidiana!

Hepuka kuwa mzigo ndio mwanzo wa kunyanya sika!
 
Unadumaza watu wewe..
Mwanamke kuwa mtafutaji yeye kama yeye ndo mpango mzima!

Utasubiri kuolewa na mwanamme mtafutaji ilhalli na familia yake inategemea mgao huo huo.....and probably wanandugu almost wote!!

Utakesha!!!
ndege wanaofanana waruke pamoja
 
kweli mimi kwa kilaza sirushi mguu
mtu kareseat form form mara mia
hana maisha ya kueleweka
hapana hapana
hajui ata kuuza nyanya
no big no

Hata akili ya kushona lapa za watu hana.......khaaa!!
Mwogope kama ukoma!!
 
Sasa mtu ana subiri aletewe tujiulize amekatika mikono?
Huku kusubiri kuletewa kuna waliza wengi na kunyanyasika!

Na unakuta yeye ana subiri aletewe na kwao wanamsubili alete. Huu ni ugonjwa mbaya sana!

Unadumaza watu wewe..
Mwanamke kuwa mtafutaji yeye kama yeye ndo mpango mzima!

Utasubiri kuolewa na mwanamme mtafutaji ilhalli na familia yake inategemea mgao huo huo.....and probably wanandugu almost wote!!

Utakesha!!!
 
Sasa mtu ana subiri aletewe tujiulize amekatika mikono?
Huku kusubiri kuletewa kuna waliza wengi na kunyanyasika!

Na unakuta yeye ana subiri aletewe na kwao wanamsubili alete. Huu ni ugonjwa mbaya sana!

kuna mtu apa atajisikia fahari kuona dada yake anaolewa na mwanaume asiye na mbele wala nyuma?
 
He!!! wanaume wenyewe mgogoro kuwapata ati!!!! wakianza kuchambua si ndo watakosa kabisa????????????? halafu mimi sikubaliani na wewe kwa asilimia zote. Nachojua na nachoamini mimi siyo maisha duni yanayomfanya mtu kuwa na tabia hizo bali inakuwa ni tabia zake hata angepewa pesa kiasi gani kwa vyovyote vile angefanya. Kwani wangapi tunawaona kila kukicha wana maisha mazuri lakini bado wanakukuruka na vidumu pembeni??????
 
He!!! wanaume wenyewe mgogoro kuwapata ati!!!! wakianza kuchambua si ndo watakosa kabisa????????????? halafu mimi sikubaliani na wewe kwa asilimia zote. Nachojua na nachoamini mimi siyo maisha duni yanayomfanya mtu kuwa na tabia hizo bali inakuwa ni tabia zake hata angepewa pesa kiasi gani kwa vyovyote vile angefanya. Kwani wangapi tunawaona kila kukicha wana maisha mazuri lakini bado wanakukuruka na vidumu pembeni??????
aisee usije jipeleka kwa mwanaume kwa kumuonea huruma kwamba ipo siku ataamka...mwanamme mvivu ni mvivu tu..kama maisha yamemshinda mwenyewe wewe ndo ujipeleke? mtu aoneshe juhudi hata kama anapata kidogo
ndo yale yale nilianza na mume wangu hana kitu nimemsaidia kapata hanithamini...si hajatoa jasho?
mimi kwa kweli mwanaume lazzy nooooooo
akauze hata nyanya soko kuu tule dagaa huko simlishi kiti moto au kuku kwa hela yangu atakula hivo vitu siku akipata hela ya kuvinunua
 
aisee usije jipeleka kwa mwanaume kwa kumuonea huruma kwamba ipo siku ataamka...mwanamme mvivu ni mvivu tu..kama maisha yamemshinda mwenyewe wewe ndo ujipeleke? mtu aoneshe juhudi hata kama anapata kidogo
ndo yale yale nilianza na mume wangu hana kitu nimemsaidia kapata hanithamini...si hajatoa jasho?
mimi kwa kweli mwanaume lazzy nooooooo
akauze hata nyanya soko kuu tule dagaa huko simlishi kiti moto au kuku kwa hela yangu atakula hivo vitu siku akipata hela ya kuvinunua


Hapo kwenye blue;
Kuna watu watakwambia "MUNGU KAKUCHAGUA ILI AMBADILISHE"
 
Na ikitokea shida utasikia........sii uuze kitanda! haangalii hata rate ya maisha!

kuna wanaume wenzangu muda wote wanakunywa kahawa na kupiga story,wolokoso nyingi,wanabishana siasa na majungu inapotokea binti ukaolewa kwa mwanaume kama uyu inakuwa imekula kwako,mjitaid muolewe na watu wenye kuwajibika,watafutaji kwa maendeleo ya familia
 
Sasa mtu ana subiri aletewe tujiulize amekatika mikono?
Huku kusubiri kuletewa kuna waliza wengi na kunyanyasika!
sana
Na unakuta yeye ana subiri aletewe na kwao wanamsubili alete. Huu ni ugonjwa mbaya !

Ndo hapo unakuta mtoto kaptura ya shule imechanika anaambiwa subiri baba yako aje kutoka safari!
(Hapo mama kabana hela apeleke kwao......uchuroo tu)
 
Ha ha ha, nina work mates mdada hapa nimemuonesha kamkope kaka ako amecheka sana as ana tabia ya kumkopesha mume wake as anajifanya amemkopea kwa kaka ake,, tulimbananaisha kwa nini anamkopesha mume wake asimpe bure tu, akadai atakuwa mzembe as hela anayompa anapata kwenye mgao wa kodi wa nyumba zao za urithi so mume hatakiwi kuingilia wala kujua kama kuna hela anapataga kila mwaka za urithi.. Sema watoto ndo wanahusika as zinawahusu but mume hazimuhusu...
 
Ila kusema ukweli alilosema lina ukweli hata kama kimaneno tutapinga,kiuhalisia yupo sahihi.


Wewe kama ni mzazi......basi dekeza sana binti zako ukitegea waje kuolewa na wanaume wenye hali nzuri!
Na siku mwanaume akiukata ndo utakapo uona utamu wa kubakiwa na historia!

BTW,mmesahau ndoa inacomprise vitu gani!
Mwaume anaweza akawa well off lakini ndoa isijengeke hata robo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom