Romio majeshi
New Member
- May 22, 2012
- 1
- 2
kila mtu anajua ukipata elimu ndio ukombozi wa maisha lakn unapata elimu unaenda kua mtumwa wa mtu unafanya kazi mdaa mrefu kwa kipato kidogo mwisho wa siku unamkuta mtu anamaisha magumu lakini ana elimu nzuri,wengi hawajui elimu ya darasani haitoshi ila kunaki2 cha ziada kinaitajika ili m2 afanikie zaidi na elimu yake imsaidie...