Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,066
- 4,085
Unaonekana una chuki sana na madume ya mbegu
wanawake tulishawaelewa wanume,in short mi hata sifa sizihitaji kama nakuhitaji nitakukubali otherwise we imba,sifia,nunua chochote,nipeleke popote sina time na wewe.msisahau pia uwezo wa kudanganya si suala la jinsia ya kiume pekee,tuna uwezo wa kudanganya mara 50 ya wanaume,na uongo wetu ni mkubwa na mbaya na usioweza gundulika hadi siku ya ufufuo.....so it goes both way,usijione we kinara kumbe hujui na ukijua yaweza kuwa mwanzo wa safari yako kuelekea kuzimu.