Ukweli kuhusu wafanyakazi wa tbc kilimanajaro.....

M4C ARUSHA

Member
Apr 27, 2012
38
4
Mgogoro uliopo hivi sasa katika klabu ya waandishi wa habari mkoa wa
kilimanjaro unasababibishwa na kile kikundi ambacho kina watu wachache
wale walioweka uongozi uliopo madarakani hivi sasa chini ya kapteni
Kija Elias (tbc)baada ya kushindwana mamabo fulani.

Ukweli ni kwamba Mecki Imefanya mambo ambayo ni makubwa tofauti na
uongozi uliopita sio wanahabari pekee wanajua bali hata taifa zima
linajua kupitia muunganyiko wa klabu za wanaadishi wa habari utpc.

Ila tatizo ni hii klabu kujaa watu wanojifanya kuwa ni usalama wa
taifa au wanamitandao ukiongozwa na Kija Elias eti kwa kuwa yupo
katika chombo cha serikali na yeye ni mwanausalama wa taifa

hulka hii imekuwa ni mzigo kwa wenzake hata katika tukio la kiserikali
ambalo kila mwanahabari ana haki ya kupata au hata kama ni urejeshwaji
wa nauli ni haki yao lakini yeye ni mtaalam wa kufanya uchakachuaji
ili wengine wasipate.

Mfano hivi karibuni katika ziara ya mkuu wa mkoa wa kilimanjaro
alipozunguka mlima kilimanjaro kwa kutumia helkopta kwa ajili ya
kujionea uharibifu wa mazingira kijana huyo yaani Kija alizunguka na
kujitengezea zaidi ya laki 7 kwa kutengeneza dvd kwa madai kuwa ni
maagizo ya mkuu wa mkoa na kupekeka nakala tanapa,kinapa,na moja
mkoani na kuwalazimisha kinapa kulipia nakala ya mkuu wa mkoa wakati
huo huo akalipwa tena ile nakala katika ofisi ya mkuu wa mkoa pamoja
na gharama ya kazi

mfano mwingine ni kikao cha hivi karibuni cha bajeti katika wilaya ya
same alipoaamua kuwachinjia waandishi wenzake baharini na kumwamuru
mkurugenzi wa halamshauri hiyo asiwalipe waandishi wengine kwa kuwa
hawajatokea chombo cha serikali

mfano mwingine ni wakati wa kumuaga mkuu wa mkoa wa kilimanjaro na
kumkaribisha mkuu wa mkoa mh Gama alienda kuomba malipo lakini wenzake
hawajalipwa hata thumuni.

Huu ndio uhalisia wa baadhi ya watu ambao tunafanya nao kazi ieleweke
kuwa TBC sio chombo cha kukandamiza waandishi wengine na wala sio
chombo cha kuingilia utendaji wa mecki kwani mecki ni taasisi imara
inayofuata miongozo ya sheria bila kuwaogopa hao wanausalama uchwara
wenye fedha za kurithi ambao muda mwingi ni majungu
 
Nashindwa kuelewa... ninyi ni waandishi wa habari au wafanyabiashara. Mwandishi wa habari na kuuza cd wapi na wapi!
 
Kwahiyo tatizo ni posho ya ziada!, hivi waandishi huwa hawana ajira?, huwa hawalipwi ujira wowote na huyo anayewatuma?!, o.k. Ndoomaana wengine wamesemana kuwa huhonga hata miili yao?!, tafuteni mfumo bora wa kufanya kazi la sivyo mutaendelea kutia aibu.
 
Mgogoro uliopo hivi sasa katika klabu ya waandishi wa habari mkoa wa
kilimanjaro unasababibishwa na kile kikundi ambacho kina watu wachache
wale walioweka uongozi uliopo madarakani hivi sasa chini ya kapteni
Kija Elias (tbc)baada ya kushindwana mamabo fulani.

Ukweli ni kwamba Mecki Imefanya mambo ambayo ni makubwa tofauti na
uongozi uliopita sio wanahabari pekee wanajua bali hata taifa zima
linajua kupitia muunganyiko wa klabu za wanaadishi wa habari utpc.

Ila tatizo ni hii klabu kujaa watu wanojifanya kuwa ni usalama wa
taifa au wanamitandao ukiongozwa na Kija Elias eti kwa kuwa yupo
katika chombo cha serikali na yeye ni mwanausalama wa taifa

hulka hii imekuwa ni mzigo kwa wenzake hata katika tukio la kiserikali
ambalo kila mwanahabari ana haki ya kupata au hata kama ni urejeshwaji
wa nauli ni haki yao lakini yeye ni mtaalam wa kufanya uchakachuaji
ili wengine wasipate.

Mfano hivi karibuni katika ziara ya mkuu wa mkoa wa kilimanjaro
alipozunguka mlima kilimanjaro kwa kutumia helkopta kwa ajili ya
kujionea uharibifu wa mazingira
kijana huyo yaani Kija alizunguka na
kujitengezea zaidi ya laki 7 kwa kutengeneza dvd kwa madai kuwa ni
maagizo ya mkuu wa mkoa na kupekeka nakala tanapa,kinapa,na moja
mkoani na kuwalazimisha kinapa kulipia nakala ya mkuu wa mkoa wakati
huo huo akalipwa tena ile nakala katika ofisi ya mkuu wa mkoa pamoja
na gharama ya kazi

mfano mwingine ni kikao cha hivi karibuni cha bajeti katika wilaya ya
same alipoaamua kuwachinjia waandishi wenzake baharini na kumwamuru
mkurugenzi wa halamshauri hiyo asiwalipe waandishi wengine kwa kuwa
hawajatokea chombo cha serikali

mfano mwingine ni wakati wa kumuaga mkuu wa mkoa wa kilimanjaro na
kumkaribisha mkuu wa mkoa mh Gama alienda kuomba malipo lakini wenzake
hawajalipwa hata thumuni.

Huu ndio uhalisia wa baadhi ya watu ambao tunafanya nao kazi ieleweke
kuwa TBC sio chombo cha kukandamiza waandishi wengine na wala sio
chombo cha kuingilia utendaji wa mecki kwani mecki ni taasisi imara
inayofuata miongozo ya sheria bila kuwaogopa hao wanausalama uchwara
wenye fedha za kurithi ambao muda mwingi ni majungu
Hee hee heee akaamua kuzunguka na helkopta ili kujionea uharibifu wa mazingira...... Kweli tuna viongozi
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom