Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,910
- 30,253
LG: Napenda uzingatie hili. Mimi humu ukumbini sihitaji ku-convince yeyote kuhusu nielezayo. Mimi hapa naeleza historia ya wazee wangu vipi walianzisha mapambano dhidi ya ukoloni na yote muhimu yaliyotokea wakati ule, mengi ambayo hayakuwa yakijulikana na wengi. Ni hivyo tu.
Sidhani kwa kufanya hivyo kutakuwa na kushinda au kushindwa. Hivi anetoa vipande nani hapa? Ni mimi niliekuwa na vitabu nilivyoandika na papers au wewe unaesoma kazi zangu?
Unapoandika usiache moyo ukatawala kichwa chako. Kama unataka kuwa msomi bingwa jitulize na jifunze adabu ya ilm. Utakuwa msomi makini, wakupendeza na kila mtu akiona jina lako atataka kukusoma kwa kuwa ana hakika atafaidika.
William Shakespeare anasema: "There is a tide in the affairs of men taken from the flood will lead on to fortune..." malizia ujumbe wako uko hapo mwisho la huwezi mtafute mjuzi akueleze au wanaukumbi wakusaidie.
Huku ndiko kusoma. Naona tuanze taratibu mimi na wewe kusomeshana. Nafanya haya yote kwa kuwa nakuona una juhudi lakini zinahitaji kuelekezwa na kuongozwa.
Sidhani kwa kufanya hivyo kutakuwa na kushinda au kushindwa. Hivi anetoa vipande nani hapa? Ni mimi niliekuwa na vitabu nilivyoandika na papers au wewe unaesoma kazi zangu?
Unapoandika usiache moyo ukatawala kichwa chako. Kama unataka kuwa msomi bingwa jitulize na jifunze adabu ya ilm. Utakuwa msomi makini, wakupendeza na kila mtu akiona jina lako atataka kukusoma kwa kuwa ana hakika atafaidika.
William Shakespeare anasema: "There is a tide in the affairs of men taken from the flood will lead on to fortune..." malizia ujumbe wako uko hapo mwisho la huwezi mtafute mjuzi akueleze au wanaukumbi wakusaidie.
Huku ndiko kusoma. Naona tuanze taratibu mimi na wewe kusomeshana. Nafanya haya yote kwa kuwa nakuona una juhudi lakini zinahitaji kuelekezwa na kuongozwa.