alsaidy
JF-Expert Member
- Feb 23, 2009
- 334
- 88
- Thread starter
- #41
Nashkuru kwa waliotoa maoni na mapendekezo kuhusu Mohamed Said,nitamfikishia kwani nimewahi kumuona katika msikiti wa Ibadhi Br.12 anapendelea kuswali swala za Maghrib na Isha.
Nina azma ya kutaka kufanya mahojiano nae ili aweze kunieleza wapi tutapata vitabu kwa ajili ya kuweka kumbukumbu ya vizazi vijavyo hasa kitabu hiki "The life and Times of Abdulwahid Sykes (1924-1968): The untold story of the Muslim Struggle against British Colonialism in Tanganyika". Nikipata nakala yake nitawaarifu juu ya upatikanaji wake.
Mbali ya hayo sikiliza mahojiano yake na radio presenter wa Radio Butiama iliyoko columbas Ohio na unaweza kufuata linki hii kwa ajili ya kwenda kudowload PodOmatic | Podcast - Radio Butiama - Mahojiano na Mkuu wa Idhaa ya Kiswahili - Voice of America. Nimejaribu kuiweka hapa ila file ni kubwa about 17.2MB
Nina azma ya kutaka kufanya mahojiano nae ili aweze kunieleza wapi tutapata vitabu kwa ajili ya kuweka kumbukumbu ya vizazi vijavyo hasa kitabu hiki "The life and Times of Abdulwahid Sykes (1924-1968): The untold story of the Muslim Struggle against British Colonialism in Tanganyika". Nikipata nakala yake nitawaarifu juu ya upatikanaji wake.
Mbali ya hayo sikiliza mahojiano yake na radio presenter wa Radio Butiama iliyoko columbas Ohio na unaweza kufuata linki hii kwa ajili ya kwenda kudowload PodOmatic | Podcast - Radio Butiama - Mahojiano na Mkuu wa Idhaa ya Kiswahili - Voice of America. Nimejaribu kuiweka hapa ila file ni kubwa about 17.2MB