Ukweli kuhusu vita ya Uganda 1979

Kidamva

JF-Expert Member
Dec 3, 2013
2,580
1,981
Nilikuwa naangalia kipindi maalum cha mashujaa kwenye television ya ITV. Wameonyesha vita ya Uganda na siku ya mashujaa baada ya vita hiyo.

Nimekuwa nikifuatilia sana vita hii, kujua sababu yake maana kwa muda mrefu tumekuwa tukipewa taarifa za upande mmoja tu (Tanzania). Lakini ukisikiliza au kusoma upande mwingine utagundua mengi tu.

Nimewahi kusikia kwamba vita hiyo ilisababishwa na uchokozi Wa Tanzania. Nyerere alikuwa hapatani na Idd Amini na alichukizwa na kitendo chake cha kumpindua swahiba wake Milton Obote. Ndio maana Obote alikuja kuishi Dar.

Kwa hiyo Nyerere alikuwa anamtafuta Idd Amin kwa udi na uvumba. Inasemekana kulikuwa na kambi za mafunzo kwa Waganda wasiokubaliana na Idd Amin akiwemo Rais Yoweri Museveni kule Moshi.

Museveni alisoma degree yake University of Dar es salaam. Sasa hao waliofunzwa walikwenda kutest zali kwa kufyatua mabomu upande Wa Uganda.

Ndipo majeshi ya Idd Amin yakajibu mapigo kwa kushambulia Kagera, wakavunja daraja la mto Kagera na kuharibu nyumba na makanisa.

Hapo ndipo Nyerere akapata sababu, akatangaza vita, kweli majeshi ya Tanzania yakavamia Uganda.

Inasemekana hata mataifa ya Magharibi hayakuiunga mkono Tanzania, ila Urusi ndio iliunga mkono na ndio iliyokuwa iki supply silaha.

Ni vita iliyoitia hasara kubwa Tanzania, baada ya hapo ilikuja njaa kali mtakumbuka tulikula unga wa yanga.

Kwa ufupi ndio nilichopata kwenye utafiti wangu mdogo. Wanaojua zaidi watujuze
 
Nilikuwa naangalia kipindi maalum cha mashujaa kwenye television ya ITV. Wameonyesha vita ya Uganda na siku ya mashujaa baada ya vita hiyo.
Nimekuwa nikifuatilia sana vita hii, kujua sababu yake maana kwa muda mrefu tumekuwa tukipewa taarifa za upande mmoja tu (Tanzania).
Lakini ukisikiliza au kusoma upande mwingine utagundua mengi tu.
Nimewahi kusikia kwamba vita hiyo ilisababishwa na uchokozi Wa Tanzania. Nyerere alikuwa hapatani na Idd Amini na alichukizwa na kitendo chake cha kumpindua swahiba wake Milton Obote. Ndio maana Obote alikuja kuishi Dar.
Kwa hiyo Nyerere alikuwa anamtafuta Idd Amin kwa udi na uvumba. Inasemekana kulikuwa na kambi za mafunzo kwa Waganda wasiokubaliana na Idd Amin akiwemo Rais Yoweri Museveni kule Moshi. Museveni alisoma degree yake University of Dar es salaam.
Sasa hao waliofunzwa walikwenda kutest zali kwa kufyatua mabomu upande Wa Uganda. Ndipo majeshi ya Idd Amin yakajibu mapigo kwa kushambulia Kagera, wakavunja daraja la mto Kagera na kuharibu nyumba na makanisa.
Hapo ndipo Nyerere akapata sababu, akatangaza vita, kweli majeshi ya Tanzania yakavamia Uganda. Inasemekana hata mataifa ya Magharibi hayakuiunga mkono Tanzania, ila Urusi ndio iliunga mkono na ndio iliyokuwa iki supply silaha.
Ni vita iliyoitia hasara kubwa Tanzania, baada ya hapo ilikuja njaa kali mtakumbuka tulikula unga wa yanga.
Kwa ufupi ndio nilichopata kwenye utafiti wangu mdogo. Wanaojua zaidi watujuze
Kwa hiyo unataka nini au unahitaji msaada upi katika hoja yako hii?
 
Binafsi nimeangali hiki kipindi muda huu ITV nikajikuta nafika mbali sana na kuona kila kitu kinapita hapa tu katika hii duniani na hata haya madaraka na mambo mengine tunayohangaika nayo ni ya kupita tu.

Nimemuona Nyerere anakagua gwaride ila leo ni marehemu.

Nimemuona Raisi aliechukua madaraka ya kuiongoza Uganda baada ya Amini kuangushwa Bina Issa ambae nae leo hii ni marehemu.

Halikadhakika, nimemuona Kawawa kama waziri wa Ulinzi akikamkaribisha Nyerere kuhutubia wananchi ila nae leo ni marehemu.

Nimeona makamanda na wapiganaji wa kitanzania wakishangila ushindi pamoja na kuteka miji ila wengi wao leo nao ni marehemu.

Nimeona wananchi wa Uganda walioteswa na utawala wa Amini wakiyashangilia majeshi ya Tanzania lakini Amin huyu na wanachchi wake hao leo hii wengi wao watakuwa ni marehemu.

Kwakweli hii film imenifanya niwaze mbali sana na kuona hii dunia na mambo yake yote haina maana na tunahangaika bure tu katika hii dunia.

Miaka 30 au 40 ijayo haya yote tunayohangaika kuyafanya katika hii dunia yawe mazuri au mabaya yatakuwa ni historia tu.

Ni bora kutenda wema tu ili mungu atukumbuke katika ufalme wake kuliko kuhangaika na haya ya duniani ambayo hayana maana bali ni ya kupita tu.

Kila napoona film za aina hii huwa nafika mbali sana kimawazo kwa mfano ile ya kuwaua Wayahudi wakati wa Adolf Hitler n.k
 
Huku kwetu wanasema Baba wa kwanza wa nchi hii alipigana kulinda maslahi ya rafiki yake kipenzi aliyepinduliwa.
 
Hii vita Nimegundua ilikuwa ya matakwa ya wachache waliokuwa na self interest.
Hata mimi nimeshangaa sana kuwa waganda wa makabila mengi ukiacha wa Acholi wale wapo kama wa Sudan wanamsifia sana General Amin kuwa kipindi chake kilikuwa na amani nchini kwao ambayo haijawahi kufikiwa na pia ufisadi ulikuwa ni hadithi, achana na wachokozi wachache waliokuwa wanafadhiliwa na nchi jirani kwenda kufanya hujuma.
Hilo swala huwezi kuwabadili waganda walio wengi na ni shock kubwa kulisikia kama ni Mtanznia
 
Binafsi nimeangali hiki kipindi muda huu ITV nikajikuta nafika mbali sana na kuona kila kitu kinapita hapa tu katika hii duniani na hata haya madaraka na mambo mengine tunayohangaika nayo ni ya kupita tu.

Nimemuona Nyerere anakagua gwaride ila leo ni marehemu.

Nimemuona Raisi aliechukua madaraka ya kuiongoza Uganda baada ya Amini kuangushwa Bina Issa ambae nae leo hii ni marehemu.

Halikadhakika, nimemuona Kawawa kama waziri wa Ulinzi akikamkaribisha Nyerere kuhutubia wananchi ila nae leo ni marehemu.

Nimeona makamanda na wapiganaji wa kitanzania wakishangila ushindi pamoja na kuteka miji ila wengi wao leo nao ni marehemu.

Nimeona wananchi wa Uganda walioteswa na utawala wa Amini wakiyashangilia majeshi ya Tanzania lakini Amin huyu na wanachchi wake hao leo hii wengi wao watakuwa ni marehemu.

Kwakweli hii film imenifanya niwaze mbali sana na kuona hii dunia na mambo yake yote haina maana na tunahangaika bure tu katika hii dunia.

Miaka 30 au 40 ijayo haya yote tunayohangaika kuyafanya katika hii dunia yawe mazuri au mabaya yatakuwa ni historia tu.

Ni bora kutenda wema tu ili mungu atukumbuke katika ufalme wake kuliko kuhangaika na haya ya duniani ambayo hayana maana bali ni ya kupita tu.

Kila napoona film za aina hii huwa nafika mbali sana kimawazo kwa mfano ile ya kuwaua Wayahudi wakati wa Adolf Hitler n.k
Wallahy nimekugongea like ya dhati kabisa...

Leo umeongea maneno mujaaarab kabisa...

Adios!!
 
Nilikuwa naangalia kipindi maalum cha mashujaa kwenye television ya ITV. Wameonyesha vita ya Uganda na siku ya mashujaa baada ya vita hiyo.
Nimekuwa nikifuatilia sana vita hii, kujua sababu yake maana kwa muda mrefu tumekuwa tukipewa taarifa za upande mmoja tu (Tanzania).
Lakini ukisikiliza au kusoma upande mwingine utagundua mengi tu.
Nimewahi kusikia kwamba vita hiyo ilisababishwa na uchokozi Wa Tanzania. Nyerere alikuwa hapatani na Idd Amini na alichukizwa na kitendo chake cha kumpindua swahiba wake Milton Obote. Ndio maana Obote alikuja kuishi Dar.
Kwa hiyo Nyerere alikuwa anamtafuta Idd Amin kwa udi na uvumba. Inasemekana kulikuwa na kambi za mafunzo kwa Waganda wasiokubaliana na Idd Amin akiwemo Rais Yoweri Museveni kule Moshi. Museveni alisoma degree yake University of Dar es salaam.
Sasa hao waliofunzwa walikwenda kutest zali kwa kufyatua mabomu upande Wa Uganda. Ndipo majeshi ya Idd Amin yakajibu mapigo kwa kushambulia Kagera, wakavunja daraja la mto Kagera na kuharibu nyumba na makanisa.
Hapo ndipo Nyerere akapata sababu, akatangaza vita, kweli majeshi ya Tanzania yakavamia Uganda. Inasemekana hata mataifa ya Magharibi hayakuiunga mkono Tanzania, ila Urusi ndio iliunga mkono na ndio iliyokuwa iki supply silaha.
Ni vita iliyoitia hasara kubwa Tanzania, baada ya hapo ilikuja njaa kali mtakumbuka tulikula unga wa yanga.
Kwa ufupi ndio nilichopata kwenye utafiti wangu mdogo. Wanaojua zaidi watujuze
Anyway!! Kaushauri kabuuree:
Based on utafiti wako ulioutaja hapo juu nachelea kusema kwamba uko very shallow.. hauwezi kukupa the inside story of the war at all.. utabaki na speculations and hypothetical theories which in the end zitaishia kuwa conspiracy theories tu kama nyingine....

Ili usiwe biased..
Nakusihi kachimbue vyema upate kumfahamu vyema Nyerere ni nanii na falsafa zake ni zipi.. kisha kamsome Iddi Amin Dada umjue ni nani na falsafa zake ni zipi.. fahamu kwa undani ajenda zao wote wawili kwenye ukanda wa mashariki ya Africa na Africa kwa ujumla

Then kwa umakini rejea makabrasha ya historia kuhusu vita ya Uganda.. pata nukuu za frontliners wa vita hiyo on both sides.. pata kujua who were allies on both sides and why....
Nenda mbali zaidi ujue pia jinsi ilivyokwisha.. usihangaike sana kutaka kujua nani alikua mshindi (maana critics wa maswala ya kivita huwa tunasema vita haina mshindi, bali ina nani mwenye hasara chache kuliko mwingine)..

Yangu ni hayo tuu.. kafanye hiyo homework kisha utuletee majibu hapa baada ya utafiti wako kukamilika..
 
Nilikuwa naangalia kipindi maalum cha mashujaa kwenye television ya ITV. Wameonyesha vita ya Uganda na siku ya mashujaa baada ya vita hiyo.
Nimekuwa nikifuatilia sana vita hii, kujua sababu yake maana kwa muda mrefu tumekuwa tukipewa taarifa za upande mmoja tu (Tanzania).
Lakini ukisikiliza au kusoma upande mwingine utagundua mengi tu.
Nimewahi kusikia kwamba vita hiyo ilisababishwa na uchokozi Wa Tanzania. Nyerere alikuwa hapatani na Idd Amini na alichukizwa na kitendo chake cha kumpindua swahiba wake Milton Obote. Ndio maana Obote alikuja kuishi Dar.
Kwa hiyo Nyerere alikuwa anamtafuta Idd Amin kwa udi na uvumba. Inasemekana kulikuwa na kambi za mafunzo kwa Waganda wasiokubaliana na Idd Amin akiwemo Rais Yoweri Museveni kule Moshi. Museveni alisoma degree yake University of Dar es salaam.
Sasa hao waliofunzwa walikwenda kutest zali kwa kufyatua mabomu upande Wa Uganda. Ndipo majeshi ya Idd Amin yakajibu mapigo kwa kushambulia Kagera, wakavunja daraja la mto Kagera na kuharibu nyumba na makanisa.
Hapo ndipo Nyerere akapata sababu, akatangaza vita, kweli majeshi ya Tanzania yakavamia Uganda. Inasemekana hata mataifa ya Magharibi hayakuiunga mkono Tanzania, ila Urusi ndio iliunga mkono na ndio iliyokuwa iki supply silaha.
Ni vita iliyoitia hasara kubwa Tanzania, baada ya hapo ilikuja njaa kali mtakumbuka tulikula unga wa yanga.
Kwa ufupi ndio nilichopata kwenye utafiti wangu mdogo. Wanaojua zaidi watujuze
Pia hio ndo stori niliopewa na babu yangu ambae mpaka leo yupo hai.. Na aliniambia kuanzia kisa cha kupinduliwa obote , kuhusiana na maiti ya kabaka.. Ni long story lakini binafsi naanza kuamini hilo jambo..
Nilichosikia pia ni kwamba waliwachokoza waganda ,so kattika kupigana jamaa wakarudi nyuma mpaka kagera hivyo waganda wakazidi kushambulia huku wamejisahau kua wapo ndan ya tanzani..
 
sijui kama kuna kitabu cha historia duniani ambocho hakipendelei upande mmoja. historia ni upuuzi na uongo, waandishi wa historia wanaandika kile wanachotaka uamini. watu wengi bila hata ya kujaribu kufuatilia maoni ya upande wa pili wanaamini upuuzi wanaoambiwa na viongozi wao wapendwa.... dah kweli maisha ni ubatili...
 
Binafsi nimeangali hiki kipindi muda huu ITV nikajikuta nafika mbali sana na kuona kila kitu kinapita hapa tu katika hii duniani na hata haya madaraka na mambo mengine tunayohangaika nayo ni ya kupita tu.

Nimemuona Nyerere anakagua gwaride ila leo ni marehemu.

Nimemuona Raisi aliechukua madaraka ya kuiongoza Uganda baada ya Amini kuangushwa Bina Issa ambae nae leo hii ni marehemu.

Halikadhakika, nimemuona Kawawa kama waziri wa Ulinzi akikamkaribisha Nyerere kuhutubia wananchi ila nae leo ni marehemu.

Nimeona makamanda na wapiganaji wa kitanzania wakishangila ushindi pamoja na kuteka miji ila wengi wao leo nao ni marehemu.

Nimeona wananchi wa Uganda walioteswa na utawala wa Amini wakiyashangilia majeshi ya Tanzania lakini Amin huyu na wanachchi wake hao leo hii wengi wao watakuwa ni marehemu.

Kwakweli hii film imenifanya niwaze mbali sana na kuona hii dunia na mambo yake yote haina maana na tunahangaika bure tu katika hii dunia.

Miaka 30 au 40 ijayo haya yote tunayohangaika kuyafanya katika hii dunia yawe mazuri au mabaya yatakuwa ni historia tu.

Ni bora kutenda wema tu ili mungu atukumbuke katika ufalme wake kuliko kuhangaika na haya ya duniani ambayo hayana maana bali ni ya kupita tu.

Kila napoona film za aina hii huwa nafika mbali sana kimawazo kwa mfano ile ya kuwaua Wayahudi wakati wa Adolf Hitler n.k
kama huna hoja si-uende kwa kakobe/mzee wa upako sijui ngurumo ya upako sijui mlima wa moto, joe devid etc uka'okoke' kuliko kutuandikia pumba humu.
 
Umesahau kusimulia kwamba amin alikufa akiwa shekh maarufu huko saudia.


Nilikuwa naangalia kipindi maalum cha mashujaa kwenye television ya ITV. Wameonyesha vita ya Uganda na siku ya mashujaa baada ya vita hiyo.

Nimekuwa nikifuatilia sana vita hii, kujua sababu yake maana kwa muda mrefu tumekuwa tukipewa taarifa za upande mmoja tu (Tanzania). Lakini ukisikiliza au kusoma upande mwingine utagundua mengi tu.

Nimewahi kusikia kwamba vita hiyo ilisababishwa na uchokozi Wa Tanzania. Nyerere alikuwa hapatani na Idd Amini na alichukizwa na kitendo chake cha kumpindua swahiba wake Milton Obote. Ndio maana Obote alikuja kuishi Dar.

Kwa hiyo Nyerere alikuwa anamtafuta Idd Amin kwa udi na uvumba. Inasemekana kulikuwa na kambi za mafunzo kwa Waganda wasiokubaliana na Idd Amin akiwemo Rais Yoweri Museveni kule Moshi.

Museveni alisoma degree yake University of Dar es salaam. Sasa hao waliofunzwa walikwenda kutest zali kwa kufyatua mabomu upande Wa Uganda.

Ndipo majeshi ya Idd Amin yakajibu mapigo kwa kushambulia Kagera, wakavunja daraja la mto Kagera na kuharibu nyumba na makanisa.

Hapo ndipo Nyerere akapata sababu, akatangaza vita, kweli majeshi ya Tanzania yakavamia Uganda.

Inasemekana hata mataifa ya Magharibi hayakuiunga mkono Tanzania, ila Urusi ndio iliunga mkono na ndio iliyokuwa iki supply silaha.

Ni vita iliyoitia hasara kubwa Tanzania, baada ya hapo ilikuja njaa kali mtakumbuka tulikula unga wa yanga.

Kwa ufupi ndio nilichopata kwenye utafiti wangu mdogo. Wanaojua zaidi watujuze
 
Na kuna story chafu zilitengenezwa na wazungu ili kumchafua amini maana alikuwa hataki misaada ya wazungu. Na tukio la kufukuza watu wa rangi nyeupe uganda pia kiliwachukuza. So alikuwa ni target pia hta kwa wazungu.
 
Anyway!! Kaushauri kabuuree:
Based on utafiti wako ulioutaja hapo juu nachelea kusema kwamba uko very shallow.. hauwezi kukupa the inside story of the war at all.. utabaki na speculations and hypothetical theories which in the end zitaishia kuwa conspiracy theories tu kama nyingine....

Ili usiwe biased..
Nakusihi kachimbue vyema upate kumfahamu vyema Nyerere ni nanii na falsafa zake ni zipi.. kisha kamsome Iddi Amin Dada umjue ni nani na falsafa zake ni zipi.. fahamu kwa undani ajenda zao wote wawili kwenye ukanda wa mashariki ya Africa na Africa kwa ujumla

Then kwa umakini rejea makabrasha ya historia kuhusu vita ya Uganda.. pata nukuu za frontliners wa vita hiyo on both sides.. pata kujua who were allies on both sides and why....
Nenda mbali zaidi ujue pia jinsi ilivyokwisha.. usihangaike sana kutaka kujua nani alikua mshindi (maana critics wa maswala ya kivita huwa tunasema vita haina mshindi, bali ina nani mwenye hasara chache kuliko mwingine)..

Yangu ni hayo tuu.. kafanye hiyo homework kisha utuletee majibu hapa baada ya utafiti wako kukamilika..
Nakusifu sana kwa mchango wako makini. Vita ile (kama vita au mgogoro wowote duniani) ina tafsiri au "naratives" za aina mbili yaani "Tanzanian narrative" na "Ugandan narrative", na hivyo "victor's vs looser's narrative".
 
Back
Top Bottom