The seer
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 407
- 690
Katika raha ya kiwango cha juu sana kuliko zote duniani ni ile raha ya kujamiana ambayo wengi husema utamu ule sio utamu bali ni raha kwasababu utamu huonjwa kwa ulimi ili kutambua utamu lazima ulimi uhusike. Raha ya tendo la ndoa ni raha ya juu sana kuliko zote ikifuatiwa na raha ya kujisaidia na pia ni raha ambayo maskini na matajiri wanaipata bila shida.
Raha ya kujamiana ni muunguniko wa hisia za hali ya juu kati ya msuguano wa uke na uume na ufahamu (conscious mind) ambapo mtu anafikia kiwango cha juu cha raha kikimalizika kwa kupiga bao kwa mwanaume na mwanamke kufika kileleni ambapo mwili wote na mishipa mbalimbali mwilini huhusika ili kufika kileleni, raha ya kujamiana ni raha ya juu sana mpaka wengine hupiga kelele na kulia, wengine hata imetokea wanajamiana porini wanakaribia kupiga bao nyoka akatokea ghafla lakini wakaendelea na kumwambia nyoka toka toka toka ilimradi wasikatishe kufika kileleni
Maswali ya msingi; ile raha au utamu wakati wa kujamiana unatoka wapi? Je mwanaume anapojamiana utamu anaoupata unatoka kwa mwanamke au kwake mwenyewe na mwanamke je unatoka kwa mwanaume au kwake mwenyewe. Jibu ni kwamba mwanamke na mwanaume wanapojamiana utamu kila mtu anao mwenyewe.
Kinachokusaidia kupata utamu kwa mwanamke na mwanaume ile msuguano wa uke na uume mpaka kufikia kileleni, tendo la ndoa ni swala la kisaikolojia zaidi hivyo hakuna mwanamke mtamu kuliko mwingine swala ni kucontrol msuguano, wanawake wote ni sawa.
Kinachofanya uhisi mwanamke mwingine mtamu kuliko mwingine ni hisia zako na saikolojia yako juu ya huyo mwanamke umbo lake, rangi yake, size yake ndio maana wanaume wengine huhisi wanawake wanene ndio watamu wengine wanahisi weupe ndio watamu yote ni hisia tu.bucha mbalimbali nyama ni ileile.
NB: UTAMU WA KUJAMIANA UNAO MWENYEWE kazi ya mwanamke ni kuactivate au kumotivate utamu ulionao mwenyewe acha kubadili wanawake kwa kutafuta utamu utamu ni uleule.
Raha ya kujamiana ni muunguniko wa hisia za hali ya juu kati ya msuguano wa uke na uume na ufahamu (conscious mind) ambapo mtu anafikia kiwango cha juu cha raha kikimalizika kwa kupiga bao kwa mwanaume na mwanamke kufika kileleni ambapo mwili wote na mishipa mbalimbali mwilini huhusika ili kufika kileleni, raha ya kujamiana ni raha ya juu sana mpaka wengine hupiga kelele na kulia, wengine hata imetokea wanajamiana porini wanakaribia kupiga bao nyoka akatokea ghafla lakini wakaendelea na kumwambia nyoka toka toka toka ilimradi wasikatishe kufika kileleni
Maswali ya msingi; ile raha au utamu wakati wa kujamiana unatoka wapi? Je mwanaume anapojamiana utamu anaoupata unatoka kwa mwanamke au kwake mwenyewe na mwanamke je unatoka kwa mwanaume au kwake mwenyewe. Jibu ni kwamba mwanamke na mwanaume wanapojamiana utamu kila mtu anao mwenyewe.
Kinachokusaidia kupata utamu kwa mwanamke na mwanaume ile msuguano wa uke na uume mpaka kufikia kileleni, tendo la ndoa ni swala la kisaikolojia zaidi hivyo hakuna mwanamke mtamu kuliko mwingine swala ni kucontrol msuguano, wanawake wote ni sawa.
Kinachofanya uhisi mwanamke mwingine mtamu kuliko mwingine ni hisia zako na saikolojia yako juu ya huyo mwanamke umbo lake, rangi yake, size yake ndio maana wanaume wengine huhisi wanawake wanene ndio watamu wengine wanahisi weupe ndio watamu yote ni hisia tu.bucha mbalimbali nyama ni ileile.
NB: UTAMU WA KUJAMIANA UNAO MWENYEWE kazi ya mwanamke ni kuactivate au kumotivate utamu ulionao mwenyewe acha kubadili wanawake kwa kutafuta utamu utamu ni uleule.