Hivi mnatumia methodology gani kujua dini ya mtu?
unamwangalia usoni? au unaangalia jina lake au mnafanyaje wandugu?
Mleta hoja umejaa vioja!
Upo chuo cha MUM?
Mlalamikaji alisema mishahara inatolewa kwamisingi ya udini?
Huyo msilamu aliye na cheo cha kugawa fedha za mishahara anatumia rungu lake vibaya,anawapendelea wajahedina kuliko wagalatia.
Top brass yote hapo UDOM ni urafiki kati yao na JK, MKAPA yupo kama kivuli tuu, hicho cheo hakihitaji,wala hakimnyimi kula,Top hapo ni Pr.Kikula
Angalia posts anazoshika kikulla ndio utajua nini kipo kati yake na JK.
I hate majahudina.
Tatizo linakuja hata pale mambo ya kawaida ya Siasa yanapozungumzwa hapa bodini, kuna baadhi ya watu humu ndani ni wadini wakubwa na lazima waingize falsafa zao za kibaguzi wa kidini. Kuna baadi ya watu na heshima zao humu ndani zikishaingizwa habari zitakazohusishwa na dini, wanageuka wapayukaji na kuongea vitu visivyo na maana na kuonyesha rangi zao za ukweli za kibaguzi wa kidini.
Nakumbuka ile habari ya uongozi wa University of Dodoma, mletaji habari alisema wazi kuwa uongozi wa chuo umejaa waislamu na wanatumia udini kupeana mishahara mikubwa. Na ilitokea baadhi ya watu wakaunga mkono ile habari bila ya kuwa na ushahidi wowote na kukurupuka kutoa shutuma mbalimbali.
Badilikeni nyinyi wadini mnatia kinyaa na kunuka kimawazo kama mashimo ya vyoo.
Mamkwe,
Umetbibitisha tu kuwa ni kweli kile chuo cha UDOM kimeshikwa na Waislaam. Huyu Mchaga Kinabo (kama sikosei) kapewa cheo cha Academic. Huko yeye anadeal na wanafunzi, waalimu, masomo, nk wakati huyu anayeshukiwa kuwa MDINI yaani Pro. S. Mlacha na Kikula, ndiyo Maboss wenyewe na ndiyo wameshika MPINI. Hapo ongeza Bilal ambaye ubabe wake ulionekana wakati Mkapa ni Waziri wa Sayari na Elimu ya Juu na yeye ni Katibu Mkuu. Akipata tatizo badala ya kwenda kwa Mkuu wake Mkapa, alikuwa anaenda moja kwa moja Ofisi ya Jirani yaani IKULU.
Hao Waalimu na viongozi Waislaam wanaweza kuwa wachache ila unyanyasaji wao ukawa wa kutisha.
Kama jamaa wanapata UBABE kutoka kwa Kikwete basi itakuwa ni too bad. Nasema kama wanatumia huo UISLAAM kujifanyia mambo kienyeji, itakuja kuwa mbaya sana kwao huko miaka ya baadaye. Hii aliifanya Prof. Kigoma Malima wakati akiwa Waziri wa Fedha. Alikuwa akitoa misamaha ya kodi kwa Waislaam kama kawa. Upuuzi huo akaja kuufanya Mkapa na genge lake na matokeo yake akina Mramba tunawaona Kisutu.
JIPANGE na uje hapa UPYA.
Siku za hivi karibuni imewahi kuandikwa juu ya madai ya udini, ukabila, ukanda, ubabe katika Chuo Kikuu cha Dodoma. Mimi kama Mtanzania mwenye uchungu na taifa langu niliamua kuzifanyia kazi tuhuma hizo nzito. Niliamua kufanya hivyo kwa kuwa natambua athari za udini, ukabila, na ubaguzi wa aina nyingine katika jamii. Nchi nyingi zimejikuta katika mapambano ya kumwaga damu kutokana na aina mbalimbali za ubaguzi. Katika kuzifanyia kazi tuhuma hizo nilifanya uchunguzi na kubaini yafuatayo:-
Udini Uongozi wa UDOM
Chancellor: H. E. Benjamin W. Mkapa (catholic)
Vice Chancellor: Prof. Idris Kikula (Muslim)
Chairman of Council: Hon. Dr. M. G. Bilal (Muslim)
Deputy Vice Chancellor (Academic): Prof. L. Kinabo (catholic)
Deputy Vice Chancellor ( Administration) Prof. S. Mlacha ( Muslim)
Viongozi wengine wa ngazi za juu UDOM
Principal - College of Education: Prof. K.M. Osaki (catholic)
2 Deans of Schools in the College are all Christians
Principal - College of Humanities: Prof. C. M. Rubagumya (Christian)
2 Deans of Schools in the College are all Christians
Principal- College of Informatics: Prof. N. Mvungi (Christian - Protestant)
2 Deans of Schools in the College are all Christians
Dean of Student (Christian)
Dean, School of Natural Science (Christian)
Dean, School of Medicine (Christian)
Dean, School of Nursing ( Christian)
Source: (UDOM Prospectus and Website)
Wafanyakazi - Wanataaluma - Christians 96%
- Muslim 4%
Wafanyakazi Waendeshaji - Christians 86%
- Muslim 14%
Wanafunzi - Christians 92%
- Muslim 8%
(Source UDOM Website, newpapers, announcements of student admission)
Inashangaza sana kuona mtu mzima mwenye akili zake timamu kuzusha kwamba UDOM ni Chuo cha Waislam kwa kuwa kuna viongozi watatu Waislam bila kuyafanyia kazi madai yake. Bila shaka watu hao na wapambe wao hawalitakii mema Taifa letu.
Waungwana, kutokana na uchungu nilionao juu ya jambo hili bado nitaendelea kufanya utafiti kuhusu muundo wa uongozi katika vyuo na taasisi nyingine za umma na kumwaga data hapa uwanjani kwa madhumuni ya kuwasuta wote wasiotaka mwananchi wa dini au kabila fulani apewe madaraka hata kama ana uwezo. Ukweli ni kwamba viongozi wa UDOM hawakuteuliwa kwa sababu ya dini zao bali uwezo wao ambao kwa kiasi kikubwa unajidhihirisha kwa jinsi ulivyofaulu kubadilisha mandhari ya vilima vya Chimwaga na vitongoji vyake, pamoja na ramani ya nchi yetu katika dunia ya elimu ya juu. Ujenzi wa UDOM umesaidia sana kuinua kiwango cha elimu kwa vijana wanaomaliza kidato cha sita. Vijana wa wakulima na masikini wengine wa Tanzania ambao sasa wanasoma UDOM wangeishia kuwa wapiga debe kwenye vituo vya daladala kwa kukosa sehemu za kujiendeleza. Wanaobeza na wabeze, lakini mimi naifagilia nchi yangu na serikali yake kwa ujenzi wa UDOM bila kujali itikadi za Chama. Wanaosoma UDOM ni Watanzania haijalishi ni wanachama wa CHADEMA, CUF, TLP, CCM, NCCR, au ANR.
Watanzania tuamke, tuache kutumiwa kwa madai ya udini, ukabila, jinsia, kanda nk. Tusipokuwa makini tutajikuta kama majirani zetu.
Naamini JF ni kijiwe cha watu wenye busara, ni vizuri kikatumika kutoa taarifa zilizofanyiwa kazi. Nitasikitika sana endapo JF itageuzwa kuwa kijiwe cha majungu
huko tuendako, tukifanikiwa kuushinda ufisadi, tutasambaratishwa na udiniHaya mambo ya dini sasa yamekuwa too much hapa JF kila siku kutafutana uchawi. Nadhani umefika wakati sasa post zote zenye mirengo ya kidini zikapelekwa kwenye forum maalum ya mambo haya, na hapa tuachieni tuchape siasa kwa kwenda mbele.
Mshindwe wadini wote!
Wanafunzi - Christians 92%
- Muslim 8%
Mamkwe,
Umetbibitisha tu kuwa ni kweli kile chuo cha UDOM kimeshikwa na Waislaam. Huyu Mchaga Kinabo (kama sikosei) kapewa cheo cha Academic. Huko yeye anadeal na wanafunzi, waalimu, masomo, nk wakati huyu anayeshukiwa kuwa MDINI yaani Pro. S. Mlacha na Kikula, ndiyo Maboss wenyewe na ndiyo wameshika MPINI. Hapo ongeza Bilal ambaye ubabe wake ulionekana wakati Mkapa ni Waziri wa Sayari na Elimu ya Juu na yeye ni Katibu Mkuu. Akipata tatizo badala ya kwenda kwa Mkuu wake Mkapa, alikuwa anaenda moja kwa moja Ofisi ya Jirani yaani IKULU.
Hao Waalimu na viongozi Waislaam wanaweza kuwa wachache ila unyanyasaji wao ukawa wa kutisha. Mbona Rwanda na Burundi Watusi walikuwa 10% ila ubabe wao ulikuwa wa kutisha. Wageruman walikuwa wachache tu ila wakatutawala.
Kama jamaa wanapata UBABE kutoka kwa Kikwete basi itakuwa ni too bad. Nasema kama wanatumia huo UISLAAM kujifanyia mambo kienyeji, itakuja kuwa mbaya sana kwao huko miaka ya baadaye. Hii aliifanya Prof. Kigoma Malima wakati akiwa Waziri wa Fedha. Alikuwa akitoa misamaha ya kodi kwa Waislaam kama kawa. Upuuzi huo akaja kuufanya Mkapa na genge lake na matokeo yake akina Mramba tunawaona Kisutu.
JIPANGE na uje hapa UPYA.
Mdini ni wewe! unakerwa na uislamu na post zako zimesheheni chuki dhidi ya uislam.
Hebu isome tena post yako uone ulivyo mdini, kwa akili yako kuwa na waislam 3 uongozi wa juu ni udini (isomeke uislamu) sasa je na hivyo vyuo vingine vilivyobaki ambavyo sio tu viongozi watatu wa juu ni wakristo bali WOTE ni wakristo huoni udini?
Wewe wafahamika hapa kwa chuki zako kwa waislam na kwako hakuna jema kutoka kwa waislam, lakini dini hii imepingwa na makafiri wakubwa kuliko wewe lakini bado ni dini inayo kuwa kwa kasi kuliko dini zote duniani. Endelea na chuki zako mgalatia wewe
no wonder kila kwenye vita (sehemu nyingi) ni kwasababu ya watu kama nyie... Somalia, boko haram(nigeria), afghanistan, iraq, sudan....
Mnaboa sana na analysis zenu hizi za kidini bila kufikiria nje ya box kwanini inakuwa hivyo.