Mwongo ni nani kati yako na yeye. Uliona wakimbizi ukafikiri ndio hali ya Rwanda!! you are insane if you are serious!!Wewe ni muongo kama shetani! Mimi nilifanya kazi Ngara katika makambi mbalimbali ya wakimbizi wa Rwanda na kulikuwa na kambi maalum ambazo zimetengwa kwa ajili ya watusi na wahutu waliooana!
Kuanzia leo nitakuogopa kama ukoma!