Ni upi ukweli kuhusu Nguva (Samaki mtu)?

Mimi nimesoma wildlife nilipokuwa chuo, lkn tunamsoma Nguva kama mnyama anaeishi katk maji na haswa baharini, na mtu alie eneza uvumi huu alikuwa ni Christopher Columbus aliegundua bara la America ndo alisema akiwa safarini ktk bahari alionana na samaki mtu mara 3, hapo ndo ikaanza dhana nzima ya uwepo wao, lkn hakuna mpaka leo sehemu yeyote duniani walipoweka kumbukumbu ya mwili wake zaidi ya picha na filamu za kufikirika, Nguva sio samaki mtu, ukienda pale makumbusho ya taifa ya hapa kwetu Dar es salaam unamkuta nguva yupo lkn sio samaki mtu, ni mnyama na hata hafanani na binadamu
 
Hata Mimi inanichanganya, niliongea na mtaalam mmoja yeye alisema hakuna samaki kama huyo kabisa, japo nguva yupo ila ni samaki wa kawaida, baada ya tsunami Indonesia tulirushiwa picha ya nguva dume mzee nusu mtu na kama miezi miwili hivi iliyopita yaani Decemba kuna picha nyingine ilikuwa inarushwa kwenye WhatsApp kapatikana mwingine kama sikosei ni somalia na huyu alikua mzima sasa sijui niamini lipi. Na bado wataalamu wengi wa samaki hawakubaliani na hiyo ya nusu mtu
 
Huyu samaki yupo kama huamini nenda kawaulize wa vuvi, kuna baadhi walisha bahatika kuwaona viumbe hawa.
 
Huyu anaesemekana amekutwa kafa ni nguva wa kutengeneza na jamaa mmoja mmarekani na alihojiwa akakiri na mpaka siku moja kwenye kipindi cha clouds 360 walimuonesha jamaa kwenye kiwanda chake cha kutngeneza mazombie na madude kama hayo.
 
2.jpg


4.jpg


(6 Aug) correspondent reported. The flow was not For the human beings behind the girl. The lower the long fins, no legs.

To be passed around the world. To be the body of a mermaid stranded on the beach, the Philippine Sea. Yet the day it came out and tells the truth to such a group. That led to believe that the photo above.

Photo sharing the same address Derived from the panned The Pirate of the Caribian which the make-up effects for the mermaid, this is not common. The craft swept into the "Oscars" for advanced techniques which have been used to make the film. And the object is already plenty scared.
SAMAKI ANAJUA SALUNI!
 
Huyu ndie mnyama wa baharini ambae wavuvi humuita nguva, hawa wanyama ni wapole na wanakula majani, wapo aina mbili dugong wapo indian ocean na east africa msumbiji hadi misri
. na manatee wapo west africa na caribean, mexico. Hakuna mnyama ambe ni nusu mtu nusu samaki....ni hadithi. ila wavuvi wetu hukutana dogong

Huyu chini ni dugong
P1060315+(Medium).JPG


New_legislation_is_said_to_protect_the_dugong_from_unreasonable_pain._3.img_assist_custom.jpg


3506496824_7a6a1f7b2a.jpg


upload_2016-4-24_1-9-26.jpeg


0E4582EC43314C97AC9CDACCBB14A0DD.jpg


what-is-a-dugong-2.jpg


manatee
images


Tofauti zao
b3d6900e04ba0ee3f2219f842d72e6ac.jpg
 
Huyu ndie mnyama wa baharini ambae wavuvi humuita nguva, hawa wanyama ni wapole na wanakula majani, wapo aina mbili dugong wapo indian ocean na east africa msumbiji hadi misri
. na manatee wapo west africa na caribean, mexico. Hakuna mnyama ambe ni nusu mtu nusu samaki....ni hadithi. ila wavuvi wetu hukutana dogong

Huyu chini ni dugong
P1060315+(Medium).JPG


New_legislation_is_said_to_protect_the_dugong_from_unreasonable_pain._3.img_assist_custom.jpg


3506496824_7a6a1f7b2a.jpg


View attachment 341946

0E4582EC43314C97AC9CDACCBB14A0DD.jpg


what-is-a-dugong-2.jpg


manatee
images


Tofauti zao
b3d6900e04ba0ee3f2219f842d72e6ac.jpg
Huu ndo ukweli
 
Nguva wote wazungu, malaika wote wazungu, Mungu kafanana na wazungu,Yesu alitoka middle-east lakini alikuwa mzungu na mambo mengine yote ya uongo yemeletwa na wazungu. Kwa hiyo kaa chonjo saa mbaya,unaambiwa sisi binadamu before tulikuwa kama nyani, na tulitokea Africa. Na ndo hapo ukae ukijua mpaka leo nyani bado wapo wengi sana Afrika.
Aisee, ngoja mi nikale ndizi na mapapai sasa hivi.
Duh!Hahaha!Nimecheka sana.Eti nyani ni wengi sana Africa!Haya basi kale ndizi na mapapai!
 
Huyu ndie mnyama wa baharini ambae wavuvi humuita nguva, hawa wanyama ni wapole na wanakula majani, wapo aina mbili dugong wapo indian ocean na east africa msumbiji hadi misri
. na manatee wapo west africa na caribean, mexico. Hakuna mnyama ambe ni nusu mtu nusu samaki....ni hadithi. ila wavuvi wetu hukutana dogong

Huyu chini ni dugong
P1060315+(Medium).JPG


New_legislation_is_said_to_protect_the_dugong_from_unreasonable_pain._3.img_assist_custom.jpg


3506496824_7a6a1f7b2a.jpg


View attachment 341946

0E4582EC43314C97AC9CDACCBB14A0DD.jpg


what-is-a-dugong-2.jpg


manatee
images


Tofauti zao
b3d6900e04ba0ee3f2219f842d72e6ac.jpg

Ebu tujaribu kuangalia hizi video mbili za kwanza tuone kama kuna uhalisia kuwa hivi viumbe ni kweli vipo? au na hizi video ni za kutengenezwa?





 
Mkuu Kaka Kiiza, kwa vile tuu dunia nzima wamedanganyika na wewe unajikubali kuendelea kudanganyika hata baada ya kuelezwa ukweli kuwa kitu kama hicho hakipo!.

Ila pia sishangai kwa watu kuendelea kudanganyika kwa mengi, mfano kuna uongo mkubwa kuwa Mungu yuko Mmbinguni ambako ni mawinguni!. Mungu hakai mbinguni, Mungu yupo hapa hapa dunuini, yuko ndani yako na ndani ya kila mtu!. Mbinguni, peponi na motoni kote ni hapa hapa duniani, sio mawinguni, sio peponi na wala sio juu!.

Endelea kuuamini uongo huo as long as roho yako, moyo wako na nafsi yako imeamini huo ndio ukweli weko, then amini unachoamini ili roho yako itulie!.

Asante.

Pasco

Mkuu Pasco ebu angalia hizi video, kwa kuwa wewe ni mtaalamu je ni halisi au zimetengezwa? kwa kuangalia huyo kiumbe aliyepo kwenye mwamba baharini na huyo anayejirusha kutoka majini na kuzama tena.


 
Nashindwa nifwaate msimamo upi kuhusu hawa viumbe , hadidhi zao nimezisikia toka utoto nahata bibi yangu alisha nihadthia uwepo wahaya madubwasha nashindwa kuelewa huyu mtualie eneza uzushi wa uwepo wahawa samaki nusu mtu nusu binadamu , alifanikiwa vipi kuu danganya ulimwengu mzima.

Mimi nina hisi huenda hapo zamani walikuwepo alafu wakatoweka, maana,siamini kwamba kila mtua angeweza kudanganyika kwa wakati wote huo , siamini kama video zoote tunazo ziona nizaku tengenezwa , haini ingii akilini kwamba huu ni uwongo ulio zushwa kwenye dunia nzima bila hata ya vitabu , bibi ya ngualiawahi kuniambia kuna kiji sehemu ambacho huitwa NGUVENI nanina kijua kwamba chanza, chaeneo hilo kuitwa hivyo nikutokana na zamani alikuwa akionekana samaki ambaye ana Sura na kifua chamtu , yaani NGUVA . Nashindwa kuelewa kama kuna mvumishaji alianza lini huo uvumi paka ukaenea,kipindi bibi yangu mwenye umri wa miaaka 90 ausikie akiwa binti , haini ingii akilini.
 
Ebu tujaribu kuangalia hizi video mbili za kwanza tuone kama kuna uhalisia kuwa hivi viumbe ni kweli vipo? au na hizi video ni za kutengenezwa?






Kiutafiti au sayansi- hakuna kiumbe kama huyo baharini Labda kiimani...asa ni wewe binafsi mkuu uko upande upi. mimi nipo team sayansi. na kwakusikiliza stori za nguva na kufatilia wasemavyo watafiti katika marine biology kilichoaminika wavuvi wa east africa hukutana na dugong ambae wanamwita nguva.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom