Ukweli kuhusu mpaka wa Tanzania na Malawi

Miaka ya 1970 Kamuzu Banda, rais wa Malawi, alitangaza kuwa lile ziwa lote ni la Malawi na akaanza kuwabugudhi Watanganyika waliokutwa kwenye ziwa. Nyerere akasogeza majeshi pale na kumtumia ujumbe Kamuzu aache uchokozi. Kamuzu akanywea.

Tangu hapo hakujawahi kuwapo maelewano rasmi.

Hilo ziwa lilikuwa linajulikana kama ziwa Nyasa kutokana na wenyeji pande zote mbili kuwa Wanyasa. Malawi vile vile ilikuwa inajulikana kama Nyasaland. Walipopata uhuru wakabadili jina na kujiita Malawi. Kwa hiyo na jina la ziwa wakalibadilisha bila makubaliano na sisi. Kwa hiyo kwao ni Ziwa Malawi na kwetu ni Ziwa Nyasa.
 
Jamani jiografia nmejifunzia wapi? tuna bandari pale kyela na mbambabay sasa hizo meli zenafloot eneo lka wamalawi? haiwezekani zima tumepakana nalo kwa mikoa mitatu, yaani mbeya, iringa(sasa Njombe) an Ruvuma alufu liwe ilanamilikiwa kwa 100% na jirani yako, ina maana angeweka wanajeshi wake mpaka kwetu! huo mto songwe uko chini sana, lakini kuna matema beach ambay iko mbali sana , kwa hiyo mto songwe sio mpaka sahii, mkuu wa majeshi wa sasa anavuka mto songwe kwenda kijiji kwao na yuko ziwani kabisa, na hapo sio mwishi kuna watanzania wengine wakwenda mbali zaidi toka alipo yeye

kaka usibishe vitu vingine usivojua. Mimi ni mwanakijiji mwenzake unaemsema mku wa majeshi, na mwakyembe wote wanatoka kijiji kimoja.. We mto unaousema ni kiwira ndo unavuka unenda kina mwamunyange. Ila songwe ni mpaka toka uku kasumulu hadi katumba songwe. Na huwaga mto huu songwe unamatatizo ya kuhamahama na kuingia tz zaidi pind yatokeapo mafuriko. Nafkiri umenipata ee..
 
na ile sheria ya UN Convention on law of the Sea huko haitumia, au ni kwa jusa tu

Hashuo tu la huyo mama.

Hajui hata mipaka ya kazi zake. yeye waziri wa ardhi na makaazi. Baharini sijui anafuata nini
?
 
Ziwa Nyasa (sio Lake Malawi) kwa sisi watanzania ndio ziwa linaloongoza duniani kuwa na aina tofauti za samaki, kuna aina tofauti za samaki zaidi ya 500, tena kuna samaki ambao hawapatikani kokote duniani zaidi ya ziwa Nyasa, pale Kyela kulikuwa na mzungu anavua samaki hai wa mapambo na kuwapeleka ulaya akijiingizia dolali zake na wenyeji wanaishia kula mbelele (aina ya samaki watamu sana sijapata ona lakini wana miba ambayo ni balaa hata ukikaanga vipi haiungui ina pacha ukiwa mroho kutokana na utamu wake lazima itakukwama kooni).

Kuna wakati mkulu alikuja akashangaa wavuvi wa Kyela ni hohehahe, akauliza sababu, afisa uvuvi akasema ah mh unajua ziwa lina kina kirefu. Pale inatakiwa wavuvi wapewe vitendea vya kazi vya kisasa, huko Malawi mwambao wote una hoteli za kisasa na samaki wa ziwa Nyasa ndio wanatoa kipato kikubwa, sisi mmh
 
Naomba huu mjadala ufungwe maana Malawi wakianza VISA Kyela na Ileje vyote vitaenda Malawi bse kwa sasa hatuna viongozi wenye uzalendo kama wa Nyerere ambaye aliamua kuweka kambi ya jeshi pale Mbujeshi/Nkilwa ili kuwadhibiti hawa akina Kamuzu na wenzie.
Sasa ni kheri tuwe watulivu maana mkilianzisha sasa hakuna wa kuyatete hayo maeneo mpaka tutakapo pata viongozi wazalendo maana hawa wa sasa ni kama wapita njia.
 
Tafadhali tupe taarifa kamili ya gazeti hilo....
i.e jina la gazeti, tarehe ya kuchapisha, ukurasa... pia ikiwezekana ISSN na Namba ya Toleo.

Mkuu, hansard siyo gazeti. Ni mkusanyiko wa ripoti rasmi ya yalitokea na kuzungumzwa Bungeni.
 
Mgogoro huo ulianza enzi ya Kamuzu Banda alipokuwa raisi. miaka ya sitini Kamuzu alikuwa anazungumza kwenye redio yao, Malawi Broadcasting Corporation kutoka Blantyre, Malawi, na kusema ziwa lote ni la Malawi na pia wilaya ya Rungwe na hadi Mbeya ni sehemu ya Malawi.

Kuna siku mwezi wa September 1968 Nyerere alimwita Banda ni kichaa. Alikasirika sana kwa sababu ya madai ya Mzee Kamuzu kwamba sehemu za Tanzania ni za Malawi. Alidai hata Mbamba Bay na sehemu zingine mkoani Ruvuma karibu na Ziwa Nyasa kwamba ni za Malawi. Pia alidai jimbo lote, Eastern Province, la Zambia. Kaunda alimjibu Banda na kusema ni shauri yake akitaka kuanzisha vita.

Kabla ya mgogoro huo, Banda alikuja Tanzania na kukutana na Nyerere mwaka 1962 na kumwambia hakuna nchi ya Mozambique. Alimwambia Nyerere wagawane nchi hiyo. Alimwambia Nyerere sehemu ya kaskazini ya Mozambique, sehemu ya Wamakonde jimbo la Cobo Delgado, "ni lako" Nyerere. Ni sehemu ya Tanzania. Sehemu za Mozambique zilizobaki ni za Malawi, Rhodesia na Swaziland. Nyerere alimpuuza tu.

Baada ya miaka michache, 1968, Kamuzu akatangaza na kusema sehemu zetu za Tanzania nilizozitaja hapo juu ni sehemu za Malawi.

Mzee Kamuzu alikuwa ni mkorofi sana.

CHANZO CHA MGOGORO

Mgogoro wa ziwa umetokana na uamuzi wa wakoloni wa Kiingereza kuliweka ziwa hilo chini ya utawala wao wa Nyasaland wakati walipokuwa wanatawala nchi hiyo na ilipokuwa ni British Protectorate. Walifanya uamuzi huo baada ya Wajerumani kushindwa katika vita kuu ya kwanza na Waingereza walipoichukua German East Afrika - iliyokuwa inaitwa Deutsch Ostafrika katika Kijerumani - na kuwa koloni yao ya Tanganyika. Kabla ya hapo, kutokana na makubaliano kati ya Waingereza waliokuwa watawala wa Nyasaland na Wajerumani waliokuwa watawala wa nchi yetu, mpaka wa ziwa ulikuwa kati ya ziwa. Na ndiyo mpaka huo tu ambao ni halali pamoja na jina kuitwa Nyasa, siyo Malawi.

Uamuzi wa Waingereza kuliweka ziwa hilo chini ya utawala wao Nyasaland haukubadilisha mpaka wa ziwa kihalali kwa sababu mipaka yote ya nchi zetu ilikubaliwa wakati bara letu lilipogawanywa na wakoloni. Ni mipaka hiyo ambayo hata sisi tuliikubali baada ya kupata uhuru na hakuna hata nchi moja ambayo ina haki peke yake ya kubadilisha mipaka hiyo. Hata Waingereza hawakuwa na haki ya kulikiweka Ziwa Nyasa chini ya ukoloni wao Nyasaland kwa sababu walivunja makubaliano yao na Wajerumani ambayo yalisema mpaka wa ziwa ni kati ya ziwa hilo: nusu ni sehemu ya Deutsch Ostafrika ambayo sasa ni Tanganyika, na nusu nyingine ni ya Nyasaland chini ya utawala wa Waingereza.

Hata wilaya ya Rungwe ambayo ilijumuisha Kyela na Ileje ilikuwa inatawaliwa kutoka Nyasaland mara tu baada ya Wajerumani kushindwa vita kuu ya kwanza na Waingereza walipopewa madaraka ya kutawala nchi ambayo ilikuwa ni koloni ya Wajerumani; yaani nchi yetu ya Tanganyika.

Deutsch Ostafrika - German East Africa - ilikuwa ni nchi tatu: Tanganyika, Ruanda na Urundi (nchi ambazo zilibadili majina na kuitwa Rwanda na Burundi mwaka 1962 baada ya kupata uhuru).

League of Nations - jumuiya ya mataifa iliyoitangulia United Nations - iliwapa Wabeligiji Ruanda na Urundi. Koloni hizo mbili za Wabeligiji zilikuwa zinatawaliwa kutoka Leopoldville, mjii mkuu wa Belgian Congo, nchi ambayo pia ilikuwa inatawaliwa na Wabeligiji. Mpango huo ni kama vile wilaya ya Rungwe ilipowahi kutawaliwa kutoka Karonga na Waingereza waliokuwa wanatawala wa Nyasaland na baadaye kiuchukua nchi yetu ya Tanganyika kutoka kwa Wajerumani.

Baada ya vita kuu ya kwanza, na Wajerumani kushindwa vita hiyo, waziri mkuu wa Uingereza, Lloyd George, kwenye mkutano wa League of Nations alimwambia raisi wa USA, Woodrow Wilosn, kwamba aichukue German East Africa, yaani nchi yetu, na kuiweka chini ya utawala wa Merikani baada ya Wajerumani kuipoteza nchi hiyo katika vita kuu ya kwanza. Lakini President Wilson alikataa. Angekubali, nchi yetu ingetawaliwa na USA na tungekuwa koloni ya USA. Baada ya Rais Wilson kukataa kuichukua nchi yetu, Lloyd George akakubali na kusema ataichukua Tanganyika na kuiweka chini ya utawala wa nchi yake ya Uingereza. Tuliponea chupuchupu kuchukuliwa na Wamerika. Nchi yetu ingechukuliwa na Wamerika, labda tusingepata uhuru. Wamerika wangeing'ang'ania nchi yetu kama vile walivyo ng'ang'ania nchi zingine walizochukua bila kuzipa uhuru.

Kuhusu Ziwa Nyasa, kwa kifupi ni kwamba mpaka halali uko kati ya Ziwa. Ni mpaka ambao Wajerumani na Waingereza walikubaliana kuzigawa koloni zao: Nyasaland kuwa ya Waingereza; nchi yetu, Deutsh Ostafrika, kuwa ni ya Wajerumani. Walikubaliana kwamba mpaka wa ziwa ni kati ya ziwa hilo. Upande mmoja tu, Waingereza, hawakuwa na haki ya kubadili mpaka kati ya Tanganyika na Nyasaland walipolikweka ziwa hilo chini ya utawala wao Nyasaland.

Nukuru kutoka kitabu cha Nyerere and Africa: End of an Era, ukurasa 484:

"Dr. Banda also claimed substantial parts of Tanzania, including - Rungwe district - and the rest of Mbeya Region in southwestern Tanzania, as Malawian territory. He also claimed the entire Eastern Province of Zambia, provoking a curt response from Zambia’s president, Dr. Kenneth Kaunda, who challenged Banda to 'Go ahead and declare war on Zambia.[SIZE=-1][SUP]'[/SUP]


And President Nyerere dismissed Banda’s claim to large chunks of Tanzanian territory as 'expansionist outbursts, which do not scare us, and do not deserve my reply.' The outlandish claim also drew a sharp response from Nyerere who said Dr. Banda was 'insane.' But, he warned, 'Dr. Banda must not be ignored; the powers behind him are not insane.[SIZE=-1][SUP]'"[/SUP]



Akizungumza ktk chuo kikuu cha Dar es Salaam, November 1997, Mwalimu Nyerere alisema



"In 1961 we became independent. In 1962, early 1962, I resigned as prime minister and then a few weeks later I received Dr. Banda. Mungu amuweke mahali pema (May God rest his soul in peace). I received Dr. Banda. We had just, FRELIMO had just been established here and we were now in the process of starting the armed struggle.
So Banda comes to me with a big old book, with lots and lots of maps in it, and tells me, 'Mwalimu, what is this, what is Mozambique? There is no such thing as Mozambique.' I said, 'What do you mean there is no such thing as Mozambique?' So he showed me this map, and he said: 'That part is part of Nyasaland (it was still Nyasaland, not Malawi, at that time). That part is part of Southern Rhodesia, that part is Swaziland, and this part, which is the northern part, Makonde part, that is YOUR part.'
So Banda disposed of Mozambique just like that. I ridiculed the idea, and Banda never liked anybody to ridicule his ideas. So he left and went to Lisbon to talk to Salazar about this wonderful idea. I don’t know what Salazar told him. That was ‘62."[/SIZE][/SIZE]
 
Nasikia kuna kipindi Malawi walifunga "outlet" ya maji ya Ziwa Nyasa nakusababisha mafuriko eneo la Mbeya jambo lilolazimisha kwenda kufungua outlet hiyo kwa nguvu usiku usiku.

Inasemekana Malawi walifanya hivyo ilikusogeza mbele mpaka wa nchi hiyo kijanja.

Kama Mwalimu alivyosema 'Dr. Banda must not be ignored; the powers behind him are not insane'.

Kumbe ile nguvu iliyokuwa nyuma ya Banda bado hipo na sasa imeongezewa nguvu baada yaMalawi kupata Rais wa "sasa"
 
cross-posted from, "MaraviPost.com"
Except for the Kamuzu-Nyerere photo, other photos are an addition from their respective websites, not from the original post.
---

Written by THE WISE ONE & GARVEY KARVEI
Wednesday, 01 August 2012

Current Affairs:

Malawi: 2012, July: "But our terms are clear on this. According to the 1890 ecoland agreement between Britain and Germany, the border between Malawi and Tanzania is the edge of the waters of Lake Malawi. So we are very clear about that but we will continue to engage with Tanzania as a good neighbour," Patrick Kabambe, Principal Secretary, Principal Secretary in the Ministry of Foreign Affairs and International Cooperation, Malawi quoted by Malawi's Daily Times.

Tanzania: 2012, July: "We don't want Tanzanians to ask for permission from Malawi to fetch water or fish from Lake Nyasa. If we don't reach a consensus, we will take recourse in international law." Tanzania‘s Attorney General Judge Frederick Werema, responding to a concern from the Member of Parliament for Mbeya Region (special seats), Hilda Ngoye.

Ms Ngoye had charged that the Malawian tourists and fishing boats have been trespassing on Tanzanian territorial waters at will, escalating tensions.

"Tanzanians around Lake Nyasa's shores have the right to fish or engage in other productive activities on the lake, without being intimidated," she had told the Tanzanian parliament, demanding an explanation from the government on the status of the border between Tanzania and Malawi.
9693114.jpg
L-R: Benard Membe (Tanzania, Minister) - Ephraim Chiume (Malawi, Minister) enjoy a cup of tea at the Kilimanjaro Hyatt Regency in Dar es Salaam, Tanzania in August 2012, before the lake Malawi/Nyasa discussion.

cross-posted from, "MaraviPost.com"
photos of Malawi/Nyasa lake are an addition, not from the original post.
---

Written by THE WISE ONE & GARVEY KARVEI
Wednesday, 01 August 2012

Current Affairs:

Malawi: 2012, July: "But our terms are clear on this. According to the 1890 ecoland agreement between Britain and Germany, the border between Malawi and Tanzania is the edge of the waters of Lake Malawi. So we are very clear about that but we will continue to engage with Tanzania as a good neighbour," Patrick Kabambe, Principal Secretary, Principal Secretary in the Ministry of Foreign Affairs and International Cooperation, Malawi quoted by Malawi's Daily Times.

Tanzania: 2012, July: "We don't want Tanzanians to ask for permission from Malawi to fetch water or fish from Lake Nyasa. If we don't reach a consensus, we will take recourse in international law." Tanzania‘s Attorney General Judge Frederick Werema, responding to a concern from the Member of Parliament for Mbeya Region (special seats), Hilda Ngoye.

Ms Ngoye had charged that the Malawian tourists and fishing boats have been trespassing on Tanzanian territorial waters at will, escalating tensions.

"Tanzanians around Lake Nyasa's shores have the right to fish or engage in other productive activities on the lake, without being intimidated," she had told the Tanzanian parliament, demanding an explanation from the government on the status of the border between Tanzania and Malawi.

The gist of the dispute:

The dispute is about who owns what is, as far as Malawians are concerned, Lake Malawi and as far as Tanzanians are concerned, Lake Nyasa.

According to Malawi, this isn't even a subject for debate. Malawi owns 100% of Lake Malawi and if we are to go by the vision of Malawi's founding president, Dr. Hastings Kamuzu Banda, Malawi just like its predecessor the Maravi Kingdom (no relationship with Maravi Post) should in fact extend to some parts of present day Tanzania and even Mozambique.

According to Tanzania on the other hand, the lake is shared and the boundary of these two neighbouring countries should follow the median line in Lake Nyasa. This is the official stance of the Tanzanian Government hence any Malawian activity beyond this line are deemed "trespassing".
949407626.jpg
L-R: Kamuzu - Nyerere (photo: MaraviPost.com)

The Historical Context:

This dispute traces its origin to the Berlin Conference, and trouble is rooted in the Berlin Act of 1885, that was signed by the 13 European powers that attended the conference that formalised the Scramble for Africa.

According to documents on the demarcation of the border around Lake Nyasa encapsulated by the Anglo-Germany Treaty of July 1, 1890 – verbatim – the border runs as below:

"To the south by the line that starts on the coast of the northern border of Mozambique Province and follows the course of the Rovuma River to the point where the Messinge flows into the Rovuma. From here the line runs westward on the parallel of latitude to the shore of Lake Nyasa. Turning north, it continues along the eastern, northern, and western shores of the lake until it reaches the northern bank of the mouth of the Songwe."

Tanzania, of course, doesn't agree with this, with Tanzanian scholars calling this demarcation "spurious".

Put to Kamuzu Banda by Tanzania's Julius Nyerere that the map between independent Malawi and Tanzania should follow the median line, in his unique blunt style Dr. Banda responded as below:

"We will never recognize or accept this claim: we will never agree to the suggestion or proposal. The Lake has always belonged to Malawi….Everyone knew Nyerere as a coward and communist inspired jellyfish: We know while pretending to be a staunch supporter of the OAU, Nyerere is the worst agitator and betrayer of the cause for which the Organization was formulated. History, geography or even ethnical knowledge will convince Nyerere that four districts to the South of Tanganyika belong to us by nature. It is only that we respect the feasible unification of Mother Africa that we do not claim these districts. All that we are doing is setting [sic] historical truth."

Dr. Banda in 1962 reinforced his claim in addition to the authority of the Anglo-Germany Treaty of July 1, 1890 with some maps from the national archives.

He even went as far as suggesting to Mwalimu Julius Nyerere that a part of Mozambique was supposed to be part of Malawi – then still Nyasaland.

But as is usually case in any dispute, Tanzania is equally able to produce maps that show the median as the boundary, but such maps have never disputed the contents and spirit of the Anglo-Germany Treaty of July 1, 1890.
464692099.jpg
image: worldstatesmen.org/Tanzania

Pre-Independence Treaties and the Lake Malawi /Nyasa dispute:

The reason this dispute will not disappear any day soon is rooted in Malawi's and Tanzania's divergent views vis-à-vis pre-independence treaties including the Anglo-Germany Treaty.

Julius Nyerere, as the first Tanganyika Prime Minister, prepared a policy document for implementation after independence in which the Secretary-General of the United Nations was informed thus:

"As regards bilateral treaties validly concluded by the United Kingdom on behalf of the territory of Tanganyika, or validly applied or extended by the former to the territory latter, the Government of Tanganyika is willing to continue to apply within the territory, on a basis of reciprocity, the terms of all such treaties for a period of 2 years from the date of independence [i.e. until 8 December 1963] unless abrogated or modified by mutual consent. At the expiry of that period, the government of Tanganyika will regard such of these treaties, which could not by the application of the customary international law be regarded as otherwise surviving, as having terminated."

As a result, Tanzania refused to recognize the treaties that naturally gave the lake to Malawi on independence on 6 July 1964 since its allegiance to such expires on December 8, 1963.

And this was the major recipe for this dispute because, it meant that in practice; Malawi and Tanzania now had different points of reference, which explains the continued stand-off.

Parties that have different points of reference in any argument are as good as parallel lines. They can never meet. In the least, it explains where Malawi and Tanzania are at, with respect to Lake Malawi a.k.a Lake Nyasa.
In all likelihood, Dr. Banda would have viewed such a policy, which was supposed to be outward looking but designed in a way that only serves internal interests, with utter contempt.


Any merit in Tanzania's claim to half the lake?

Having said all this one then wonders if Tanzanians are mad to be claiming half the lake and on what basis some map makers show the median line as the boundary. There are several International Conventions that deal with rights associated with water.

Rights associated with water that is not flowing are called littoral. Generally land beneath non-sovereign lakes are owned by the surrounding upland owners. When all the deeds call to the lake, each owner has title to a centre point. This principle is referred to riparian rights and is the basis for Tanzania's claim.
262014123.jpg
image: african.lss.wisc.edu

Should Malawi buy this?

From the statement of Patrick Kabambe, Malawi's Principal Secretary in the Ministry of Foreign Affairs and International Cooperation, this seems like a far-fetched idea and one is tempted to subscribe to this thought.
"Indeed, we went for discussion on the border issue and we categorically put it to them that as far we are concerned, the entire lake belongs to Malawi."

The point is: if one person unilaterally decides to annul existing international treaties (like the Anglo-Germany Treaty - which by the way is all there is on this – and both Tanzanians and Malawians were not represented which makes them both victims); why should another person suffer from subscribing to the treaty?

Advice to Malawi: Let's by all means meet, eat, drink together, and talk with Tanzania. But the talking will not undo the Anglo-Germany Treaty.

As Dr. H. Kamuzu Banda used to say, we are all brothers and sisters – the maps and divisions were imposed on us by the colonialists; therefore, let us all (Malawians and Tanzanians) fish and swim in the beautiful Lake Malawi.

But please, our brothers and sisters from across the border shouldn't stop us from exploring ventures that can lift our livelihood and economy.

Just as the learned Tanzanian scholar, Fulgence S Msafiri, quoted William Shakespeare - Merchant of Venice, we will go a step further and paraphrase the same: Tanzania will be taking our lives, if Tanzania takes away the means by which we want to prosper and live!

source: MaraviPost.com
917044782.gif
image: questconnect.org
 
Hili ni tatizo la kihistoria na inaonekana halifuatiliwi tena tokea Nyerere aondoke madarani. Kwanza kuna tatizo kuhusu jina la ziwa. Malawi wanasema ziwa linaitwa "Lake Malawi wakati sisi tunadai ni "Lake Nyasa". Nchi nyingine na ramani za kimataifa zinalitambua jina la Lake Nyasa. Tatizo lilizanza baada ya Malawi kupata uhuru wake mwaka 1964. Kwa wale waliosoma historia watakumbuka kuwa kabla ya uhuru wake, Malawi ilikuwa ikiitwa Nyasaland. Walipopata uhuru na kubadilisha jina, walitaka pia kubadilisha jina la ziwa kutoka ziwa Nyasa kwenda Ziwa Malawi.

Kitu kingine kilichochangia huu mgogoro ni Banda kuanzisha uhusiano wa kibalozi na serikali ya makaburu Afrika Kusini miaka ya 1960s. Viongozi wengi wa Kiafrika akiwemo Nyerere alipinga sana hili. Hii iliongeza chachu ya mgogoro juu ya jina na ramani ya ziwa Nyasa kati ya Tanzania na Malawi. Kwa sasa mgogoro juu ya jina la ziwa ni dormant.

Ukija kwenye ramani, Tanzania inadai mpaka unapita katikati ya ziwa. Huu ni mpaka uliowekwa kati ya Uingereza na Ujerumani wakati wa Berlin Conference juu ya kuigawa Afrika katika makoloni. Malawi wanadai ziwa lote liko Malawi ispokuwa ile sehemu ya chini iliyo Msumbiji. Tatizo ni pale Ujerumani iliponyang'anywa makoloni yake baada ya vita kuu ya kwanza ya dunia, ambapo Tanganyika iliwekwa chini ya Uningereza. Kitu ambacho serikali ya kikoloni ya Uingereza ilifanya ni kuweka maeneo yote ya maji ya Ziwa Nyasa chini ya mamlaka ya Malawi (wakati huo Nyasaland) ikiwemo pia ile sehemu ya maji iliyokuwa upande wa Tanganyika. Hiki ndicho kiini cha tatizo kwa sababu baada ya Malawi kupata uhuru, automatically walidhani maji yote ya Ziwa Nyasa yako kwao kwa sababu yaliwekwa chini ya mamlaka yao tokea ukoloni.

Japokuwa kumekuwa na migogoro ya hapa na pale, Malawi imekataa kusema wazi kuwa ziwa ni lao. Kulikuwa na mgogoro miaka ya 1990s na miaka ya 2000s lakini haukufika mahali. Hata hiyo imeadhiri kwa kiasi kikubwa haki za wavuvi hasa wale wa upande wa Tanzania wanaoishi kando kando ya ziwa. Mara nyingi wamekuwa wakilaumiwa na wenza wa Malawi kuwa wanavua kwenye maji ya Malawi.

Serikali ya pande zote husika zinabidi kulichukulia hili suala kwa uzito zaidi. Vingenevyo ukitokea mgogoro wa wananchi wa pande zote husika hapa, itakuwa ngumu kusuluhisha. Haya mambo sijui ya kuunda tume, yatachukuwa miaka na miaka kutatua hili tatizo. Resources are very scarce. Siku ikugundulika kuna madini ndani ya ziwa itakuwa ni balaa.

Chini hapo ramani ya Google inaonyesha Ziwa Malawi halipo Tanzania. Serikali ilishawahi hata kuwaandikia Google kujua ni vigezo gani walivyotumia kuchora hii ramani?


attachment.php


Kwa mara nyingine tena (baada ya yale ya Skagat) some saw this coming:
Wqaliona tatizo na wakashauri serikali husika zitilie mkazo katika kuatua
huo mgogoro kabla madini hayagunduliwa humo ziwani. Where are we now?
 
Hii sio mara ya kwanza kwa nchi ya Malawi kudai ziwa Nyasa ni mali yao. Inasemekana mara ya kwanza aliyekuwa nyuma ya mpango huo wakati huo nchi hiyo ikiwa chini ya rais wao Dr Hastings Kamuzu Banda walikua ni makaburu. Sasa inasemekana kuna mkono wa hawa "wajomba zetu" wanaosaidia kuchangia bajeti zetu. Na kisa kikubwa ni mafuta ambayo inasemekana yapo kwenye ziwa hilo. Je kuna mwenye ushahidi juu ya uwepo wa mafuta huko Nyasa? na nikweli Waingereza ndo wanaomshinikiza yule "mama" wa Malawi kufanya hivyo?
 
Membe yuko bize kuusaka Urais saa ngapi atapata nafasi ya kuangalia mipaka na Malawi?
 
Membe yuko bize kuusaka Urais saa ngapi atapata nafasi ya kuangalia mipaka na Malawi?
Inauma sana, sana kuona kua wwatu wenye kazi zao zingine waliliona hili mapema,
and the so called officials we are paying to do the job on our behalf could not see this.
even when the danger was waived to their faces they didn't take any step.
Can you believe this thread was written a year ago! na sasa yametokea!
 
Mwaka jana kuna chi 2 za Amerika Kusini; Nicaragua/Honduras, nusura waingie vitani baada ya mojawapo kufuata ramani ya Google na kutangaza kuwa ndio mpaka wao rasmi.

Hawa jamaa wa Google, msitari wa mpaka wamechora na rangi nyekundu kisha wanaonyesha LAke Nyasa yote imebaki Malawi, hii imekaaje? Nadhani hili la ugomvi wa mpaka halina itikadi, nakumbuka miaka ya nyuma enzi za Hayati Mwalimu nusura tuzipige na Malawi wakati wa Dr. Banda kwa ajili ya mpaka huu.

Mnategemea nini kutoka kwa JK ambaye anashindwa kuulinda hata ule muungano wetu na Zanzibar?????? Wamalawi wamesoma mchezo wakagundua we r at our weakest point then wamestrike!!!!!!!!!
 
sentensi yako ya kwanza hapo juu sijaielewa ,ramani ya Tanganyika tuliipeleka UN ili iweje? mipaka iliyopo leo nchi za kiafrika ziliamua kuirithi kama ilivyo toka kwa wakoloni mwaka 1884 huko Berlin ujerumani

sasa Google inahusikaje kufanya hayo?

Italeta fujo sana endapo kila nchi itajiamulia mambo kienyeji-enyeji kama Malawi inavyotaka kufanya,vita vya Uganda vilipiganwa kwa mambo kama haya

Ukweli ni kwamba kwa mujibu wa mkataba wa kikoloni wa Heligoland (Heligoland Treaty of 1890) ziwa lote ni sehemu ya Malawi. Tanzania haina nguvu yoyote ya kisheria inayoweza kufanya ishinde kesi kama itapelekwa mahakama ya dunia. Tunachofanya kwa sasa ni ubabe tu. Malawi wana haki kutokana na mikataba ya mipaka tuliyorithi kutoka kwa wakoloni ambayo kila nchi inapaswa kuiheshimu. Vipi nao Wakenya wakidai mlima Kilimanjaro ambao ulikuwa kwao kabla ya kuhamishiwa kwetu? Kama Wamalawi wana haki wapewe ziwa lao.
 
Haya mambo ni lazima yapewe kipaumbele na msukumo wa hali ya juu sana kutoka serikalini. Tatizo huwa ni kwamba, wanachukulia kawaida sana mpaka jambo linakuwa kubwa. Hii si mara ya kwanza kwa Malawi kudai hivyo, lakini halichukuliwi kwa uzito. Ngoja tuione hii serikali dhaifu itakavyo lishughulikia hili!
 
Hii Migogoro lazima kuna watu wanacreate kwa maslahi yao binafsi. Mwaka jana tu Kenya na Uganda waligombea kisiwa, China, Japan, Philipenes nao wanagombania visiwa huko na sasa tanzania na malawi. Basi nao msumbiji karibuni watasema mto ruvuma ni wao na kenya watasema Mlima Kilimanjaro ni wao. Na viongozi wetu hawatoi tamko lolote ama ndo muendelezo wa udhaifu? Namkumbuka Mkapa waburundi walikohoa tu kabla hawajatema kohozi vifaru vilikuwa tayari mpakani.
 
Doesn't make sense to deprive people living on the shores of lake Nyasa the right to enjoy its resources. To some of us, the lake has been and will always be the only natural and customary source of life. Any act purporting to rob us of this prerogative is in deed an explicit violation of fundamental human rights. Our Commander in Chief needs to assure us that our armed forces will stand shoulder to shoulder with us and preserve our rightful use of the lake. Any acts of aggression by the neighbor should be met with decisive and commensurate response. We have full faith in our Government that it will take the right course of action in the course of this crisis. God bless the United Republic of Tanzania, God bless our men and women in uniform.
 
Back
Top Bottom