Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 23,138
- 26,638
kwa kweli natamani hii wangeiona wananchi wote wa tz,ccm ni washenzi!
<br>wauaji, wanafaa kunyongwa hadharani.
Hamna madai yao yalio tekelezwa. yaani wametekeleza wasicho omba na walicho omba hawajatekelezewa. Mia
Ukweli ni kuwa serikali ya CCM bado inatumia usanii na propaganda kama vile bado tupo miaka ile ya CCM yajenga Nchi,awataki kuamini kuwa wamevaa koti tu na bukta na sio suti kamili,awataki amini kuwa awana jipya la kuwaambia wadanganyika tenaIn brief serikali haioneshi kama ilishughulikia madai ya Madaktari, na upo upotoshaji mkubwa kwamba madaktari waliomba pesa ya kufanya uchunguzi wa Maiti kwa shs 100,000/ madaktari hawakuwa na dai hili, na Tanzania ina Madaktari wasiozidi 10 tu wanaochunguza maiti
Wekeni yanayojiri wengine tupo mbali na tv.
wauaji, wanafaa kunyongwa hadharani.