Haki hupiganiwa endapo tu inamanufaa kwa uma na inalenga kupata suluhusho la KUDUM kwa faida ya kizazi chasasa na kijacho bila kuwagawa watanzania.
Wasipogoma madakitari kunafaida gani guendelea kuhudumu
1. Hakuna madawa
2. Hakuna vitendea kazi, (vifaa vya kazi, mikasi, x ray machines, utrasound, vitanda, nk
3. Vifaa vichache na duni vya mawasiliano na uchukuzi(sim, magari, ambulace- eti bajaji zibebe wajawazito, kule bungeni wanasafiri na magari yasioendana na uchumi HAFIFU.
3. Majengo mabovu ya hospitali, maabala nk
5. Mishahara duni isiyokidhi viwango, doctor anafanya operation akijiuliza atapatawapi pesa za kulipia pango na ada za watoto- matokeo watu kufanyiwa operation za vichwa au mikasi kubaki matumboni HAWA NAO SIWANAKUFA? KUNAFAIDA KUFANYA KITU CHENYE MATOKEO HASI? HAPANA BORA KUGOMA
Kwa maana hiyo ni bora wagome tufunge mikanda serikali iboreshe mazingira ya kazi, vifaa, majengo na madawa ilitufaidi sote kodi tulipazo.
Sasa hivi ni kawaida serikali kututoza kodi halafu wanagawana huko juu na sisi tunapata shida kila idala huku chini
-Afya DUNI kwa walalahoi wanasiasa na watoto wao matibabu India, Ujerumani, Sweeden nk
-Elimu DUNI kwa walalahoi wanasiasa na familia zao elimu nje ya inchi watatukolonaizi vipi kama kama hawajatuhujumu?
-Miundombinu DUNI ambapo wanasiasa na familia zao hupita humo kwa magari ya kifahari bila kuhisi maumivu, wala shida
-MISHAHARA YA TRA, MAWAZIRI NA WABUNGE JUU walalahoi mishahara duni, mfumuko wa bei na hudma duni zikituangamiza na familia zetu
-FEDHA ZA JK KUTALII, FUNGU LA KUTOSHA LIPO MPAKA ZINAIBIWA KWANINI SISI MASKINI WALAU WASITUBORESHEE MATIBABU
Haiwezekani inabidi tujikomboe na mikono hatari ya wanasiasa wachumia tumbo, wavivu kufikili, wazito kutoa maamuzi na wasio na VIPAUMBELE, DHARURA WALA MIKAKATI YA MUDA MREFU
YOTE HAYA NI MATOKEO YA KUWA NA RAIS ASIEWEZA KUSIMAMA KWA MIGUU YAKE NA KUAMUA KWA FAIFAIDA YA TAIFA
Wasipogoma madakitari kunafaida gani guendelea kuhudumu
1. Hakuna madawa
2. Hakuna vitendea kazi, (vifaa vya kazi, mikasi, x ray machines, utrasound, vitanda, nk
3. Vifaa vichache na duni vya mawasiliano na uchukuzi(sim, magari, ambulace- eti bajaji zibebe wajawazito, kule bungeni wanasafiri na magari yasioendana na uchumi HAFIFU.
3. Majengo mabovu ya hospitali, maabala nk
5. Mishahara duni isiyokidhi viwango, doctor anafanya operation akijiuliza atapatawapi pesa za kulipia pango na ada za watoto- matokeo watu kufanyiwa operation za vichwa au mikasi kubaki matumboni HAWA NAO SIWANAKUFA? KUNAFAIDA KUFANYA KITU CHENYE MATOKEO HASI? HAPANA BORA KUGOMA
Kwa maana hiyo ni bora wagome tufunge mikanda serikali iboreshe mazingira ya kazi, vifaa, majengo na madawa ilitufaidi sote kodi tulipazo.
Sasa hivi ni kawaida serikali kututoza kodi halafu wanagawana huko juu na sisi tunapata shida kila idala huku chini
-Afya DUNI kwa walalahoi wanasiasa na watoto wao matibabu India, Ujerumani, Sweeden nk
-Elimu DUNI kwa walalahoi wanasiasa na familia zao elimu nje ya inchi watatukolonaizi vipi kama kama hawajatuhujumu?
-Miundombinu DUNI ambapo wanasiasa na familia zao hupita humo kwa magari ya kifahari bila kuhisi maumivu, wala shida
-MISHAHARA YA TRA, MAWAZIRI NA WABUNGE JUU walalahoi mishahara duni, mfumuko wa bei na hudma duni zikituangamiza na familia zetu
-FEDHA ZA JK KUTALII, FUNGU LA KUTOSHA LIPO MPAKA ZINAIBIWA KWANINI SISI MASKINI WALAU WASITUBORESHEE MATIBABU
Haiwezekani inabidi tujikomboe na mikono hatari ya wanasiasa wachumia tumbo, wavivu kufikili, wazito kutoa maamuzi na wasio na VIPAUMBELE, DHARURA WALA MIKAKATI YA MUDA MREFU
YOTE HAYA NI MATOKEO YA KUWA NA RAIS ASIEWEZA KUSIMAMA KWA MIGUU YAKE NA KUAMUA KWA FAIFAIDA YA TAIFA