FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,881
- 109,190
Unataka kusema kuwa Mapinduzi ya Zanzibar aliyafanya Nyerere au Wanzanzibari? hebu toweni ujinga wenu huko. Nyerere has got nothing to do with this. Na hakuna hata Mtanganyika 1 aliyewahi kufanya Mapinduzi huko ZNZ. Hizo zote ni chuki zenu kwa Watnganyika
Soma "Kwa heri Ukoloni kwa heri Uhuru" kitabu alichokuwa anakinukuu Tundu Lissu BMK wakati anamponda Nyerere.