Mauza uza
JF-Expert Member
- Jul 24, 2008
- 2,097
- 1,363
Huyu Tanzania njema ndo jipu lenyewe kama sio mhusika mkuu basi anahusika either directly or indirectly...JF ni kisima cha ma intelligence sasa analeta upashkenge wake hapa kumtetea maimu...huyo mtu wake mie namjua toka amepanga kijitonyama na sasa ana hio pesa ya wizi ya NIDA..tutaonana mahakamani kujua ipi mbichi na ipi mbivu...ngenge nini???