Njowepo
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 9,710
- 2,226
Mwananchi la leo wanasema Alisema kuwa wataalamu wa ujenzi wa mradi huo watatoka nchini Brazil na kwamba tayari makubaliano yamekwishafanyika kinachosubiriwa ni fedha na kiasi kinachohitajika ni Sh 4 bilioni.
Wakati Daily news leo wanasema wanasema US $ 2 BILLION
MY TAKE
Daily news ndio wako sahihi as for the last 10 years tumekuwa twauongelea huu mradi ivi kweli 4 billion zingetushinda wakati ni ela za kawaida sana TZ kwa sasa ambayo ata wizi ni mwendo wa matrillion.
Gazeti la mwananchi huwa nawaamini katika facts pls kuweni makini maana hadhi yenu bado iko juu.
Wenzenu Nipashe wameona figure inawachanganya wakaamua kutoitaja.
Wakati Daily news leo wanasema wanasema US $ 2 BILLION
MY TAKE
Daily news ndio wako sahihi as for the last 10 years tumekuwa twauongelea huu mradi ivi kweli 4 billion zingetushinda wakati ni ela za kawaida sana TZ kwa sasa ambayo ata wizi ni mwendo wa matrillion.
Gazeti la mwananchi huwa nawaamini katika facts pls kuweni makini maana hadhi yenu bado iko juu.
Wenzenu Nipashe wameona figure inawachanganya wakaamua kutoitaja.