Ukweli kuhusu eneo la Kilombero Arusha huu hapa

LENGIO

JF-Expert Member
Apr 9, 2012
1,096
508
Eneo lilokuwa la wazi karibu na kilombero sokoni liliuzwa kwa kampuni lijulikanalo kwa jina EMOIL MARKET SOLUTION mwaka 2005 muda mfupi baada ya baraza la madiwani kuvunjwa na mkataba huo kusainiwa na aliyekuwa meya Lota Laizer.kwa kushauriwa na wataalamu na baadhi ya madiwani.Baadhi walioshiriki katika ufisadi huo ni aliyekuwa mwanasheria Andason msumba meya Lota laizer,diwani Karimu mushi na diwani wa viti maalum. Habari za uhakika walipewa hela inayozidi milioni 250.fedha hizo zigawanywa nyumbani kwa diwani karimu eneo la lemara,na ziliwasilishwa na mwanasheria Andason kwa kutumia gari aina pajero ambalo kwa sasa inamilikiwa na aliyekuwa meya lota laizer.Na kiunganishi kati ya halimashauri na kampuni husika ni aliyekuwa mtumishi idara ya ardhi anayejulikana kwa jina moja urassa ambaye inasadikika ni mmoja wa wamiliki wa kampuni hiyo akiwamo Basil pesambili mramba.kwa hiyo wa machinga wako sahihi kukomboa maeneo yetu ya wazi.bado kuna eneo lingine la wazi liko lovolosi pia wamejimilikisha hivohivo mramba na urassa.
 
Lengio na Wana JF,
Shamba la Bibi laendelea kupuputiwa,
Mungu tu ndio mwenye kuweza Kuepusha Mabalaa haya.
Nawakilisha



Eneo lilokuwa la wazi karibu na kilombero sokoni liliuzwa kwa kampuni lijulikanalo kwa jina EMOIL MARKET SOLUTION mwaka 2005 muda mfupi baada ya baraza la madiwani kuvunjwa na mkataba huo kusainiwa na aliyekuwa meya Lota Laizer.kwa kushauriwa na wataalamu na baadhi ya madiwani.Baadhi walioshiriki katika ufisadi huo ni aliyekuwa mwanasheria Andason msumba meya Lota laizer,diwani Karimu mushi na diwani wa viti maalum. Habari za uhakika walipewa hela inayozidi milioni 250.fedha hizo zigawanywa nyumbani kwa diwani karimu eneo la lemara,na ziliwasilishwa na mwanasheria Andason kwa kutumia gari aina pajero ambalo kwa sasa inamilikiwa na aliyekuwa meya lota laizer.Na kiunganishi kati ya halimashauri na kampuni husika ni aliyekuwa mtumishi idara ya ardhi anayejulikana kwa jina moja urassa ambaye inasadikika ni mmoja wa wamiliki wa kampuni hiyo akiwamo Basil pesambili mramba.kwa hiyo wa machinga wako sahihi kukomboa maeneo yetu ya wazi.bado kuna eneo lingine la wazi liko lovolosi pia wamejimilikisha hivohivo mramba na urassa.
 
Itafika sehemu vijana wataanza kuvamia makazi ya mafisadi na kuwapa kichapo humohumo kwenye majumba yao. Maana hawa jamaa wamezidi kwa uchu wa mali. Hivi hizo pesa wanamtafutia nani hasa. Yaani unadhulumu kwa ajili ya mwanao??? Kwa nini usimpeleke shule nzuri na yeye akaja kujitafutia maisha mwenyewe akiwa na elimu bora??? Kwani umemzaa mlemavu??? Mi naamini hawa jamaa kama ni pesa za kula wanazo, sasa tamaa za nini jamani??? Si mtafute tuu kwa halali???
 
muanzisha thread uko sahihi kabisaa,,, uhusiano wa pesambili na huyo urassa (MICHAEL URASSA), naufahamu sana,tangu siku nyingi ni mabesti sana, urassa amejenga hekalu lake maeneo ya njiro arusha na kipindi hicho pesambili akiwa waziri alikua akija arusha anafikia kwa urassa, na jumapili wanakuja wote kanisani njiro parish - kanisa katoliki... na hiyo kampuni pia ya ERMOIL marketing iliwahi kumiliki kituo cha mafuta maeneo ya njiro, chini kidoogo ya mwisho wa lami, baada ya skendo za kina mramba kulipika, wakaibadilisha jina kwa sasa ipo und
er SANGO petrol...
 
muanzisha thread uko sahihi kabisaa,,, uhusiano wa pesambili na huyo urassa (MICHAEL URASSA), naufahamu sana,tangu siku nyingi ni mabesti sana, urassa amejenga hekalu lake maeneo ya njiro arusha na kipindi hicho pesambili akiwa waziri alikua akija arusha anafikia kwa urassa, na jumapili wanakuja wote kanisani njiro parish - kanisa katoliki... na hiyo kampuni pia ya ERMOIL marketing iliwahi kumiliki kituo cha mafuta maeneo ya njiro, chini kidoogo ya mwisho wa lami, baada ya skendo za kina mramba kulipika, wakaibadilisha jina kwa sasa ipo und
er SANGO petrol...

Pasua jipuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu. Ongeza na Kibo Palace Hotel!!! Owner ni Mramba!! Kama kuna shareholders wengine watajeni tu but Basil ndiyo kidedea pale!! Mgonja ya kwake iko mjini Arusha katikati, ni hotel pia!!!! tunaliwa hadi kusikoliwa, mafisadi. 2015 lazima sheria ya kutaifisha irudi, yaani lile azimio maarufu la Arusha.
 
Mussa mkanga yule diwani wa sombetini pia alijiuzulu kwa Skandal hilo,kumbuka mussa mkanga ndo anatumiwa kushtaki na kuupoka ubunge wa lema.KATIKA SKANDAL PIA alikuwa na paul laiser na diwani viti maalum ambaye ni hawara wa mkanga aishiye kambi ya fisi maromboso,nadhani anaitwa mama Soka.
 
Karim mushi!!kumbe naye fisadi?ooh maskini diwani wetu! Japo sikumpa kura yangu lakini kanisikitisha sana
 
muanzisha thread uko sahihi kabisaa,,, uhusiano wa pesambili na huyo urassa (MICHAEL URASSA), naufahamu sana,tangu siku nyingi ni mabesti sana, urassa amejenga hekalu lake maeneo ya njiro arusha na kipindi hicho pesambili akiwa waziri alikua akija arusha anafikia kwa urassa, na jumapili wanakuja wote kanisani njiro parish - kanisa katoliki... na hiyo kampuni pia ya ERMOIL marketing iliwahi kumiliki kituo cha mafuta maeneo ya njiro, chini kidoogo ya mwisho wa lami, baada ya skendo za kina mramba kulipika, wakaibadilisha jina kwa sasa ipo und
er SANGO petrol...



Michael Urassa aliekuwa (au bado yupo) Manispaa kwenye mipango mji, right??
Kama ni huyu jamaa ni Beste wa Mramba saaaana. Amejenga Njiro chini kidogo ya Amani Bar karibu na jeshi, kwa uoga jumba kalipiga layers tatu za Fensi ya umeme, kafunga CCTV kila kona.
Pesa zake anaziweka account tofauti tofauti, kwa kuwafungulia mkewe na wake wote accounts ili kuhifadhi fedha hizo.

Huyu jamaa Ndie anaesimamia kampuni ya Mramba ya Tanganyika Mines.
Jamaa ni Fisadi Bigtym.
 
Pasua jipuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu. Ongeza na Kibo Palace Hotel!!! Owner ni Mramba!! Kama kuna shareholders wengine watajeni tu but Basil ndiyo kidedea pale!! Mgonja ya kwake iko mjini Arusha katikati, ni hotel pia!!!! tunaliwa hadi kusikoliwa, mafisadi. 2015 lazima sheria ya kutaifisha irudi, yaani lile azimio maarufu la Arusha.

kabisa mkuu.... Ndo mana ccm kamwe haitaweza kulitwaa jimbo la arusha mjini,,,, most of the people wanaujua uozo ndani ya jiji hili ulosababishwa na chama cha mauaji
 
Itafika sehemu vijana wataanza kuvamia makazi ya mafisadi na kuwapa kichapo humohumo kwenye majumba yao. Maana hawa jamaa wamezidi kwa uchu wa mali. Hivi hizo pesa wanamtafutia nani hasa. Yaani unadhulumu kwa ajili ya mwanao??? Kwa nini usimpeleke shule nzuri na yeye akaja kujitafutia maisha mwenyewe akiwa na elimu bora??? Kwani umemzaa mlemavu??? Mi naamini hawa jamaa kama ni pesa za kula wanazo, sasa tamaa za nini jamani??? Si mtafute tuu kwa halali???

Mkuu hayo unayosema sooon yatatimia. Nilikuwa Arusha juzi na nikashuhudia jinsi wale vijana walivokuwa wanavunja ule uzio wa mabati na kila mmoja kuondoka na bati lake.
Kwa kweli ile ni ishara kwamba vijana watafikia mahali na kuvamia maeneo au nyumba zilizojengwa kwa uvamizi wa kifisadi wa maeneo ya wazi. Na walikuwa wanaimba ''Nchi Imeuzwa Na Sisi Tuchukue Chetu''.
 
Duh kazi ipo....ukombozi wa nchi hii upo mikonon mwa vijana! Na sio CC au CDM...
 
Michael Urassa aliekuwa (au bado yupo) Manispaa kwenye mipango mji, right??
Kama ni huyu jamaa ni Beste wa Mramba saaaana. Amejenga Njiro chini kidogo ya Amani Bar karibu na jeshi, kwa uoga jumba kalipiga layers tatu za Fensi ya umeme, kafunga CCTV kila kona.
Pesa zake anaziweka account tofauti tofauti, kwa kuwafungulia mkewe na wake wote accounts ili kuhifadhi fedha hizo.

Huyu jamaa Ndie anaesimamia kampuni ya Mramba ya Tanganyika Mines.
Jamaa ni Fisadi Bigtym.

zexactly mkuu... Huyo huyo unaemsemea wewe.. Siku hizi hayupo tena manispaa.. Kashatoka... Jamaa wamejikatia viwanja huku njiro, open space kibaoo,,, kuna moja pale njiro container kama unapajua imezungushiwa ukuta, kiwanja kama cha eka 5 ivi,,,ndo hao hao,, pale mimi nimecheza mpira nilivokua mdogo, leo hii washajimilikisha.... Kweli nchi imeuzwa
 
Eneo lilokuwa la wazi karibu na kilombero sokoni liliuzwa kwa kampuni lijulikanalo kwa jina EMOIL MARKET SOLUTION mwaka 2005 muda mfupi baada ya baraza la madiwani kuvunjwa na mkataba huo kusainiwa na aliyekuwa meya Lota Laizer.kwa kushauriwa na wataalamu na baadhi ya madiwani.Baadhi walioshiriki katika ufisadi huo ni aliyekuwa mwanasheria Andason msumba meya Lota laizer,diwani Karimu mushi na diwani wa viti maalum. Habari za uhakika walipewa hela inayozidi milioni 250.fedha hizo zigawanywa nyumbani kwa diwani karimu eneo la lemara,na ziliwasilishwa na mwanasheria Andason kwa kutumia gari aina pajero ambalo kwa sasa inamilikiwa na aliyekuwa meya lota laizer.Na kiunganishi kati ya halimashauri na kampuni husika ni aliyekuwa mtumishi idara ya ardhi anayejulikana kwa jina moja urassa ambaye inasadikika ni mmoja wa wamiliki wa kampuni hiyo akiwamo Basil pesambili mramba.kwa hiyo wa machinga wako sahihi kukomboa maeneo yetu ya wazi.bado kuna eneo lingine la wazi liko lovolosi pia wamejimilikisha hivohivo mramba na urassa.

alikuwa mwanasheria na kaimu mkurugenzi manispaa ya mtwara na sasa kahamishiwa manispaa ya lindi kama mwanasheria, kumbe ufisadi kaanza siku nyingi ehh!
 
inapendeza kuona wananchi wameamka
JF bonge la darasa.
soon tutashuhudia vijana wakivamia mafisadi hadi makwao kurudisha walivokwapua
 
Umesahau pia Mussa Mkanga aliyekuwa diwani wa Sombetini nae alihusishwa kwenye hiyo scandal na kutimuliwa udiwani wake
 
Mungu naye anatusaidia kwa kuwamaliza kwa stroke,pressure,kisukari nk,

Isitoshe muda wa kuvifaidi kwa uhuru unaelekea ukingoni so soon 2015,nawaomba wa TZ hasa vijana msihadaike tena.
 
muanzisha thread uko sahihi kabisaa,,, uhusiano wa pesambili na huyo urassa (MICHAEL URASSA), naufahamu sana,tangu siku nyingi ni mabesti sana, urassa amejenga hekalu lake maeneo ya njiro arusha na kipindi hicho pesambili akiwa waziri alikua akija arusha anafikia kwa urassa, na jumapili wanakuja wote kanisani njiro parish - kanisa katoliki... na hiyo kampuni pia ya ERMOIL marketing iliwahi kumiliki kituo cha mafuta maeneo ya njiro, chini kidoogo ya mwisho wa lami, baada ya skendo za kina mramba kulipika, wakaibadilisha jina kwa sasa ipo und
er SANGO petrol...


Mkuu! Hakika uko sahihi kwa 100% na bila shaka hili janga likianza nafikiri hapatatosha!
 
Back
Top Bottom