Ukweli kuhusu bahati nasibu za Simu za Mkononi

Hawa jamaa karibu watageuka kuwa kama matapeli wa Nigeria. Naombeni muache kunitumia ujumbe kuwa jina langu limeshinda kushiriki katika bahati nasibu. mimi sijawahi na sitokaa nishiriki huo ujinga. wajinga ndio waliwao.
Nashangaa siku mnazindua ile promosheni ya hyundai i10 mlisema kusudio ni kurudishe faida kwa watumiaji, halafu hapo hapo mnamkata m2 550/= Hapo mmerudishia faida au ndio mnazidi kumkamua?
Ni kama DECI vile!!! Lakini serikali imehalalisha
 

Hawa jamaa karibu watageuka kuwa kama matapeli wa Nigeria. Naombeni muache kunitumia ujumbe kuwa jina langu limeshinda kushiriki katika bahati nasibu. mimi sijawahi na sitokaa nishiriki huo ujinga. wajinga ndio waliwao.
Nashangaa siku mnazindua ile promosheni ya hyundai i10 mlisema kusudio ni kurudishe faida kwa watumiaji, halafu hapo hapo mnamkata m2 550/= Hapo mmerudishia faida au ndio mnazidi kumkamua?


...Na si kwamba wakikata hio 550/= ndio unakuwa umekata 'tiketi' ya bahati nasibu, la hasha. Ndio kwanzaa wanakuletea maswali ujibu eti uongeze pointi za ushindi! Kama ni hivyo kwa nini basi watoze 550/= kwa ile meseji ya kwanza??? Si wangeacha tu iwe bei ya kawaida ya msj halafu mjinga anayeendelea kujibu maswali rahisi yanayotumwa ndio aendelee kukatwa????
 
ukweli ni kwamba ktk ishu hizi, watu wanakuwa wameshaandaliwa, hata mtu wa gaming akiwepo atafanya nini kwa sababu teknolojia ya kuendeshea michezo hiyo iko juu kuliko hao watu wa gaming, chances za yeye kujua kuna udanganyifu ni finyu sana! mbona issue izo ziko wazi tu kuwa watu wanashindishana!
 
Mmeliwa kweupeee? Nilisema ktk thread fulani kama hii niliyoanzisha last month kuwa wanawaibia watu. CCM inashiriki haya madudu maana serikali yake inajua kila uozo wa hizi nasibu bahati lakini hakuna wanachofanya. Endeleeni kucheza huku vigezo na masharti vikizingatiwa. dawa ni kutocheza hizi bahati nasibu
Tatizo ni hapo kwenye rangi nyekundu, hivyo vigezo huwa vinawekwa wapi au wewe unavijua....
 
kabla ya uchaguzi wa mwaka 2005 walikuja na janja ya kubalisha namba za magari na kila gari ilikuwa TZS 50000 kama sikosei, wakavuna pesa baadae tuliambiwa ilikuwa pesa ya kampeni...leo driving licence na bahati nasibu za Simu za Mkononi...

Ukitaka kujua ukweli. nenda pale Bandarini. above 80% ya Invoices za magari wana uplift ndio ulipe zaidi. Haya mabango yenye picha za watu wanaochekacheka yanalipiwaje. ukizingatia yamewekwa nchi nzima.
 
Nyie bwana sometimes mawazo yenu muwe mumeyafanyia assesment kisha kuyatoa,, Vodacom, Zain Tigo, na makampuni mengine ya sim ni makampuni ya kibiashara,,
kunama Marketing managers ambao hao kazi yako ni kutafuta njia ya kupandisha pato la Company, na hakuna njia nyingine bali kufanya Promotions na kuendesha Bahatinasibu ambazo Destination ni kupata faida kubwa kama kazi yake inavyo mtuma,

kazi hii hufanywa kwakulingisha gari au Fedha kwani ukitoa sh 5000,000, wakacheza watu 300,000 wakakatwa shiringi 550 kwa kila sms, na kutumiwa sms zenye ujumbe wa kumpa moyo, kwa siku hutuma sms sita mpaka nae,

maana yake kila mmoja huchangia sh 3,300, Hesabu hii ukizidisha mara watu wote wanaoshiriki no sawa na shiringi 990,000,000 wakitoa shiringi 5000,000, wanabakiwa na faida ya shiringi 985,000,000

kwahiyo musije mukasema wanavifadhili Vyama kwasababu wao pia wanataka Faida sasa kwa kuvifadhili vyama watapata fida gani,, kwa mfano Zaid Wahindi wale wapo a chama Gani hapa?

tuwe productive katika kufikiria
 
Nyie bwana sometimes mawazo yenu muwe mumeyafanyia assesment kisha kuyatoa,, Vodacom, Zain Tigo, na makampuni mengine ya sim ni makampuni ya kibiashara,,
kunama Marketing managers ambao hao kazi yako ni kutafuta njia ya kupandisha pato la Company, na hakuna njia nyingine bali kufanya Promotions na kuendesha Bahatinasibu ambazo Destination ni kupata faida kubwa kama kazi yake inavyo mtuma,

kazi hii hufanywa kwakulingisha gari au Fedha kwani ukitoa sh 5000,000, wakacheza watu 300,000 wakakatwa shiringi 550 kwa kila sms, na kutumiwa sms zenye ujumbe wa kumpa moyo, kwa siku hutuma sms sita mpaka nae,

maana yake kila mmoja huchangia sh 3,300, Hesabu hii ukizidisha mara watu wote wanaoshiriki no sawa na shiringi 990,000,000 wakitoa shiringi 5000,000, wanabakiwa na faida ya shiringi 985,000,000

kwahiyo musije mukasema wanavifadhili Vyama kwasababu wao pia wanataka Faida sasa kwa kuvifadhili vyama watapata fida gani,, kwa mfano Zaid Wahindi wale wapo a chama Gani hapa?

tuwe productive katika kufikiria



you 100% correct, tatizo watu wanaongea bila kufikiria wanayo yaongea, kwa faidia wanayoipata hayo makampuni ku fix mshindi wa million 10 ni nonsense, kama kuna watu wana ambawi wameshinda afu wanapewa less than what they have won mbona hawa jitokezi ili serikali(gaming board + TCRA) wakayaadabisha hayo makampuni,??

TUACHE KUISHI KWA TETESI ZA MITAANI. pia hujalazimishwa kucheza, tamaa zako za kununua gari kwa shilingi 550 ndo zinakuponza.!
 
Back
Top Bottom