Nkwesa Makambo
JF-Expert Member
- Aug 26, 2011
- 4,763
- 1,314
hivi weye !!! mtu akija kwako akasema samahani naomba nipige picha na wewe ungekataa! tatizo ni kwamba mnajiweka leval moja na muheshimiwa RAIS...
Weka hii kichwani mwako " NI rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania" !! mtu yoyote atakapo pata oportunity ya kupiga picha naye ... atapiga!! ....
wengi wenu mwadhani mh. raisi anawaita yeye na kuwaambia " naomba nipige picha na wewe" kama mawazo yenu ni hayo poleni ...
wamaanisha rais wetu ni easy go.Hana mda wa kuacess impact kwa watu wake kama kiongozi wa nchi kwenye nyendo zake.Akiombwa kupiga picha na mtu hana noma, 'STATUS QUO ?' PRESIDA ?????!!!!!!!