Ukweli katika mahusiano

umesema kweli lizzy - watu wanachanganya elimu ya darasani na elimu ya maisha - kama mwanamke ana elimu ya maisha hata kama hana ya darasni - lazima atamwongoza mwanaume mwenye elimu ya darasani ila hana elimu ya maisha kuna tofauti kubwa..........................
Yatima asante kwa kua na mawazo endelevu....
 
unajua siku hz nikiangalia kwny uhusiano ni bora uwe na mpenz asiyesoma ila awe mwepes kwny elimu dunia. Mana asilimia kubwa ya wasom ni wajinga nikiwa na maana atajiona anajua kila kitu na hvyo hawez kukubali kushauriwa chochote. Kwanza asilimia kubwa ya wasomi (sana sana wanawake) ni wavivu kufanya jambo la maendeleo yan hawatak kufanya kaz ngumu na hvyo hata kwny mahusiano yeye anajidai anajua kila kitu na hii ndo sababu unakuta wanachelewa kuolewa. Kingne wanakuwa sio waaminifu hii ni kutokana hawana haibu na mtu yoyote na mahal popote. Hvyo wanatokea kujiamin kupita kiasi na ndo mana wanaachika kama anavyo acha kaz vile. So kuwa msomi na kutosoma sio tatzo tatzo wewe mwenyewe umeelimika vipi kwny masuala ya mahusiano. Elimu co kigezo cha uelewa au uzuri. Kama alivyosema LIZZY
 
Bwana ulosema yanawezekana lakini sio 100% kweli yapo kwa baadhi ya watu.
Matatizo mengi ya wanawake yanategemea na malezi ya awali. unaweza ukapata mwanamke msomi akawa tofauti kabisa na unavyofikiri. au ukapata asiye msomi akawa powa kabisa mwenye mawazo yenye maendeleo. Chamuhimu ni kumtanguliza mwenyenzi Mungu katika hili.
nina rafiki mwenye elimu ya kawaida akaoa binti very educated, kwa kweli ndoa yao haikudumu hata mwaka. nina rafiki mwingine kipindi fulani alikuwa mwalimu chuo kikuu Dar, alioa house girl wa prof mmoja hapa udsm na sasa wanaishi happy na mwanamke she is very big business woman in one northern region.
 
Harakaharaka nikushauri faida za mwanamke msomi,1. Ni msafi2. Ni mshauri mzuri kwenye maswala ya maendeleo, mjinga atanishauri nini?3. Ana wivu wa maendeleo na mapenzi pia, mjinga yupo tu tayari kwa lolote,4. Anakubaliana na mabadiliko. Mfano kama umeishiwa kwa bahati mbaya uwezekano wa kukuvumilia ni mkubwa kuliko kuwa na mjinga ambae ikitokea umefilisika anarubuniwa na wenye nazo kiulaiíííni.5. Ana mchango mkubwa kwa mumewe, hasa ktk maswala ya kifedha.6. Huwaza maendeleo zaidi kuliko ngono, mjinga anajua kaolewa kwa ajili ya kuzaa tu.7. Anajiamini(confidence), so huwezi kumpeleka peleka.8. Anajua umuhimu wa kuwasomesha watoto. Mjinga atapendelea wanawe wawe na hata kaelimu ya kuwapatia kakipato ka kula. Hana ndoto za mbali.9. Ana uelewa kuhusu uzazi wa mpango.10. Ana uwezo wa kutetea jamii na kutoa michango mbalimbali ya mawazo. Mfano waliopo JF, Kama Ashadii, afrodenzi, lizzy, FF, Preta, nk.
una mke msomi wewe au unaandika mambo ya kufikirika tu. Wanawake wengi wasomi ni wasafi kwa nje ila ukifika kwake ni uchfu mtupu ndo maana hawaachi kuajiri mahausi g. Inshort ni kwamba hizi si sifa za mwanamke msomi ni sifa za mwanamke yoyote ni swala la tabia tu. Kwanza mnatakiwa muweke wazi msomi ni mtu yupi halafu ndo muanze kujadili.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom