Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nenda kijijini kaoe wasiosoma
halafu uje utupe report
upo sahihi 100% mimi nashauri wanawake wasomi waruhusiwe kuoa wanaume kwa sababu walio wengi hutaka kuwa kichwa cha familia yaani juu ya mumeweelimu haimati ktk mahusiano, kutokusomai kwa mwanamke haimanishi ni mjinga anaweza akakushauri sana, hao wliosoma si ndo hao watembea uchiiii?umesahau mke mwema atoka kwa Mungu?, mwanamke aliyesoma (wengi wao) wanataka wawe kichwa cha familia angali Mwanaume ndo kichwa cha family hapo home ni full kugombana
ndugu yangu katika ndoa nyingi zenye malumbano ni msomi vs msomiKafanye upya utafiti wako mkuu maana unakosa mambo mengi sana ya muhimu. Wengi hata wale ambao wameoa wanawake ambao hawajasoma wanajitahidi sana kuwapeleka shule wake zao ili waendane na ulimwengu tulio nao. Mwanamke yoyote awe amesoma au hajasoma kama ana natura ya kiburi huwezi kuikwepa ipo tuu na wala haijalishi ni usomi au nini.
hapo bwana mzee wenye sifa hizo ni 20% ya wasomiHarakaharaka nikushauri faida za mwanamke msomi,
1. Ni msafi
2. Ni mshauri mzuri kwenye maswala ya maendeleo, mjinga atanishauri nini?
3. Ana wivu wa maendeleo na mapenzi pia, mjinga yupo tu tayari kwa lolote,
4. Anakubaliana na mabadiliko. Mfano kama umeishiwa kwa bahati mbaya uwezekano wa kukuvumilia ni mkubwa kuliko kuwa na mjinga ambae ikitokea umefilisika anarubuniwa na wenye nazo kiulaiíííni.
5. Ana mchango mkubwa kwa mumewe, hasa ktk maswala ya kifedha.
6. Huwaza maendeleo zaidi kuliko ngono, mjinga anajua kaolewa kwa ajili ya kuzaa tu.
7. Anajiamini(confidence), so huwezi kumpeleka peleka.
8. Anajua umuhimu wa kuwasomesha watoto. Mjinga atapendelea wanawe wawe na hata kaelimu ya kuwapatia kakipato ka kula. Hana ndoto za mbali.
9. Ana uelewa kuhusu uzazi wa mpango.
10. Ana uwezo wa kutetea jamii na kutoa michango mbalimbali ya mawazo. Mfano waliopo JF, Kama Ashadii, afrodenzi, lizzy, FF, Preta, nk.
ndugu yangu katika ndoa nyingi zenye malumbano ni msomi vs msomi
mh? Kwa upande mmoja upo sawa kwa upande mwngne haupo sawa lakn watafiti wanaendelea na utafiti so sina uhakika
kwa upande wangu mimi sina upande wa shiling mana kote kote analingana na hvyo ninashndwa kusema wap ni wap ila ukiangalia kimtazamo asilimia kubwa ya wanawake walio wasom wanachelewa kuolewa kutokana na kuwa na trick tofaut tofaut na hvyo kuwapelekea hayo kuwatokea. Nisingependa kujadili sana hl ngoja niwaachie wengne nitarud bidaeMurefu sema ukweli wako na hebu tupe maoni yako yanaegemea upande gani wa shilingi