msnajo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 3,066
- 1,136
Wakuu salaam,
Naomba kwa pamoja tujadili hili swala.
Tanzania hii kuna watumishi wanalipwa mpaka 20ml, upande wa pili kuna wanaolipwa laki 3. Hii inatia uchungu sana. Najiuliza tofauti kubwa namna hii tunaenda wapi?? Majuzi nilisoma thread moja humu kuwa wabunge wamefika 10ml(sina uhakika). Hawa wanaolipwa huu mishahara ya ukwasi namna hii wanafanya kazi gani kubwa kiasi hicho ili hali uchumi wetu graph ipo zero. Mathalan wabunge kama kweli watalipwa hicho kiasi, najiuliza wanafanya kazi gani wakati wengine hakuna uwakilishi wowote wanaofanya??
Mfano hawa wabunge wa viti maalam, kazi yao nini?. Ukifika wakati kuchangia mjadala, utasikia wanavyozungumza upuuzi na kuunga mkono hoja za kipuuzi. Kuna haja ya kutazama upya hili swala la wabunge wa viti maalum. Mbaya zaidi hata hawalipi kodi wakati huyu wa laki 3 anakamuliwa haswa!
Naomba kwa pamoja tujadili hili swala.
Tanzania hii kuna watumishi wanalipwa mpaka 20ml, upande wa pili kuna wanaolipwa laki 3. Hii inatia uchungu sana. Najiuliza tofauti kubwa namna hii tunaenda wapi?? Majuzi nilisoma thread moja humu kuwa wabunge wamefika 10ml(sina uhakika). Hawa wanaolipwa huu mishahara ya ukwasi namna hii wanafanya kazi gani kubwa kiasi hicho ili hali uchumi wetu graph ipo zero. Mathalan wabunge kama kweli watalipwa hicho kiasi, najiuliza wanafanya kazi gani wakati wengine hakuna uwakilishi wowote wanaofanya??
Mfano hawa wabunge wa viti maalam, kazi yao nini?. Ukifika wakati kuchangia mjadala, utasikia wanavyozungumza upuuzi na kuunga mkono hoja za kipuuzi. Kuna haja ya kutazama upya hili swala la wabunge wa viti maalum. Mbaya zaidi hata hawalipi kodi wakati huyu wa laki 3 anakamuliwa haswa!