Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,316
- 33,125
Ukuta umepigwa radi.
Mwenye kapelo ni Mnyika huoni moustache mkuu? Na huyu anaekimbilia kwa babu nyuma ya ukuta naona ni Lema. Nyani Ngabu
Nilichojifunza zaidi hapa kumbe wakati wa kuuvunja wanaoanguka vibaya sio kina Mamvi, Mbowe, wala Lisu . Na hii ndio inatoa picha ya CHADEMA kwa ujumla wakati wa vuruguHiyo picha imenichekesha sana.
Hapo namwona Ngosha kwenye usukani...halafu namwona kamanda Siro...Babu Lowassa yuko nyuma ya ukuta anakula chabo...Mbowe na Lissu wapo pale kwa juu...sijui yule mwenye kapelo pale juu ndo yule katibu mkuu wao mpya...hao wengine wanaokula kona sijui ndo akina Sugu na Prof. J.
Imenipa burudani sana hii picha.
km Msigwa vileMwenye kapelo ni Mnyika huoni moustache mkuu? Na huyu anaekimbilia kwa babu nyuma ya ukuta naona ni Lema. Nyani Ngabu
Msingwa amedondosha karai la zege mkuu.km Msigwa vile
ngoja nimuulize mchoraji
Msingwa amedondosha karai la zege mkuu.
We ni mchangiaji mzuri sana.Hiyo picha imenichekesha sana.
Hapo namwona Ngosha kwenye usukani...halafu namwona kamanda Siro...Babu Lowassa yuko nyuma ya ukuta anakula chabo...Mbowe na Lissu wapo pale kwa juu...sijui yule mwenye kapelo pale juu ndo yule katibu mkuu wao mpya...hao wengine wanaokula kona sijui ndo akina Sugu na Prof. J.
Imenipa burudani sana hii picha.