Kireka1980
JF-Expert Member
- Mar 18, 2008
- 302
- 43
mimi nina mpango wa kufunga harusi mwezi wa sita miongoni mwa kumbi ninazozifikiria ni landmark kutokana na unafikika kirahisi, lakini nimepata habari kwamba jamaa wana huduma mbovu sana kama vile kuwa na wahidumu wachache, wizi wa vinywaji na vyakula vya muda mrefu. wadau kuna mwenye experience?