Kwa nchi masikini kama Tanzania ukubwa wa serikali ni tatizo kubwa sana kwa maendeleo. Kitu kimoja ambacho watu wengi hawaelewi ni kwamba tunaposema ukubwa wa serikali hatuna maana ya ukubwa wa baraza la mawaziri bali uwingi wa vitu ambavyo serikali ya Tanzania imejihusisha.
Tuanza na Budget ya serikali je ni kiasi gani cha budget kinanda kwenye shughuli za maendeleo? ni kidogo sana hivyo tunaserekali ambayo kazi yake kubwa ni kujilipa mishahara.
Serilkali inafanya mengi pamoja na yafuatayo
1. Ina lipa jeshi lote la Polisi, Magereza, Ulinzi na kuwapa makazi wafanyakazi wote
2. Madaktari karibu wote ni wa serikali kuanzia kuwasomesha kwa madeni ambayo hayalipwi mpaka kuwapa kazi.
3. Walimu karibu wote wanalipwa na serikali kuanzia kuwasomesha kwa bure mpaka kuwalipa mpaka wastaafu
4. Wafanyakazi wote wa miji diwani, wakuu wa wilaya, wakuu wa mkoa, mkurugenzi mkuu n.k
5. Balozi zote dunia nzima
6. Vyuo vikuu vyote, shule zote na hospitali zote za serikali
7. Wabunge wote
8. Nyumba na majengo yote ya serikali na ukarabati
Sasa tumekuwa watu wa kulalamika tu lakini hatutafanikiwa kama serikali haitapungua. Je tufanyaje
Serikali inatakiwa kuajiri kampuni ya kibinafsi ya kuongeza ufanisi wa serikali " Productivity" kama " Price Coopers Waterhouse" waangalie serikali yote na waje na jensi gani wanaweza kuongeza ufanisi kwa kuweka techonology kama za Computers na kuchanganya vitengo ambavyo vinafanya kazi moja. Hii itapunguza wafanyakazi wa serikali kwa kama 50%. Itatusaidia kupata pesa za kulipa vitu muhimu kaa Doctors na Walimu.
Tuanza na Budget ya serikali je ni kiasi gani cha budget kinanda kwenye shughuli za maendeleo? ni kidogo sana hivyo tunaserekali ambayo kazi yake kubwa ni kujilipa mishahara.
Serilkali inafanya mengi pamoja na yafuatayo
1. Ina lipa jeshi lote la Polisi, Magereza, Ulinzi na kuwapa makazi wafanyakazi wote
2. Madaktari karibu wote ni wa serikali kuanzia kuwasomesha kwa madeni ambayo hayalipwi mpaka kuwapa kazi.
3. Walimu karibu wote wanalipwa na serikali kuanzia kuwasomesha kwa bure mpaka kuwalipa mpaka wastaafu
4. Wafanyakazi wote wa miji diwani, wakuu wa wilaya, wakuu wa mkoa, mkurugenzi mkuu n.k
5. Balozi zote dunia nzima
6. Vyuo vikuu vyote, shule zote na hospitali zote za serikali
7. Wabunge wote
8. Nyumba na majengo yote ya serikali na ukarabati
Sasa tumekuwa watu wa kulalamika tu lakini hatutafanikiwa kama serikali haitapungua. Je tufanyaje
Serikali inatakiwa kuajiri kampuni ya kibinafsi ya kuongeza ufanisi wa serikali " Productivity" kama " Price Coopers Waterhouse" waangalie serikali yote na waje na jensi gani wanaweza kuongeza ufanisi kwa kuweka techonology kama za Computers na kuchanganya vitengo ambavyo vinafanya kazi moja. Hii itapunguza wafanyakazi wa serikali kwa kama 50%. Itatusaidia kupata pesa za kulipa vitu muhimu kaa Doctors na Walimu.