Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,684
- 8,832
Ukubwa haimaanishi umri kwenda tu.
Ukubwa una maana nyingi, kulala uchi, kufanya maamuzia magumu, kujihukumu mwenyewe kutokana na maamuzi yako, na kadhalika.
Ukubwa ni jalala, ujilee, umlee mwenzi wako, watoto wako, wa mwenzi wako, wazazi wako na wazazi wake, pia uwalee majirani pia.
Ukubwa sio kumlazimisha mwenzako afanye usicho kiweza, ila wewe ufanye kile ambacho kimemshinda mwenzi wako.
Ukubwa maana yake kuchagua, kuwa fukara au tajiri, ukishindwa kuwa tajiri wa mali chagua kuwa tajiri wa furaha, amani na upendo.
Ukishindwa kumpenda mke wako, huwezi kumpenda wa mwenzako, hata ukimpata utammega kisha utamuacha.
Ukubwa ni kuishinda tamaa na kiu ya mwili.
Ukubwa ni kuongoza na kushauri.
Ukubwa ni jalala, thats why natamani kuwa malaika kama shosti wangu jide alivyosema.
Je wewe kwako ukubwa una maana gani?
Ukubwa una maana nyingi, kulala uchi, kufanya maamuzia magumu, kujihukumu mwenyewe kutokana na maamuzi yako, na kadhalika.
Ukubwa ni jalala, ujilee, umlee mwenzi wako, watoto wako, wa mwenzi wako, wazazi wako na wazazi wake, pia uwalee majirani pia.
Ukubwa sio kumlazimisha mwenzako afanye usicho kiweza, ila wewe ufanye kile ambacho kimemshinda mwenzi wako.
Ukubwa maana yake kuchagua, kuwa fukara au tajiri, ukishindwa kuwa tajiri wa mali chagua kuwa tajiri wa furaha, amani na upendo.
Ukishindwa kumpenda mke wako, huwezi kumpenda wa mwenzako, hata ukimpata utammega kisha utamuacha.
Ukubwa ni kuishinda tamaa na kiu ya mwili.
Ukubwa ni kuongoza na kushauri.
Ukubwa ni jalala, thats why natamani kuwa malaika kama shosti wangu jide alivyosema.
Je wewe kwako ukubwa una maana gani?