Ukubwa na maana yake.

Nazjaz

JF-Expert Member
Jan 20, 2011
7,684
8,832
Ukubwa haimaanishi umri kwenda tu.
Ukubwa una maana nyingi, kulala uchi, kufanya maamuzia magumu, kujihukumu mwenyewe kutokana na maamuzi yako, na kadhalika.
Ukubwa ni jalala, ujilee, umlee mwenzi wako, watoto wako, wa mwenzi wako, wazazi wako na wazazi wake, pia uwalee majirani pia.
Ukubwa sio kumlazimisha mwenzako afanye usicho kiweza, ila wewe ufanye kile ambacho kimemshinda mwenzi wako.
Ukubwa maana yake kuchagua, kuwa fukara au tajiri, ukishindwa kuwa tajiri wa mali chagua kuwa tajiri wa furaha, amani na upendo.
Ukishindwa kumpenda mke wako, huwezi kumpenda wa mwenzako, hata ukimpata utammega kisha utamuacha.
Ukubwa ni kuishinda tamaa na kiu ya mwili.
Ukubwa ni kuongoza na kushauri.
Ukubwa ni jalala, thats why natamani kuwa malaika kama shosti wangu jide alivyosema.
Je wewe kwako ukubwa una maana gani?
 
Ukubwa haimaanishi umri kwenda tu.
Ukubwa una maana nyingi, kulala uchi, kufanya maamuzia magumu, kujihukumu mwenyewe kutokana na maamuzi yako, na kadhalika.
Ukubwa ni jalala, ujilee, umlee mwenzi wako, watoto wako, wa mwenzi wako, wazazi wako na wazazi wake, pia uwalee majirani pia.
Ukubwa sio kumlazimisha mwenzako afanye usicho kiweza, ila wewe ufanye kile ambacho kimemshinda mwenzi wako.
Ukubwa maana yake kuchagua, kuwa fukara au tajiri, ukishindwa kuwa tajiri wa mali chagua kuwa tajiri wa furaha, amani na upendo.
Ukishindwa kumpenda mke wako, huwezi kumpenda wa mwenzako, hata ukimpata utammega kisha utamuacha.
Ukubwa ni kuishinda tamaa na kiu ya mwili.
Ukubwa ni kuongoza na kushauri.
Ukubwa ni jalala, thats why natamani kuwa malaika kama shosti wangu jide alivyosema.
Je wewe kwako ukubwa una maana gani?

ukubwa shimo la taka,
kila mtu anatupia mazagazaga yake humo!!!lol.....
 
Ukubwa haimaanishi umri kwenda tu.
Ukubwa una maana nyingi, kulala uchi, kufanya maamuzia magumu, kujihukumu mwenyewe kutokana na maamuzi yako, na kadhalika.
Ukubwa ni jalala, ujilee, umlee mwenzi wako, watoto wako, wa mwenzi wako, wazazi wako na wazazi wake, pia uwalee majirani pia.
Ukubwa sio kumlazimisha mwenzako afanye usicho kiweza, ila wewe ufanye kile ambacho kimemshinda mwenzi wako.
Ukubwa maana yake kuchagua, kuwa fukara au tajiri, ukishindwa kuwa tajiri wa mali chagua kuwa tajiri wa furaha, amani na upendo.
Ukishindwa kumpenda mke wako, huwezi kumpenda wa mwenzako, hata ukimpata utammega kisha utamuacha.
Ukubwa ni kuishinda tamaa na kiu ya mwili.
Ukubwa ni kuongoza na kushauri.
Ukubwa ni jalala, thats why natamani kuwa malaika kama shosti wangu jide alivyosema.
Je wewe kwako ukubwa una maana gani?
Yote sawa kabisa mamito, ila hapo kwenye nyekundu ni kuwa mwangalifu zaidi... usikubali kufanywa jalala na kila mtu... wengine wanakugeuza choo kabisa!!!!:shock:
 
ndio ukubwa ni kila kitu so inahitajika akili ya ziada, wakilala njaa tu unalo hilo
 
naona hii message imewekwa hapa kumfikia mtu maalum.... sio wote.... aidha, pole kwa yaliyokukuta.... lakini nawe ukubwa sio kukimbia kosa wala sio kutangaza ufa wenu.... bali ni kukabiliana na ufa huo kwa kutumia silaha kama vile; uvumilivu, umakini, ujasiri na maombi kwa wingi na malengo....!
 
Yote sawa kabisa mamito, ila hapo kwenye nyekundu ni kuwa mwangalifu zaidi... usikubali kufanywa jalala na kila mtu... wengine wanakugeuza choo kabisa!!!!:shock:

Nimelipenda hili POZI babu Lao!!!
avatar30433_4.gif
 
Thanx umenena.

Ukubwa ni dhamana ambayo mtu anatakiwa kuitekeleza kutokana na uwezo alionao eg kiakili, kiuchumi, kiutendaji, uwajibikaji, kifikra, ki-upendo na hata kubeba dhamana za wenginge kwa maslahi ya waliowengi. Lakini lazima suala lenyewe liwe ndani ya uwezo wake na lenye maslahi chanya.
 
Ukubwa haimaanishi umri kwenda tu.
Ukubwa una maana nyingi, kulala uchi, kufanya maamuzia magumu, kujihukumu mwenyewe kutokana na maamuzi yako, na kadhalika.
Ukubwa ni jalala, ujilee, umlee mwenzi wako, watoto wako, wa mwenzi wako, wazazi wako na wazazi wake, pia uwalee majirani pia.
Ukubwa sio kumlazimisha mwenzako afanye usicho kiweza, ila wewe ufanye kile ambacho kimemshinda mwenzi wako.
Ukubwa maana yake kuchagua, kuwa fukara au tajiri, ukishindwa kuwa tajiri wa mali chagua kuwa tajiri wa furaha, amani na upendo.
Ukishindwa kumpenda mke wako, huwezi kumpenda wa mwenzako, hata ukimpata utammega kisha utamuacha.
Ukubwa ni kuishinda tamaa na kiu ya mwili.
Ukubwa ni kuongoza na kushauri.
Ukubwa ni jalala, thats why natamani kuwa malaika kama shosti wangu jide alivyosema.
Je wewe kwako ukubwa una maana gani?

Sijaelewa hapo kwenye red au mie bado mdogo????
 
Ukubwa haimaanishi umri kwenda tu.
Ukubwa una maana nyingi, kulala uchi, kufanya maamuzia magumu, kujihukumu mwenyewe kutokana na maamuzi yako, na kadhalika.
Ukubwa ni jalala, ujilee, umlee mwenzi wako, watoto wako, wa mwenzi wako, wazazi wako na wazazi wake, pia uwalee majirani pia.
Ukubwa sio kumlazimisha mwenzako afanye usicho kiweza, ila wewe ufanye kile ambacho kimemshinda mwenzi wako.
Ukubwa maana yake kuchagua, kuwa fukara au tajiri, ukishindwa kuwa tajiri wa mali chagua kuwa tajiri wa furaha, amani na upendo.
Ukishindwa kumpenda mke wako, huwezi kumpenda wa mwenzako, hata ukimpata utammega kisha utamuacha.
Ukubwa ni kuishinda tamaa na kiu ya mwili.
Ukubwa ni kuongoza na kushauri.
Ukubwa ni jalala, thats why natamani kuwa malaika kama shosti wangu jide alivyosema.
Je wewe kwako ukubwa una maana gani?

well said! Big up.
 
Ukubwa ni kulala uchi na mwenzio! Kama wewe ni me, unalala uchi na ke, na kinyume chako ni sahihi!!!!!!!!!!!!
 
Ukubwa haimaanishi umri kwenda tu.
Ukubwa una maana nyingi, kulala uchi, kufanya maamuzia magumu, kujihukumu mwenyewe kutokana na maamuzi yako, na kadhalika.
Ukubwa ni jalala, ujilee, umlee mwenzi wako, watoto wako, wa mwenzi wako, wazazi wako na wazazi wake, pia uwalee majirani pia.
Ukubwa sio kumlazimisha mwenzako afanye usicho kiweza, ila wewe ufanye kile ambacho kimemshinda mwenzi wako.
Ukubwa maana yake kuchagua, kuwa fukara au tajiri, ukishindwa kuwa tajiri wa mali chagua kuwa tajiri wa furaha, amani na upendo.
Ukishindwa kumpenda mke wako, huwezi kumpenda wa mwenzako, hata ukimpata utammega kisha utamuacha.
Ukubwa ni kuishinda tamaa na kiu ya mwili.
Ukubwa ni kuongoza na kushauri.
Ukubwa ni jalala, thats why natamani kuwa malaika kama shosti wangu jide alivyosema.
Je wewe kwako ukubwa una maana gani?

ukubwa si udogo
 
Ukubwa haimaanishi umri kwenda tu.
Ukubwa una maana nyingi, kulala uchi, kufanya maamuzia magumu, kujihukumu mwenyewe kutokana na maamuzi yako, na kadhalika.
Ukubwa ni jalala, ujilee, umlee mwenzi wako, watoto wako, wa mwenzi wako, wazazi wako na wazazi wake, pia uwalee majirani pia.
Ukubwa sio kumlazimisha mwenzako afanye usicho kiweza, ila wewe ufanye kile ambacho kimemshinda mwenzi wako.
Ukubwa maana yake kuchagua, kuwa fukara au tajiri, ukishindwa kuwa tajiri wa mali chagua kuwa tajiri wa furaha, amani na upendo.
Ukishindwa kumpenda mke wako, huwezi kumpenda wa mwenzako, hata ukimpata utammega kisha utamuacha.
Ukubwa ni kuishinda tamaa na kiu ya mwili.
Ukubwa ni kuongoza na kushauri.
Ukubwa ni jalala, thats why natamani kuwa malaika kama shosti wangu jide alivyosema.
Je wewe kwako ukubwa una maana gani?
hapo kwenye red nimepakubali zaidi.
 
Back
Top Bottom