Acha Uvivu
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 525
- 131
Katika harakati za FFU kuwazuia wanafunzi wa Chuo Muhimbili wasifike wizara ya Elimu wanatoa sababu eti kuna mgeni H. Clinton. Jamani tutafika?
Naomba police wa Tz walijue hili kuwa hawa wageni wanaowashabikia hawana lengo zuri. Maendeleo ya nchi yetu yako mikononi na si mikononi mwa wanafiki.
Aibu kubwa hii kuwazuia wasomi wasidai haki zao. Nawasilisha.
Naomba police wa Tz walijue hili kuwa hawa wageni wanaowashabikia hawana lengo zuri. Maendeleo ya nchi yetu yako mikononi na si mikononi mwa wanafiki.
Aibu kubwa hii kuwazuia wasomi wasidai haki zao. Nawasilisha.