Riwa
Platinum Member
- Oct 11, 2007
- 2,607
- 3,068
Kwanini nanyi msirengeneze tamthilia au movies mkatumia hayo Maneno ya mahaba ya Kiswahili ili mkitangaze Kiswahili chenu?
Mwanao hakiiti dadii weye? Just curious! Ofisini kwenu mnaandika report za lugha ya taifa? Are Dr. Riwa? Kama ndio kwanini maprescription msiandike kwa Kiswahili kilichochanganywa na kilatini?
Ananiita hivyo...tena na king'eng'e kingi tu ambacho hata mie hakipandi! But thats 'inevitable', lazima nimlee katika hali ambayo ataweza kuja kushindania na wenzake soko la ajira au biashara huko baadae, ukimnyima na wenzie wakipata...atashindwa ushindani ni itakuwa ni kosa langu!
Lakini kwenye mapenzi tunaongelea 'uhalisia'....na sioni kama bi mdada atakuwa 'halisi' akija niambia sijui I love you sijui fefe fefe...mi naona anakuwa 'fake'!