IshaLubuva
JF-Expert Member
- Dec 4, 2008
- 250
- 11
Kuna baadhi ya Idara za Serikali hazijapata mgawo wa fedha za matumizi mengine (Other Charges-OC) tangu mwaka wa fedha wa 2009/2010 uanze. Hazi kuna tatizo gani au ndo mmeelekezwa kuanza kuzitunza kwa ajili ya uchaguzi wa 2010. Sasa Mtumishi hajapata fedha kwa ajili ya utekelezaji zaidi ya miezi miwili kwenye hiyo OPRAS tathmini yake inakuwaje? Hebu mtueleweshe