Tango73
JF-Expert Member
- Dec 14, 2008
- 2,128
- 1,225
madhala ya kutawaliwa kikomunisti ni makubwa na mabaya sana , mojawapo ni raia wa nchi kuwa watumwa kisaikolojia. Ona jinsi watu wa korea kaskazini walivyolazimishwa kisaikolojia kutawaliwa na mtoto wa kim Il Sun-Kim iljong un! Ina maana hapo korea hamna mtu mwenye busara zaidi ya mtoto wa marehemu Kim Il sun!
hapo korea kuna pengine 70% ya raia wanachukizwa na kitendo hicho, ila hawana pahala pa kulalamikia. Vyombo vyote vya habari vimeshikwa na serikali ya kidikteta! halafu zitanza kutungwa kwaya na watu kulazimishwa kumuimbia huyo kijana wa miaka 29 kuwa ni mzuri saana na ana hekima na siasa zake ni mfumo wa babake!
Usiombe kutawaliwa na wnasiasa walioiteka nchi na kuifanya ni yao na kutoa maamuzi ya maudhi kila kukicha. Nawaombea wakorea kaskazini mungu awafumbulie macho ya haki na siku moja wawatimue wanasiasa walioiteka nchi yao na kuanzisha siasa za kimwinyi za kulindana.
hapo korea kuna pengine 70% ya raia wanachukizwa na kitendo hicho, ila hawana pahala pa kulalamikia. Vyombo vyote vya habari vimeshikwa na serikali ya kidikteta! halafu zitanza kutungwa kwaya na watu kulazimishwa kumuimbia huyo kijana wa miaka 29 kuwa ni mzuri saana na ana hekima na siasa zake ni mfumo wa babake!
Usiombe kutawaliwa na wnasiasa walioiteka nchi na kuifanya ni yao na kutoa maamuzi ya maudhi kila kukicha. Nawaombea wakorea kaskazini mungu awafumbulie macho ya haki na siku moja wawatimue wanasiasa walioiteka nchi yao na kuanzisha siasa za kimwinyi za kulindana.