Ukomo wa serikali ya tz kukopa ili isifilisike unakaribia mwisho.....imefahamika..

Mpaka sasa sijawaona wachangiaji watukufu akina FaizaFox, Rejao, Ritz, Mwita25, Kibunango, Nape nk. Mko wapi nyie kwani hili haliwahusu?

kimya kina mshindo mkuu mkubwa wahenga walisema. Mi nadhani kuna mawili katika kimya hiki nayo ni:

1. wameona kinachozungumzwa kina maana na kweli tupu na hawawezi kupiga, ila pia kutokana na itikadi zao hawawezi kukiri waziwazi so "wanakubali kiaina"

2. Wapo wanajipanga na kutafuta cha kuandika kama utetezi juu ya JMK na serikali yake...so tusubiri mpaka mwisho tuone.
 
Inawezekana watendaji tukawa nao wazuri, i mean kitaaluma Prof Ndulu yuko poa, ila shida ya nchi yetu ni MFUMO. From Magogoni mpaka kwa VEO kule Mpanda, ni corruption all the way.
Solution:: kama tutafanikiwa kufika 2015 basi ubadilishe mfumo mzima, ila kama hali ikiwa mbaya zaidi nashauri tutengeneze Tahrir Square yetu na tuingie mtaani tu.
 
Katika muendelezo wa balaa lile lile hata ule mnada uliofanyika juzi ili kukopa bil.20 kwa kutumia t-bond pia ume fail kwani badala ya kupata bil.20 serikali(BOT) wamepata bil.1 tu (tena wala hazifiki).Taasisi nyingi za fedha yakiwemo mabenki ya ndani wamekataa kukopesha kwasababu ya anguko la shilingi(inlation)...wao serikali walitaka kukopa kwa riba ya asilimia 11 lakini taasisi za fedha zikagomea kwani inflation iko juu ya hiyo riba .....yaani asilimia 19 hivyo hawataweza kupata faida kama watakopesha serikali kwa riba ya 11%.(source:Govt T-bond fetches a measly Sh1bn)
Katika hali ambayo inaonyesha serikali imefikia hatua ya kutafta hela kwa njia za ajabu.......eti badala ya kuwabana wanaokwepa kulipa kodi au wezi wa mali za umma ambao hawachukuliwi hatua au kubana vyanzo vya mapato au kupunguza matumizi yake ambayo ni makubwa kuzidi mapato ya serikali.....sasa wameanzisha kampeni ya kulipia mishahara dirishani......eti wanataka kuokoa bil.9!!!wao ndio wenye kuziiba hizi hela.....yaani wala haielezeki........(source:New move to combat ghost workers fraud)
  • Katika hali ambayo ni mbaya sana...halmashauri hazipelekewi pesa za maendeleo siku hizi.....mfano Kigoma.....mpaka sasa wamepewa asilimia 0.03% ya mgao wa bajeti....huu ukiwa nusu mwaka....Mkulo akiambiwa anasema watu wanafanya siasa...wakati wao serikali ndio wanafanya siasa kwa kuficha ukweli kuwa hali ni mbaya saana
My take: Itafika siku nchi hii makini watatoka barabarani kuchukua kilicho chao kwa matajiri......na hili naliona haliko mbali kama hali itaendelea kuwa kama ilivyo sasa.....
 
Low investor confidence hits govt securities
Thursday, 05 January 2012 22:30

By Alawi Masare
The Citizen Reporter
Dar es Salaam.

Rising inflation and low rate of returns have reduced investors’ appetite for government securities, frustrating efforts by the central bank to raise money through financial markets.However, Bank of Tanzania governor Benno Ndulu told The Citizen yesterday that low investor response to government securities, also known as treasury papers, is due to a shortage of cash in the economy caused by the bank’s own tight monetary policy aimed at containing inflation and stabilising exchange rates.

“We are not surprised by the reduced capacity by investors to buy treasury papers because we are aware there isn’t enough money in the economy. Even banks are cash strapped,” Prof Ndulu said.He added: “We instituted measures to tighten liquidity some months ago to reduce spiraling inflation and as a result many financial institutions are cash trapped.”

BoT has been unable to raise enough funds through treasury bills and bonds since last month due to what financial experts say is the weakening of the fundamentals of the economy heralded by rising economy and low interest rates (weighted average yields) of the treasury papers.

BoT auctioned Sh100 billion treasury bills two weeks ago, but ended up raising only Sh13 billion. About a week ago, the government auctioned a Sh20 billion treasury bond, but collected less than Sh1 billion due to lack of interest from investors.
BoT planned to raise Sh100 billion through treasury bills in an auction on Wednesday, but managed to get only Sh74 billion. The bank settled for Sh55 billion at a weighted average yield of 18.69.

Most of the treasury papers fetch yields that are below the inflation rate of 19.2 per cent, with the exception of the one year t-bills.

Sources in the industry also suggested low capacity of the government to pay back mature obligations could also be another reason putting off investors.“When treasury bills and bonds mature the central bank is supposed to pay investors who had bought those securities in the past, but the capacity of the bank to pay back is becoming limited because of cash problems within the government,” said a source in the financial markets, who requested for anonymity.

The shadow minister for Finance and Economic Affairs, Mr Zitto Kabwe, told The Citizen yesterday that undersubcription of treasury papers showed that investors had no confidence in the economy, adding that this is a sign that inflation will increase sharply in the near future.

“It is expected that inflation could reach 30 per cent in the near future. The government should find ways to reduce spending and boost industrial production,” said Mr Kabwe, who is also the Kigoma North MP (Chadema).
Treasury bills and bonds are debt instruments issued by the government in exchange for money borrowed from the public.

Banks and other financial institutions are usually attracted to securities because they are less risky than lending to individuals and private institutions.However, one dealer who spoke to The Citizen dismissed reports of low investor confidence.“I don’t think this has anything to do with investor confidence because the government has many sources of revenues. The government cannot fail to pay the investors,” said Mr Moremi Marwa of Tanzania Securities Limited (TSL).

He also said the timing of the auction could be another factor for some institutions to fail responding to the T-Bills as most of them were reserving their money to pay taxes this time round.

Prof Ndulu added that most commercial banks were borrowing from the central bank due to tight liquidity which was intentionally created by the BoT to tame inflation.He said there was a similar situation during the harvest season when many SMEs borrow from commercial banks and other financial institutions.

Analysts noted that low rate of returns, which was below the inflation rate, affected investors response, the fact that was indicated by the results of the auction. The one year t-bills whose weighted average yield was 19.73, above the inflation rate of 19.2, was oversubscribed by Sh15 billion.

The government had offered Sh35 billion but Sh50.7 billion were tendered and the government accepted Sh35 billion.However, the 182 days T-bills were undersubscribed by Sh8 billion. BoT had offered Sh30 billion but the amount tendered was Sh22 billion, and the bank accepted Sh19 billion at the weighted average yield of 17.21.

 
Tatizo la JK ni kupenda kufanya kazi kwa kukomoana. Mtu anagombea ubunge anaukosa matokeo yake ili kuwakomoa waliomtosa anamteua hy aliyekosa ubunge kuwa RC wa sehemu hiyohiyo. Matokeo yake ni migogoro isiyokwisha kama ilivyokuwa Mbeya. Na mawizarani hali ni hiyohiyo. Hiyo imepelekea kuwa sasa hakuna anayemsapoti katika utendaji wake. Watu wamemjua ni mtu wa majungu
 
teh teh tehhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh teh teh ahhhhhhhhhh aiseeeeeeeeeeeeeeeeeee.kufa hatufi ila sasa cha moto ndo tutakiona eeeeeeehhhhhhhhhhhh uuuuuuuuuuuuuiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiihhhhhhhhhhhhh

Mbona walalahoi tumeshakufa siku nyingi. Sisi ni wafu tunaotembea
 
Hela nyingi zilienda igunga kwenya uchaguzi mdogo kwa kuigopa cdm- wachunguzi wanasema ccm ilitumia takribani sh 150,000/= kwa kura moja igunga na ikaibuka mshindi na hizi hela hazijumuishi zile za kimagumash (sasa zidisha hiyo hela mara kura zote ccm) na hizo chache zilizobaki zitaishia kwenye chaguzi ndogo za wawi kwa hamad rashid na kigoma kwa david kafulila.

Na hawa wabunge nao wanataka laki mbili kwa kwenda kusinzia bungeni kwa masaa machache tuu. Duuh kweli ukizaliwa mtanzania ujue kazi unayo
 
Eti chagua la Mungu..... Enyi maaskofu nendeni mkatubu kwa kuwadanya Maskini wa Tanzania
 
mimi nadhani tushirikiane kuila sura yake coz kuna watu walimchagua kisa handsome!
 
By Al-amani Mutarubukwa
The Citizen Reporter
Dar es Salaam.

The government plans to cut spending by Sh755 billion this financial year in an ambitious austerity move that would hurt some development projects.The move is expected to reduce the widening budget deficit caused by low aid inflows from donors, partly due to Eurozone credit problems, Finance and Economic Affairs minister Mustafa Mkulo said in a letter to the International Monetary Fund (IMF) last month.

"About Sh157 billion would be cut from domestically financed development projects," Mr Mkulo said in a letter of intent to Christine Lagarde, the IMF managing director, in December. "A number of construction and rehabilitation projects have been identified that can be slowed without incurring penalties." Savings in the recurrent budget would amount to Sh203 billion. Borrowing from commercial and foreign sources would also be scaled to $575 million from the planned $822 million, cutting the loan by $247 million (Sh395 billion).

Unveiling the 2011/12 budget in June last year, Mr Mkulo said the nation planned to spend Sh13.52 trillion ($8.7 billion) during the fiscal year, up from Sh11.6 trillion the previous year.The government had initially planned to spend Sh8.6 trillion shillings on recurrent expenditure and Sh4.92 trillion shillings on development projects.

Spending on development projects include construction and rehabilitation of infrastructure such as roads, railways, airports, ports, water works and power lines.

Cuts in these projects will have a negative effect on the growth of the economy, job creation and government revenue in the long run, experts say.There is an ongoing debate on whether or not the government should take austerity measures. A section of senior officials in the government are against cutting spending on development projects.

Central Bank governor Benno Ndulu said last week that spending on development projects should be sustained or even increased to reduce inflation and spur economic growth.

Prof Ndulu told TBC1 TV in an interview last Friday: "I think reduced spending in important areas such as development projects would not be advisable. We need enough investments in these issues, including the education, health and water sectors, to increase productivity of the people."

But the government says in the letter to the IMF that the mid-year austerity measures, which were identified in a line by line review of the budget and approved by the government, would have no serious adverse economic impact.

According to Mr Mkulo, austerity measures to be taken are expected to reduce the 2011/12 deficit goal to 6.6 per cent of the Gross Domestic Product from the anticipated 7.6 per cent. In the recurrent budget, cuts will be made on extra duty allowances, training, travel, office running costs, vehicle operating costs, allocations to government agencies and boards. Some activities of local government authorities (LGAs) and new administrative areas will also be affected.

The government also expects additional revenues amounting to Sh86 billion. This represents additional income tax under an agreement with a mining company.The opposition has also urged the government to reduce unnecessary spending on allowances to meet fiscal targets this financial year.

Some analysts say the government has embarked on austerity measures for fear that donor commitment might fall short this year. In the first four months of the 2011/12 budget implementation, only about seven per cent of total commitments were honoured by donors, according to Mr Mkulo.

This is partly due to the eurozone credit crisis and a global recession that has affected the financial positions of European countries, the main aid providers for Tanzania. Aid shortfalls could have been bridged by further borrowing, but the government has refused to take that option due to what it calls "importance to safeguard the country's reputation for prudent fiscal management".

Tanzania is among the continent's biggest per capita aid recipients and it had expected to fund almost 29 per cent of this year's spending with the help of donors.In the current budget, some 3.92 trillion shillings of the budget was expected to be sourced from foreign aid and loans.

Donors that provide general budget support to Tanzania are the African Development Bank, Canada, Denmark, the European Commission, Finland, Germany, Ireland, Japan, Norway, Sweden, Britain and the World Bank.

The government was targeting revenue to GDP ratio of 17.2 per cent in 2011/12 by collecting tax revenues of Sh6.77 trillion, up from an estimated Sh5.55 trillion the previous year, or 16 percent of GDP.
 
Ndio maana mbabe mmoja anawapandishia wananchi hudma ambazo nchi jirani ambazo hazina madini na raslimali kaka TZ hpatikana bura kama za vivuko na matahira bado wanamuunga mkono
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Itamlazimu achukue maamuzi magumu sana kama alivyofanya Sata kule Zambia. Mali za Kikwete, Ridhiwani, Lowassa, Rostum, zikamatwe na wote wafilisiwe. Itabidi tuanzishe mahakama maalumu ya wahujumu uchumi na kusimamisha uchimbaji wa madini mpaka tutakapokamilisha mikataba mipya itakayokidhi maslahi ya Watanzania.
Kuna mswada wa sheria unaotungwa kule Uganda unaotaka mwananchi mwenye ushahidi wa kutosha anaweza kuishitaki serikali au mtumishi yeyote wa serikali aliyefuja fedha za umma. Na kama akishinda kesi basi mtu huyo atalipwa asilimia 25 ya fedha zilizorudishwa kwa huyo aliyefuja. Nafikiri ni muda muafaka na sisi nchi yetu iwe na sheria hii. Naamini itasaidia sana kurudisha fedha zote zilizofujwa na mafisadi pamoja na zile nyumba zote za serikali walizouziana kwa bei chee.
 
Kuna mswada wa sheria unaotungwa kule Uganda unaotaka mwananchi mwenye ushahidi wa kutosha anaweza kuishitaki serikali au mtumishi yeyote wa serikali aliyefuja fedha za umma. Na kama akishinda kesi basi mtu huyo atalipwa asilimia 25 ya fedha zilizorudishwa kwa huyo aliyefuja. Nafikiri ni muda muafaka na sisi nchi yetu iwe na sheria hii. Naamini itasaidia sana kurudisha fedha zote zilizofujwa na mafisadi pamoja na zile nyumba zote za serikali walizouziana kwa bei chee.

Mkuu hii nzuri sana,ila kwa hapa bongo sahau.akina majura magafu,tindu lisu,marando nk si watakufa na watu? Hebu fikiri 25 %Ya mabilion ya epa ni shilingi ngapi mtu atakula cha juu hapo?
 
Watu waliopoenda kupiga kura mwaka jana walifikiria wanaenda kumkomoa nani au kuchagua nini?

Mimi nadhani ungeuliza, walipokuwa wanachakachua kura za wanyonge walidhani wanamkomoa nani? Kama ni kura, watu walipiga, ila kama ni matokeo ya kura hapo ndipo penye tizo. Labda Lewis na Kiravu, waweza kusema kwani dhambi hii itakuwa juu yao kama hawatatubu na kusamehewa na wanaoumia sasa!
 
Back
Top Bottom