Ukombozi wa Zanzibar wazidi kuimarika

Wazanzibari hawatishwi na vijineno visivo msingi. Sisi tunakwenda kwa idhibati (proof). Hatufanyi mambo kichwa mchungu nawakumbusha tena, katiba ya tanzania inasomeshwea kwenye vikao vya katiba point by point. Tunawataalamu wa sheria wanahusika kabisa kuwaelimisha wazanzibari kuhusu haki yao kikatiba. Kazi ipo maana itabidi kufanywe "referndum" kuhusu muungano. Mpaka leo, 92% ya wazanzibari hawautaki muungano. Zanzibar hamna CCM wala CDM wala NCCR wala CUF. Zanzibar ni wazalendo wanoitaka nchi yao kuikomboa kutoka kwenye falsafa za punguani za ujamaa. Wazanzibari wamechoshwa na ukiritimba wa muungano huu wa kuwanyanyasa. UHURU kwa Zanzibar ndio njia pekee ya kuleta amani.

Ndugu yangu Falconer, hebu nitonye kidogo tu. Hiyo 92% ya wasioutaka muungano uliipata wapi?
 
I wish muungano ungevunjwa ili muwe huru!
Na sisi tuwe huru, sio wao tu. Tanzania Bara inabeba kongwa kubwa shingoni la huu muungano kuliko Zanzibar.

afadhali muungano ufe tu, unatusaidia nothing at all
bora ungekuwa unatusaidia "nothing at all." Unatuumiza. Watanzania Bara wengi masikini ya Mungu hawajui athari za mzigo wa huu Muungano.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom