mudymnandi
Member
- May 7, 2012
- 41
- 9
- Thread starter
- #41
Wana JF Mnaopitia humu Tafadhali msiipite post hii bure tunahtaji nguvu yenu
Baada ya same itafata mbeya then Arusha...
Wana JF Mnaopitia humu Tafadhali msiipite post hii bure tunahtaji nguvu yenu
Hizi hela za michango lazima zifanyiwe special audit kwa maana cdm mmeamua kuwanyonya wanachi walio maskini kupitia michango uchwaraImekuwepo dhana potofu ya kudai kwamba Wilaya ya Same ni Kitovu cha CCM. napenda kuwa julisha Wa Tanzania kuwa kwa hali ya siasa ilivyo hivi Sasa Ukombozi wa Nchi yetu Utaanzia Same na hii nikutokana na wananchi kuichoka CCM. Uongozi wa CHADEMA Same Magharibi Umeandaa mpango mkakati wakuzunguka Tarafa, kata, vijiji, na vitongoji vyote ndani ya Jimbo katika kusambaza moto wa MOVEMENT FOR CHANGE Na Opereshen ya VUA GAMBA VAA GWANDA ambapo Mabalozi wa CCM wa nyumba 10 wata Vuagamba na kuvalishwa magwanda na wale Wa Chadema waliochaguliwa Watasimikwa Rasmi. Ukombozi ni leo ukiwa mwanaharakati, mwanachama, mpenzi, mkereketwa, mpenda maendeleo popote pae ulipo duniani unaombwa kuchangia compaign hii Kupitia Account ya CHADEMA a/c namba 405660022 NMB. Jina la a/c ni CHADEMA JIMBO LA SAME MAGHARIBI. au kupitia Mpesa 0755720951 au Tigo Pesa 0715720951 . Imetolewa na Katibu wa CHADEMA JIMBO ndugu MUDY MNANDI. Fedha zote zitatumika ku Print Bendera na kugharimia mikutano itakayofanyika Email mudymnandi@gmail.com
Zitto na Dk. Slaa wako JF tupe ukweli wa taarifa hii matapeli wa mtandaoni wamejaa kila kona... Je MUDDY ana baraka za chama kukusanya michango?
Ukombozi wa nchi hii utaanzia kwa mtanzania mzalendo ambaye ana uchungu na nchi yake na amechoka kunyanyaswa na kuonewa
Nawatakia kila la heri. Nyika na Vome!