Kuna makubaliano maalum kati ya Chadema na kundi la Sitta. Ilikuwa Sitta agombee urais ila kukatokea matatizo na ndio maana walimwomba Dr Slaa agombee hakuwa ameandaliwa. Mkakati mkubwa ni kuwa kundi la Sitta karibia na uchaguzi 2015 litajiunga na chadema na Dr Slaa atakuwa rais Sitta waziri mkuu. Watatawala kwa kipindi kimoja kipindi kingine anagombea mwakyembe na wm Mbowe. Kwanini inawezekana?
(i) Kundi la Sitta ni wazalendo sawa na ilivyo chadema hivyo wanaweza kufanya kazi pamoja "like-minded"
(ii) CCM hawawezi kukubali kundi la Sitta lichukue power kwani halitakuwa tofauti na chadema- watakamata sana mafisadi na kuibomoa ccm na kuiunda upya tofauti na maslahi ya mafisadi
Ninukuu, nchi itapata ukombozi 2015 na itakuwa salama ndani ya hao niliowataja
(i) Kundi la Sitta ni wazalendo sawa na ilivyo chadema hivyo wanaweza kufanya kazi pamoja "like-minded"
(ii) CCM hawawezi kukubali kundi la Sitta lichukue power kwani halitakuwa tofauti na chadema- watakamata sana mafisadi na kuibomoa ccm na kuiunda upya tofauti na maslahi ya mafisadi
Ninukuu, nchi itapata ukombozi 2015 na itakuwa salama ndani ya hao niliowataja