Pole sana. lol. French is not an easy language to learn from English, ila kama mtu anajua french kwanza, kujifunza English seem so easy...
Napenda tambi sana, hata juice, share some with me (naogopa lakini, hivi kwa nini unakula this late? au haupo TZ?)
Ni michoro mizuri mno... imechorwa kwa kupanga vipande vidogo sana vya glass/brushed stone vyenye rangi mbali mbali, hio picha ikiisha hunga fulani na huwezi dhani ni vioo vimepangwa bali kama imechorwa... kama umewahi ona picha maarufu ya "Monalisa Smile" kuna moja na mosaic. huwezi amini. Utanisamehe... uroho umenizidi lol
Mi nimelala fofofo! Hapa naota nachangia mada JF!
Jana wakati unaweka hii thread nilikuwa naangalia mpira wa Chelsea na Man City
Ila kwa sasa niko naenda kutafuta msosi nile nikalale
Amy amebanwa sana shem yan hadi nakosa raha kabisa....Jaman shem wangu,kwan Amy hajapika mpaka uende kwa mama lishe?
Nakuona uko kwa jiraniNipo home nachit-chat jf.
Nakuona uko kwa jirani
Amy amebanwa sana shem yan hadi nakosa raha kabisa....
Hapa napita nachukua cha wote then naenda home....
Nipo nakula msuba huku nakula nyimbo za bob.
Nipo kitandani na darling wangu judgement.