Uko wapi now na uko na nani?

Kwa wale tunaokuwaga busy kwa vishughuli vya hapa na pale mpaka tunasahau kula......ndo mida ya sosi hii, karibuni!!!
 
1745, Germain Baufran (architechte du roi) was restauring the castle of Aroue, in France. kulikua na statues, mosaics na mengine.

The best Mosaics are in Egypt, France and German... Hua nikiangalia the most beautiful ni za France... Hizo mosaics za miaka ya 1700's mara nyingi ni makanisani na castles za Royal families.... Beautiful.
 
The best Mosaics are in Egypt, France and German... Hua nikiangalia the most beautiful ni za France... Hizo mosaics za miaka ya 1700's mara nyingi ni makanisani na castles za Royal families.... Beautiful.
I see madame is a connaisseur... lol
 
We nae kwa collections haujambo! Lol......ndo manini sasa hayo??


Ni michoro mizuri mno... imechorwa kwa kupanga vipande vidogo sana vya glass/brushed stone vyenye rangi mbali mbali, hio picha ikiisha hunga fulani na huwezi dhani ni vioo vimepangwa bali kama imechorwa... kama umewahi ona picha maarufu ya "Monalisa Smile" kuna moja na mosaic. huwezi amini. Utanisamehe... uroho umenizidi lol
 
That is French... unakula nini?

Nakumbuka nilikuwa nakwepa kufanya kazi pindi ninapotoka shule jioni.....hiyo lugha ndo ilonifanya niwe najishikiza japo jikoni mradi nisiende kusoma..kwakuwa mwalimu alikuwa anakaa nyumbani!! Niliisoma few days tu wakati nipo form one...then nikaikimbia!!! Btw, mi nakula tambi na juice karibu!
 
That is French... unakula nini?

Nakumbuka nilikuwa nakwepa kufanya kazi pindi ninapotoka shule jioni.....hiyo lugha ndo ilonifanya niwe najishikiza japo jikoni mradi nisiende kusoma..kwakuwa mwalimu alikuwa anakaa nyumbani!! Niliisoma few days tu wakati nipo form one...then nikaikimbia!!! Btw, mi nakula tambi na juice karibu!
 
Nakumbuka nilikuwa nakwepa kufanya kazi pindi ninapotoka shule jioni.....hiyo lugha ndo ilonifanya niwe najishikiza japo jikoni mradi nisiende kusoma..kwakuwa mwalimu alikuwa anakaa nyumbani!! Niliisoma few days tu wakati nipo form one...then nikaikimbia!!! Btw, mi nakula tambi na juice karibu!
Pole sana. lol. French is not an easy language to learn from English, ila kama mtu anajua french kwanza, kujifunza English seem so easy... :)
Napenda tambi sana, hata juice, share some with me (naogopa lakini, hivi kwa nini unakula this late? au haupo TZ?)
 
Wakuu mimi niko huku mabibo hostel tunakinga maji kwa sasa kutoka kwenye tenki yan foleni kubwa hadi naanza kusinzia. Nimekuja kumtembelea rafiki yangu yeye ni mwenyeji maeneo haya.
 
Oosh...! Kumbe kumekucha, nilipitiwa na usingizi namo saa 0020. Hamjambo lakini? Miniko home nasubiria breabfast niende job
 
Kweli we mkulima wa kisasa shambani na laptop au unatumia simu.
 
Nawatch BBC naona wafaransa wameshindwa kumkata aliyewaua wayahudi na polisi
 
Niko na mwanangu Elaston, ananifyonza ile mbaya, hataki kuachia chuchu. Nina kasimu pia naperuzi JF
 
Niko foleni ya bima ya afya hapa hospitali ya mkoa singida/ MANYALIA IMENCHAKACHUA bwana.....
 
Back
Top Bottom