Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,707
- Thread starter
- #21
Eiyer, kwani unaolewa na mtoto? Mapenzi yako kwa Babake ndio yanayo matter. Nikiwa nimempenda Baba mtu nitaolewa naye tu na malezi ya mwanae/wanae tutashirikiana haina tabu. Mimi sioni kama wanawake tuna shida katika hili kama ambavyo wanaume wengi walivyo.
Sidhani,hebu soma post zingine hapo juu!