Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,709
Mjadala wa kwenye thread ya Bishanga wa wanawake kupata changamoto ya mpenzi/mume mpya wanapokuwa na watoto wa mahusiano ya zamani ulichukua kasi na siwezi kusema ulifikia muafaka ama la. . . . .Lakini kuna tatizo lingine ambalo hatukulijadili.Kama vile ambavyo ni wanaume wachache waliotayari kuoa mwanamke ambae tayari ameshazaa. . .Je ni wanawake wangapi wako tayari kuolewa na wanaume waliotayari na watoto?Na kama wapo ambao hawapo tayari,ni sababu zipi zinawafanya wakatae?Kwa wanaume sababu kubwa inayoonekana ni kukimbia majukumu,je mwanamke nae ni nini?