Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,947
- 22,101
Kwa jinsi ndoa za sasa vijana wetu wanavyoziendesha kwa kweli nimeanza kuogopa
sijui kama watoto wetu kutakuwa na ndoa..nadhan kuna umuhimu mkubwa wa wachungaji kuwaeleza vijana umuhimu wandoa na sio kujaribu..kwa style hizi za vikao tulivyozoea kila siku jummamosi na ijumaa vya harusi kugeuka vikao vya usuluhisi tuna kazi kubwa mbeleni kubwa
majuzi tulikuwa rosegarden na mzaa chema kwa kweli nilijuta pembeni kukawa na vikao kama 3 kimoja kikawa kinavurugu sana na mwisho nikaamua kumuliza kijana wa vinywaj kulikon akasema jamaa wanasuluhishwa yaonekana wameachana
niliumia sana sana maana nimekuwa njiani kuaznisha ngo ya kusuluhisha ndoa za watu walioachana ama kutengana na kuomba mungu ndoa suluhisho la kwanza bure la pili utalipia tena pesa nyingi tu
labda kwa mnaoelekea kuoa kesho kutwa dhambi ya ndoa unajua ni kifo
kuna maneno unasema nitamlinda na kumpenda mpaka kifo kitutenganisha so ukiingia ukaanzisha zali na wewe ukawa chanzo cha kuachana yaani jiandikie kifo mbele yako nakupenda ndio maana naweka wazi..pale mbele usemi kumfurahisha mama na babayako waliotoka kimara a ama michenzani.....
Mungu awabariki wanandoa wote wapya mtiwe nguvu kuishi kwa upendo bila kuachana
sijui kama watoto wetu kutakuwa na ndoa..nadhan kuna umuhimu mkubwa wa wachungaji kuwaeleza vijana umuhimu wandoa na sio kujaribu..kwa style hizi za vikao tulivyozoea kila siku jummamosi na ijumaa vya harusi kugeuka vikao vya usuluhisi tuna kazi kubwa mbeleni kubwa
majuzi tulikuwa rosegarden na mzaa chema kwa kweli nilijuta pembeni kukawa na vikao kama 3 kimoja kikawa kinavurugu sana na mwisho nikaamua kumuliza kijana wa vinywaj kulikon akasema jamaa wanasuluhishwa yaonekana wameachana
niliumia sana sana maana nimekuwa njiani kuaznisha ngo ya kusuluhisha ndoa za watu walioachana ama kutengana na kuomba mungu ndoa suluhisho la kwanza bure la pili utalipia tena pesa nyingi tu
labda kwa mnaoelekea kuoa kesho kutwa dhambi ya ndoa unajua ni kifo
kuna maneno unasema nitamlinda na kumpenda mpaka kifo kitutenganisha so ukiingia ukaanzisha zali na wewe ukawa chanzo cha kuachana yaani jiandikie kifo mbele yako nakupenda ndio maana naweka wazi..pale mbele usemi kumfurahisha mama na babayako waliotoka kimara a ama michenzani.....
Mungu awabariki wanandoa wote wapya mtiwe nguvu kuishi kwa upendo bila kuachana