wote wa juzi kumbe. kitu ilikua "one down two to go" yupo fred,jim kely, jim brown.alafu inter the dragon kitu cha bruce lee na boro yang, bila kusahau never say never again kitu cha james bond. vile vile seven men amy. usipime tiketi za kuruka avalon.
Araf wakuu kuna movie moja ya kichina naitaka kujua jina lake ka yupo anayeifahamu hipo jamaa na dogo huyo wanaiba samaki araf katikati kuna kipande wanawekewa dawa ktk chakura ebwana ee wanavyopigana vikumbo chooni kuharisha hatari mwishomwisho jamaa anapata uchizi anapiga balaa baada kuona dogo kafa na familia yake sijui inaitwaje naitafuta sana
Umenikumbusha mbali pala nawee hahahaaaKuna titanic ,
Pala naweee,
Soldier boys,
Mask ya jet leee
Inaitwa starship troopersdah hata mm sijui jina lake, hayo makasamende balaaah, yananyonya ubongo ni shiiida
sie mtaani kwetu tulikuwa tunasema "sarave bichi"hahahahahahah,man umenikumbusha mbali sana enzi za kulipia sh.50 kwenye mabanda ya uswahilini,"SARAMABECH"!
karibu muvi zote za alexanda lou lazma agegede kiduchuKuna jamaa aliect Ninja Squad, Ninja Hunter anaitwa Alexanda Lou!
Movie zake zilikuwa zina scene za mambo yetu, nilikuwa napenda sana movie za jamaa kwa sababu hiyo, maana umri ulikuwa hauniruhusu kuingia kwenye picha zenyewe zile.
Hivi jina lake ni lipi vile?,star ni dagascosUmenikumbusha mbali pala nawee hahahaaa