Kitila Mkumbo
JF-Expert Member
- Feb 25, 2006
- 3,354
- 1,943
Ndugu yangu Mzee ES, nimeshaandika barua kwa wabunge wa chama chetu nikiwaomba angalau wa come up strongly on this issue.
Kwa kweli mimi bado nipo kwenye puzzle, viongozi wetu wanatoa wapi nguvu za kuwakemea wananchi kujichukulia sheria mkononi kama wao wenyewe na watoto wao wanafanya hichohicho? Inakuwaje viongozi hawana aibu kiasi hiki; ni vigumu kuamini kwamba hadi sasa Ditotupile hajajiuzulu anasubiri afukuzwe!? Kibaya zaidi, haonekani kujutia kitendo alichokifanya na baadhi ya vyombo vya habari vinataka watu wamhurumie Ditotupile na sio Mbonde! Nimesoma gazeti la Daily News linaongelea habari za watu kutoa machozi na kusisimka kwa kumhurumia Ditotupile! We are becoming not only unscrupulous but also unethical and inhumane.
Honestly, japokuwa kila mtu ana haki ya kutetewa, wanasheria walio ethical wangeogopa kusimama upande wa huyu bwana! Yes, they will get money, but at the peril of their moral conscience and public disreputation!
Bado ninaamini JK atakuwa firm kwenye hili japokuwa may be too late!
Mliopo nyumbani endeleeni kutupa habari as quick as possible ili tuwe pamoja katika kuona mwisho wa hili jambo.
Kwa kweli mimi bado nipo kwenye puzzle, viongozi wetu wanatoa wapi nguvu za kuwakemea wananchi kujichukulia sheria mkononi kama wao wenyewe na watoto wao wanafanya hichohicho? Inakuwaje viongozi hawana aibu kiasi hiki; ni vigumu kuamini kwamba hadi sasa Ditotupile hajajiuzulu anasubiri afukuzwe!? Kibaya zaidi, haonekani kujutia kitendo alichokifanya na baadhi ya vyombo vya habari vinataka watu wamhurumie Ditotupile na sio Mbonde! Nimesoma gazeti la Daily News linaongelea habari za watu kutoa machozi na kusisimka kwa kumhurumia Ditotupile! We are becoming not only unscrupulous but also unethical and inhumane.
Honestly, japokuwa kila mtu ana haki ya kutetewa, wanasheria walio ethical wangeogopa kusimama upande wa huyu bwana! Yes, they will get money, but at the peril of their moral conscience and public disreputation!
Bado ninaamini JK atakuwa firm kwenye hili japokuwa may be too late!
Mliopo nyumbani endeleeni kutupa habari as quick as possible ili tuwe pamoja katika kuona mwisho wa hili jambo.