Ukiwa na stress ingia humu tu, utacheka mpaka upone hiyo stress, yaani ni mipasho tu, hahahahahaaaaaaaaaaaaa, kila hoja inayowekwa hata kama inadai majibu ya hoja, hutayaona, bali utakutana na matusi hahahaaahaaaa.
Chadema na ccm mko fit sana kwa kutoleana matusi kumbe hili lipo wazi tu.........ccm imewakosea watz sana, ila watu wa cdm mlitakiwa muonyeshe uwezo wenu wa kuvunja hoja mnazoziita chakavu kwa hoja pia sio matusi, ccm mlitakiwa mkitoe cdm kasoro kwa kupima ukweli sio kutukana tu eti kachukua mke wa mtu.
Naombeni mwendelee kuwatibu watu mawazo ya roho zao, jana niligombana na mwenza wangu, nikawa na hasira sana, ila baada ya kuingia humu, nilikutana na vituko vya kimataifa nikacheka....nikawa relieved.
Chadema na ccm mko fit sana kwa kutoleana matusi kumbe hili lipo wazi tu.........ccm imewakosea watz sana, ila watu wa cdm mlitakiwa muonyeshe uwezo wenu wa kuvunja hoja mnazoziita chakavu kwa hoja pia sio matusi, ccm mlitakiwa mkitoe cdm kasoro kwa kupima ukweli sio kutukana tu eti kachukua mke wa mtu.
Naombeni mwendelee kuwatibu watu mawazo ya roho zao, jana niligombana na mwenza wangu, nikawa na hasira sana, ila baada ya kuingia humu, nilikutana na vituko vya kimataifa nikacheka....nikawa relieved.