14400 Member Feb 21, 2011 6 0 Feb 22, 2011 #1 bodybuilder doggy Attachments doggy bodybuilder.jpg 32.6 KB · Views: 331
Safari_ni_Safari JF-Expert Member Oct 5, 2007 23,268 17,097 Feb 22, 2011 #3 Anaweza kuwa shoga vilevile
mshikachuma JF-Expert Member Dec 2, 2010 2,853 626 Feb 22, 2011 #5 genekai said: Mh, hii dunia inavituko balaa! Click to expand... Wee acha tu'mbwa kashibiana kama mafisadi wa Tanzania!
genekai said: Mh, hii dunia inavituko balaa! Click to expand... Wee acha tu'mbwa kashibiana kama mafisadi wa Tanzania!
Nanren JF-Expert Member May 11, 2009 2,425 2,113 Feb 22, 2011 #6 mshikachuma said: Wee acha tu'mbwa kashibiana kama mafisadi wa Tanzania! Click to expand... Si ajabu Mbwa mwenyewe huyo ni FISADI vile vile.
mshikachuma said: Wee acha tu'mbwa kashibiana kama mafisadi wa Tanzania! Click to expand... Si ajabu Mbwa mwenyewe huyo ni FISADI vile vile.
Makindi N JF-Expert Member Mar 14, 2008 1,066 173 Feb 22, 2011 #7 Mzee ukubwa wa pua sio wingi wa makamasi..................
semango JF-Expert Member Aug 24, 2010 532 45 Feb 22, 2011 #9 14400 said: bodybuilder doggy Click to expand... duuuh!jibwa linapiga nondo nini!!!
Safari_ni_Safari JF-Expert Member Oct 5, 2007 23,268 17,097 Feb 22, 2011 #10 Punga hili...cheki mimacho yake
14400 Member Feb 21, 2011 6 0 Feb 22, 2011 Thread starter #11 vi9jana naona mnalaleta utani na mbwa wangu, yaani engine mnadiliki kumfananisha na mafisadi na akina al dawa.
vi9jana naona mnalaleta utani na mbwa wangu, yaani engine mnadiliki kumfananisha na mafisadi na akina al dawa.
Ndibalema JF-Expert Member Apr 26, 2008 10,956 4,648 Feb 22, 2011 #12 Nanren said: Si ajabu Mbwa mwenyewe huyo ni FISADI vile vile. Click to expand... Hakyanani Watanzania tushakuwa adicted na jinamizi la Ufisadi, tunahitaji tiba.
Nanren said: Si ajabu Mbwa mwenyewe huyo ni FISADI vile vile. Click to expand... Hakyanani Watanzania tushakuwa adicted na jinamizi la Ufisadi, tunahitaji tiba.