USTAADHI
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 1,516
- 136
Kuna aina fulani ya uchangiaji ambayo imeonekana kupotosha wasomaji katika media mbalimbali kuwa kila linalofanyika Libya linaonesha kuwa tahadhari kwa watanzania, ili wasiendelee na moto wa mabadiliko kisa eti vyama vyenye nguvu kama CHADEMA, CUF au NCCR vyaweza kuwa kama waasi wa Libya.
Hii ni propaganda mpya inayobuniwa huku wabunifu wakilia kuwa na wao hawafurahii kuuwawa Gaddafi eti siyo utamaduni! Ilihali aliuwawa kwa misimamo yake ya KULINDA WIZI WA RASLIMALI ZA WATU WAKE KWENDA MAGHARIBI, NA NDIYO MISINGI ALIYOWAJENGEA WATU WAKE.
Na ukiangalia chama kama CHADEMA pia kinahubiri kulinda na kutumia raslimali za nchi kwa manufaa ya watanzania na ndiyo maana CDM wamekuwa wakiomboleza kila mara waTZ wanapoumizwa na serikali kwa maslahi ya wazungu mfano NYAMONGO, BUZWAGI, GEITA, TULAWAKA.
CDM inawezaje tena kufananishwa na waasi walioingia kwa maslahi ya NATO.
WAnaJF naomba mchango wenu kwenye hili.
Hii ni propaganda mpya inayobuniwa huku wabunifu wakilia kuwa na wao hawafurahii kuuwawa Gaddafi eti siyo utamaduni! Ilihali aliuwawa kwa misimamo yake ya KULINDA WIZI WA RASLIMALI ZA WATU WAKE KWENDA MAGHARIBI, NA NDIYO MISINGI ALIYOWAJENGEA WATU WAKE.
Na ukiangalia chama kama CHADEMA pia kinahubiri kulinda na kutumia raslimali za nchi kwa manufaa ya watanzania na ndiyo maana CDM wamekuwa wakiomboleza kila mara waTZ wanapoumizwa na serikali kwa maslahi ya wazungu mfano NYAMONGO, BUZWAGI, GEITA, TULAWAKA.
CDM inawezaje tena kufananishwa na waasi walioingia kwa maslahi ya NATO.
WAnaJF naomba mchango wenu kwenye hili.