PRINCE CROWN
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,211
- 4,170
Jana kwenye mkutano wa CHADEMA hapa mkoani Iringa, Mchungaji Peter Msigwa alisema ili uwe mwana CCM lazima uwe na sifa zifuatazo:-
1. Uwe mnafiki
2. Uwe fisadi
3. Uwe mwongo
4. Uwe unaweza kujipendekeza
5. Uwe huna aibu
Yeye alizisema 5 nyingine waliziongezea wananchi kama, ushirikina, umalaya na wizi, walizitaja kwa sauti....
ni kweli kabisa,hizi ndio sifa za wana ccm,